JBL BoomX3

JBL BoomX3

Radio ingine bora kwa sasa na haina mpinzani na bei ni nzur ni Anker soundcore boom Motion plus, hizi brand zote mbili nimezitumia kwa almost miaka mitano sasa ila jbl yuko more famous sana ila anker ni habari ingine.Mwenye kubisha abishe ila nimeshaplace order hapa
Screenshot_20241219-175540.png
 
Inauzwa 1.3 - 1.4 millions mkuu.
Bei ya kiwanja kwa walala hoi na unapeleka tofali za kuanzia msingi
"Duuuuuuh!!

We jamaa ndezi kweli, yaani nishindwe kwenda hapo kkoo, kila machinga anazo wanauza 65k nije kutoa million " - (Alisikika mshamba mmoja mwenye wivu akiongea,)
 
Wakati dunia imeshikwa na sonny, LG, Samsung na Sonny kwa kipindi kirefu… huku wakitamba na vifaa vyao konki na bora duniani…. JBL pia alikuepo sokoni.

Ila hakuwa na vifaa vingi vya kushika soko, hadi hapo miaka ya karibuni baada ya kufuatua vifaa bora na vya bei ya wastani.

Ubora na uimala wake ukashika hatamu ikauza na kuuza.

Naamu na sasa nnaweza kusema ni moja ya campuni nzuri na bora sokoni ki ushindani wa biashara na ubora wa vifaa.

Hawakuishia hapo kwani September 8 2022 kwa mala ya kwanza JBL walitambulisha sokoni mnyama wa kuitwa boomx3.

Portable speaker bora yenye radha nzuri ya muziki,
Ikikupa dynamic bass na tweeter nzuri isiyochosha.

Hizi ni baadhi ya sifa zake
1. Mzigo ni 2.1 stereo with deep bass ,hivyo itakupa mziki mzito wenye mkito mzuri

2. Ina connect kwa Bluetooth

3. Inacheza kati ya frequency 40-20KHz

4. Inafanya kazi masaa24 tangu ichajiwe full

5. Plastic yake ni chapa ya IP67 hivyo ni ngumu isiyovunjwa kwa wepesi

6. Chuma ni water proof pia inazuita takayaka kuingia

7. Chuma ina 136watts jumla

8. Chuma ina kg6.70 hivyo huchoki kuibeba.

9 Ukitaka kuochaji hadi ijae vizuri basi ni 24hrs😣

Yess its is boom x3

View attachment 3188901
Mchina lazima atoe copy hii. Mchina yupo vizuri kwa Copy
Nakumbuka kipindi kile nipo mdogo, baba alikuwa na Sony ya kanda za Cassete. Ilikuwa inagonga Sabufa ya mchina ikasome.
Mjomba si akaipenda, akaenda kununua dukani akakutana na copy ya mchina. Alijuta kuinunua ile Sony naikumbuka mpaka sasa hivi ilikuwa na muziki mzuri sana.
 
Mchina lazima atoe copy hii. Mchina yupo vizuri kwa Copy
Nakumbuka kipindi kile nipo mdogo, baba alikuwa na Sony ya kanda za Cassete. Ilikuwa inagonga Sabufa ya mchina ikasome.
Mjomba si akaipenda, akaenda kununua dukani akakutana na copy ya mchina. Alijuta kuinunua ile Sony naikumbuka mpaka sasa hivi ilikuwa na muziki mzuri sana.
Vya kale ni dhahabu
Zile zilikua pure 2.0
 
Wakati dunia imeshikwa na sonny, LG, Samsung na Sonny kwa kipindi kirefu… huku wakitamba na vifaa vyao konki na bora duniani…. JBL pia alikuepo sokoni.

Ila hakuwa na vifaa vingi vya kushika soko, hadi hapo miaka ya karibuni baada ya kufuatua vifaa bora na vya bei ya wastani.

Ubora na uimala wake ukashika hatamu ikauza na kuuza.

Naamu na sasa nnaweza kusema ni moja ya campuni nzuri na bora sokoni ki ushindani wa biashara na ubora wa vifaa.

Hawakuishia hapo kwani September 8 2022 kwa mala ya kwanza JBL walitambulisha sokoni mnyama wa kuitwa boomx3.

Portable speaker bora yenye radha nzuri ya muziki,
Ikikupa dynamic bass na tweeter nzuri isiyochosha.

Hizi ni baadhi ya sifa zake
1. Mzigo ni 2.1 stereo with deep bass ,hivyo itakupa mziki mzito wenye mkito mzuri

2. Ina connect kwa Bluetooth

3. Inacheza kati ya frequency 40-20KHz

4. Inafanya kazi masaa24 tangu ichajiwe full

5. Plastic yake ni chapa ya IP67 hivyo ni ngumu isiyovunjwa kwa wepesi

6. Chuma ni water proof pia inazuita takayaka kuingia

7. Chuma ina 136watts jumla

8. Chuma ina kg6.70 hivyo huchoki kuibeba.

9 Ukitaka kuochaji hadi ijae vizuri basi ni 24hrs😣

Yess its is boom x3

View attachment 3188901
Ina hi Fi system ndani yake (high fidelity)
 
Back
Top Bottom