Jazirat hizr( Pemba)

Jazirat hizr( Pemba)

Lumanyisa inabidi kwanza ujue kisiwa nini na kimezungukwa nanini mahitaji yao yalitegeme bahari name hats zama za Nabii saleh watu wakemahita yao wakipata baharin km wewe msabato utalijua hilo
 
Hapa Maalim nyerere hukua Oman Hawa waarabu wanao onekakana ni wazanzibar ambao walikua sehemu mbali mbali za Tanganyika na kushikilia maeneo hayo kiutawala Wa ndani na kufikisha uislam km inavofanywa kazi hio na wapemba walio huko Tanganyika km walivofanya waarabu ambao ndio asili ya watu Wengi Wa kisiwa cha pemba
 

Attachments

  • 1397157514836.jpg
    1397157514836.jpg
    39.3 KB · Views: 77
Waliendesha biashara mbalimbali Wa kwanza kulia ni Muhammed bin alikua bukoba .Wa pili Hamad bin Humid alikua shinyanga.Muhammed bin Abdullah alikua singida aneafata Ali bin Said dar es salam mW engine ni Salim Muhammad mwanza Hui no dalili tosha kua visiwani Zanzibar nikimaanaisha unguja na Pemba walipata nguvu name uwerevu zamani had I kufikia kushikialia baazi ya maeneo ya Tanganyika had I pale nyerere alipo taka kukutana nao 1961 km inavoonekana pichani

Karibuni ndugu hicho ni kidokezo Bali tutaendea kujua nini Pemba na ninani wapemba
 
Waliendesha biashara mbalimbali Wa kwanza kulia ni Muhammed bin alikua bukoba .Wa pili Hamad bin Humid alikua shinyanga.Muhammed bin Abdullah alikua singida aneafata Ali bin Said dar es salam mW engine ni Salim Muhammad mwanza Hui no dalili tosha kua visiwani Zanzibar nikimaanaisha unguja na Pemba walipata nguvu name uwerevu zamani had I kufikia kushikialia baazi ya maeneo ya Tanganyika had I pale nyerere alipo taka kukutana nao 1961 km inavoonekana pichani

Karibuni ndugu hicho ni kidokezo Bali tutaendea kujua nini Pemba na ninani wapemba

Hebu tupe references ya historia yako hii....
 
Back
Top Bottom