JAYDEE Apanga kununua ndege (aeroplane)

Speaking of dreams, procedures zinazotakiwa kufuatwa katika kumiliki boti binafsi tanzania ni zipi, na unahitaji kufuata taratibu zipi kila unapoingia Z'bar kutokea Dar/Bagamoyo, kwa sababu nakumbuka PM Mizengo Pinda alisema Z'bar ni mkoa tu.
 

Priceless!!

Kwani kasema anataka kuanzisha kampuni ya usafiri? vile vile hajasema ananunua ndege ya aina gani heck akitaka ka-Cessna 172 ka mwaka 1999 anaweza kukapata ata kwa US$ 100K.

Huyo jamaa yake aliyefirisika alikuwa hajui kuendesha kampuni, kuwa pilot wa muda mrefu haimaanishi utaweza kuendesha kampuni ya ndege kwa ufanisi.
 
Mhh!! Watu naona mmemshupalia kweli kweli mdada wa watu, I think she was just saying for funny.
 
anaweza ila inabidi awe tajiri kama kina nicole kidman , anjelina jolie watu wa class hiyo au zaidi.hata rostam sidhani kama anaweza ku-own ndege kama hiyo
 
ukisoma maandishi yake alikua anataka kutuonyesha kuwa ile ndege ya Barrick iliwabeba yeye na gadna na hao machozi band basss.ndomaana wa TZ hatuendelei kwa kuwaza ujiko rather than creativity.
 

Asifanye mchezo, huyu, hataweza...Ndege si kama Machozi Band, ambayo unaweza kuiendesha kwa kuwakopa wapigaji..huh!

Lau angejua gharama ambazo ndege inakula asingetamka hilo, labda kwa kujifurahisha tu.
Hakuna lisilowezekana ni mipango mizuri tu na kuamua kutenda wote waliofanikiwa kufanya makubwa hapa DUNIANI waliamua kuyafanyia kazi mawazo yao hata wewe PAKAJIMMY unaweza kununua NDEGE.
 


labda hiyo!!
 
Sa hapo ndo umeongea kienyeji full.

Unadhani ni kipi ghali, kuendesha ndege ya private (isiyo na income), na ile ya kibiashara!

Sa ndo nakwambia, regardless ni ndege gani, hata ingekuwa Microlight, kwa mwanamuziki kama yeye inahitaji uchawi kuiendesha, achilia mbali kuinunua!

Iwill tell you why if you insist.
 
alomdanganya jaydee kuwa anaweza kununua ndege ni gadna
 
kati ya wote waloongelea hii issue, pakajimmy nakupa salute
 
OK, nimeona kweli kwa nini mama huyu kasema watu waliosoma wa JF hawatakiwi kujadili upuuzi kama huu; it is too low. Ni sawa kabisa kuchukua chapter kwenye kitabu cha "Mbwa Tomi na Paka Jimi" na kuanza kuijadili hapa.
 
OK, nimeona kweli kwa nini mama huyu kasema watu waliosoma wa JF hawatakiwi kujadili upuuzi kama huu; it is too low. Ni sawa kabisa kuchukua chapter kwenye kitabu cha "Mbwa Tomi na Paka Jimi" na kuanza kuijadili hapa.

Uko right mkuu... inawezekana ni kuboreka tu na maisha ya kisasa tunaishia kumjadili jide
 
is there any problem to dream of something?

Absolutely not. BUT when you put in public domain your dreams, like this one, and you are claimed to be a celebrity, you surely warant a discussion of your 'dream'.

cause I am sure this was discussed here https://www.blogger.com/comment.g?blogID=6077601898511199136&postID=4769227778263855780

You can clearly see there isnt constructive criticism from her fans..and we are constructively criticizing her dreeam here for her own good..no haters!
 
At least ana wish. wengi waliofanikiwa wameanza na azma na mimi ninaamini anaweza kumiliki zaidi ya ndege. Kwani kuna wasanii wengine wish zao ni kuonekana kwenye starehe wakivinjari na vishori wanaishia kuimba afrika nambari one tu with nothing else to show.
MAY GOD GRANT U YOUR WISHES JD
 
OK, nimeona kweli kwa nini mama huyu kasema watu waliosoma wa JF hawatakiwi kujadili upuuzi kama huu; it is too low. Ni sawa kabisa kuchukua chapter kwenye kitabu cha "Mbwa Tomi na Paka Jimi" na kuanza kuijadili hapa.
Broda, is everything alright btn the two of us??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…