Kumbe watu mnaangaliaga bongo movie..
Unafananisha Gasho na Mwanaume!Kumekuwa na ubishani miongoni wma wadau wa sekta ya bongo movie hasa baada ya kufariki marehemu KANUMBA(R.I.P) kuwa nani hasa anafuta nyayo zake je ni RAY au JB kwa mtazamo wako kati ya RAY na JB nani mkali
wote bado sana. am addicted with European movies
Jb mkali ila bado sijaona investment zake kama nyumba,gari ofisi asija akawa mtu wa starehe tu