JBL Sound Bar 9.1 detachable Watts 820

JBL Sound Bar 9.1 detachable Watts 820

[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwamba 2.1 imetengenezwa kwa ajili ya Movies halafu 5.1 na 9.1 inetengenezwa kwa ajili ya Mziki mnene?

Hivi mnafahamu hata ni kwa nini hizo speakers ndogo nyingine kwenye 5.1 na 9.1 zinachomolewa?

You people can't be serious.
Tuelekeze kile unachofahamu na kukijua kuliko kumnanga mwenzio aliyeelezea anafahamu nini.

Toa somo tukuelewe kuliko maneno matupu ya kukosoa
 
Wakuu habari?

Nataka kupendezesha kasebule kangu, nakosa mdundo mzuri tu sebuleni. Wadau wanashauri ninunue Sound Bar za JBL.

Nimefanya ununuzi wa madirishani kwenye baadhi ya maduka yanazouza hizo Sound Bars naambiwa ni wastani wa milioni 2 hadi milioni 2.6.

Naomba kuuliza kwa wazoefu, hii kitu ina value for money, yaani hiyo bei yake ni sahihi ama napigwa?

Ahsante sana.
Chukua watt 200 877000 Tsh inacheza hapo
 
Wakuu habari?

Nataka kupendezesha kasebule kangu, nakosa mdundo mzuri tu sebuleni. Wadau wanashauri ninunue Sound Bar za JBL.

Nimefanya ununuzi wa madirishani kwenye baadhi ya maduka yanazouza hizo Sound Bars naambiwa ni wastani wa milioni 2 hadi milioni 2.6.

Naomba kuuliza kwa wazoefu, hii kitu ina value for money, yaani hiyo bei yake ni sahihi ama napigwa?

Ahsante sana.
Chukua watt 200 877000 Tsh inacheza hapo
 
View attachment 2353425


Hawa jamaa wana buds original wako posta Tifany diamond hotel ndani mle, ila kwa buds jarbu google pixel buds
View attachment 2353426

Bei yake ni 350,000/= Tshs kwa hao jamaa
Iko cheap kimtindo,kuna sehemu nimechukua jbl tune 130 bei inakaribiana na hiyo google pixel while hii jbl ni midrange ila iko ghali
20220911_192542.jpg
 
Matusi ya nini tena?

Wewe ndio msengerema usiyejua hata vitu basic kama hivi.
Mwenzako kaeleza wewe unaleta maswali yako yasiyo na kichwa wala miguu, huu sio ukumbi wa ushambenga wa kusutana ama kuonekana unajua. Kama unajua sema unachokijua kama wenzako walivyosema, sasa maswali ya nini?

Kwa akili yako unadhani kila mtu humu ni DJ kama wewe awe anafuatilia masuala ya music system?

Unachokijua wewe sio lazima mimi niwe nakijua, so kama kuna kitu una uelewa nacho ama unakijua vizuri toa elimu, sio kuanza kuonyeshana hapa kama unajua na wengine hawajui. Hili ni jukwaa tunapeana ufahamu.

Mimi ukiuliza kitu ambacho hukijui na mimi nakijua nitatoa maelezo, sio kukaa kukuuliza maswali yasiyo na kichwa wala miguu, unajua hiki, unajua maana yake, unajua kwa nini imewekwa,, unajua unajua unajua unajua imekua unajua. Toa maelezo kama hutaki acha.
 
Ndio uweke details hapa kwasababu mgu hawezi nunua jbl systm mbili ili apate fleva kamili ya muziki akitaka kuangalia muvi azime jbl anayotumia kwenye muziki awashe nyingine
Details zipi Tena aweke? Hujaelewa nini hapo jomba
 
[emoji16][emoji16] we jamaa Wa ajabu sana, Unajua kuwa ukigoogle hzo ngonjera zako zote unapata majbu yake?

Umeona hapo kwnye maelezo yangu nimegusia kuwa 2.1 ama 5.1 maana yake ni kuwa hyo soundbar ni maalum kwa kitu flani? Ama una bwabwaja tuu maneno ambayo hta kuyaelezea ww huwezi?

[emoji3541]Nimefafanua kila sound bar kuanzia 2.1 mpk 9.1 kila moja inasifa gani na ni BORA kwnye matumizi yapi.(ambako siyo lazma ufuate nachosema mm)

Ss ww umeona hapo nimetka kufafanua mada yako unayokomaa nayo ya kuuliza swali et “unajua maana ya 2.1 ama 9.1 nnn?”

Unauliza maswali mepesi sana kiasi kwmb naanz kupata mashaka na level ya uelewa wako kijana, unahabari swali unalouliza ww hata ukigoogle majbu yake unayakuta yako full tena in details??

[emoji3541]sasa nakuonyesha kipande kidogo tuu cha majbu ya swali lako unalokomaa nalo unahs watu hawaelewi wanachokiongelea hapa [emoji117]View attachment 2353980

Akimaanisha kuwa channel zimegawanyika km hvi [emoji117]View attachment 2353981

Na [emoji117]View attachment 2353982
So next time kabla hujaanz kukashfu alichokiandka mtu tuliza akil yako hyo kwnza usome uelewe
Tunaomba na 9.1
 
Hzi nazo ziko fresh sema kwa JBL headphones wako njema zAidi kuliko buds, ukipta zile T510 Pure bass ni balaa mziki wake pia zinadumu sana mda mrefu, mm yangu nliyokua naitumia nlitumia for almost 2 years mpk zikaja kuanza kuleta mazinga zinga ya ajabu View attachment 2353967
View attachment 2353968
Hizi headphone zinautimamu kweny mkito na usikivu yaani full burudani

14-33-54-193506476_979576122811214_8132701317385176461_n.jpg
 
JBL SOUNDBAR zinazofanya vzr kwa ss hvi zipo za aina tatu
[emoji3541]JBL 2.1 total power up to 300W
[emoji3541]JBL 5.1 total pwer up to 510W
[emoji3541]JBL 9.1 total pwer up to 820W

Tuanze na sababu ya uhitaji wako wa soundbar nyumbani?

[emoji967] kuna jamaa amesema either unahitaji kwa ajili ya matumizi tuu ya nyumbani
[emoji117]like , music, kusklzia movies na kuconnect na blutooth supporting devices such as simu ama ipad even [emoji335] computer ama laptop

[emoji3541]JBL 2.1 ni nzuri sana kwa kutumia kusklzia MOVIE inatoa ORIGINAL MOVIE SOUND na syo sound zile za makelele km upo kidimbwi unasklza vdeo mpya ya marioo [emoji16][emoji16], kama ulishawah ingia CINEMAX utakua unanielewa namaanisha nn.
[emoji967]So km unatk soundbar alafu ww ni mtu wa movie sana nenda kwnye JBL 2.1 itakufaa sana

View attachment 2353409


[emoji3541]JBL 5.1 hii ni nzuri kwnye kusklzia mziki, kuanglia movie pamoja na kuconnect kwa blth, hii kwnye ile bar yake kuna detachable wireless speakers ambazo zina uwezo wa kukaa na charge mpk masaa 10
View attachment 2353410


[emoji3541]JBL 9.1 hii ni nzuri kwa mtu unayetka soundbar kwa ajili ya mziki mnene, watts 820 ya JBL siyo mchezo ina ngvu sana, hata muonekano wake ukiiona in reality utaelewa namaanisha nni. Pia hii nayo ina detachable wireless speakers ambazo nazo zina uwezo wa kukaa hadi 10hrs zikiwa zinapiga [emoji41]

View attachment 2353411


[emoji967]Jbl 5.1 na 9.1 utofaut wao uko kwnye Watts pamoja na ukubwa wa mziki unazozitoa ila mambo mengne yote yako similar sana..[emoji967]

[emoji3541]Tuje kwnye Gharama ama bei zao

[emoji383]JBL 2.1 ni 950k mpk 1.2M
[emoji383]JBL 5.1 ni 1.75m mpk 1.95M
[emoji383]JBL 9.1 ni 2.5M mpk 2.75M

[emoji117]Note hzi ni bei za kariakoo
Ukienda sehem km mlimani city ama masaki hyo ya 9.1 wanauza 4.5M [emoji16][emoji16][emoji16] but those are with same quality
Safi sana mkuu.Umeelezea vyema hadi mimi wa Tandahimba ndanindani nikupata
 
Back
Top Bottom