Jaydee huu ni utoto sana tena sana

Define 'utoto' na utuambie viashiria vya utoto huanzia wapi na kuishia wapi? Na ni according to who!

Baada ya hapo ndio tutajadili kile alichokifanya jide ni utoto au la.

 
kuna post yako niliisoma hapo mwanzo na nikawa na utulivu kwani nilikuwa nimepoteza matumaini, ningeependa kukuandikia kwenye inbox lakini sijui mbona ukurasa wakataa
 

Ni uswahili wa hali ya juu, waache watape tape, mwenzao ndiyo hvyo anazidi kuwa juu, mimi hata sijaona mantiki, kwani huo wimbo wa YAHAYA kautoa baada ya kuachana na gadner? Tutoleeni uswahili apa
 
Au Kongosho hajapiga mswaki ndo maana anaogopa kuongea.

Hahaha nimekumisije? bila appointment ya mishkaki weye hatujaonana. hebu jipange umuachie mangi duka uje tuonane bwana
ehehehehe!
hapo tu ndo unaponichenganyaga omutima wange!
kunywa novida nakuja kulipa!
yan ncvae kanga imeandikwa nunu nunu wamnunia nani kisa Kongosho hajanisalimia jana?labda anaumwa jino hawezi kufungua mdomo!
aaaargh!
 
Last edited by a moderator:

Ah mm ht nilikuwa cjui kama wameachana but walikaa pmj long time tena kwa kuheshimiana kama majungu tena co sawa
 

Hakuna lolote, huu uliotuletea ni upuuzi. Unataka kuilisha akili yetu haya mawazo mgando halafu unataka tusikuambie!
Ova
 
Last edited by a moderator:
kweli we zimwimtu hata huelewi kinachoendelea..wala hujui hapa ni wapi upo upo tu
ha ha ha ha...., mie nilikomenti ikiwa katika MMU, inawezekana imehamisha tayari kwa kuzingatia ushauri wangu.
 

Sasa kama unajua kila mtu atachangia lake unalialia nn sasa????? Hahahaaaaa
 
Last edited by a moderator:

Wazaramo utawajua tu yaani wanatumia nguvu nyingi kutafuta tafsiri ya vitu ambavyo pengine hata havimaanishi hivyo.

Ni sawa wale jamaa zangu wakimuona mtu ana macho mekundu ni MCHAWI halafu wanaua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…