Hezbollah wana tunnels ambazo zipo complex na nyingi kuliko Hamas, Hamas wame survive Gaza kwenye tunnels.
Kuhusu silaha, Hezbollah wana shehena kubwa ya silaha.
Israel anaweka pressure kwa Hezbollah na kufarakanisha Hezbollah na serikali ya Lebanon, najua hadi hivi sasa kuna mvutano kati ya Hezbollah na serikali ya Lebanon.
Ndio maana umesikia viongozi wengi wameanza kupaza sauti hawataki kuona Lebanon ikiwa Gaza nyingine.
Israel inaelewa hilo ndio maana na yeye hapoi, kwenye ugomvi ukiwa unaamua watu utaona wana hasira sana kupambana hawataki kuamuliwa lakini ukiwaacha hao kila mmoja njia yake...
Serikali ya Lebanon haitokubali Hezbollah ianzishe vita kamili...
Netanyahu nae alisikika akiwaambia raia wa Lebanon "tuna vita na Hezbollah sio ninyi" hio ni kauli ya uchonganishi..
Maswali baina ya wanaharakati, viongozi wa Lebanon na wananchi itakuwa vita ikianza watakaoumia ni watoto wetu, wazazi, wanawake na wasio na hatia wakati huo Iran wanaishi kwa amani..
Wakati huo Hezbollah wapo kwenye tunnels, je hii vita inatufaa?
Kitu kitakacho surprise Israel ni kama Hezbollah watangaze vita kamili, nina uhakika Israel hajajipanga kwa hilo...
Nionavyo hapa hakuna vita...
Israel haitaki hii vita, ndio maana Hezbollah kawachokoza Israel muda mrefu wamekaa kimya...