Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Labda ungesema BoschTafuta BOSE hiyo Jbl ni ya kawaida sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ungesema BoschTafuta BOSE hiyo Jbl ni ya kawaida sana
Tatizo soundbar hazina redioWakuu habari?
Nataka kupendezesha kasebule kangu, nakosa mdundo mzuri tu sebuleni. Wadau wanashauri ninunue Sound Bar za JBL.
Nimefanya ununuzi wa madirishani kwenye baadhi ya maduka yanazouza hizo Sound Bars naambiwa ni wastani wa milioni 2 hadi milioni 2.6.
Naomba kuuliza kwa wazoefu, hii kitu ina value for money, yaani hiyo bei yake ni sahihi ama napigwa?
Ahsante sana.
Updates 10th October 2022
Nimenunua mzigo wa JBL 9.1.
Juzi baada ya kuununua huu mzigo nikawa naitumia kupitia Blue tooth ila sikufeel ile music niliyokua naitaka room.
Kwa bahati nzuri leo nikaingia you tube kuangalia jinsi ya kutumia hii sound bar ndio nikaona kua ukitaka kufurahia tumia HDMI eARC port.
Nilipofanikiwa kutumia hiyo port aisee hii kitu ni hatari, base lake sio la kitoto.
Nimekubali JBL ni noma na nusu.
Kinu hii ya bose inaendajeKinu cha BoseView attachment 2354434
Radio ya nini wewe. Au unataka kywasukiliza wakina mwijaku?Tatizo soundbar hazina redio
Nina zaidi ya miaka 18 sisikilizi radio.Tatizo soundbar hazina redio
Kuna watu ni wapenz sana wa redioRadio ya nini wewe. Au unataka kywasukiliza wakina mwijaku?
Duh, hii shidaNina zaidi ya miaka 18 sisikilizi radio.
Bose & JBL when it comes about sound zinazidiana Vitu vidogo sana mzeeKinu hii ya bose inaendaje