Paschal qamara
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 2,218
- 3,958
Nasrullah kauawa tayari mzee teueni mwingineHezbollah labda kama sio hawa , ukiua mtu leo atateuliwa mwingine 😀 😀 😀 ...Hao jamaa hapana sio rahisi kuwavuruga kiuzalendo ....Hilo shambulio la pagers ndio lingewarudisha nyuma ila ,timing kumchinja kobe hapo .
Pray 4 Israel!!!Nendeni mkamzike Hassan Nasraillah tayar confirmed eliminated.
Hakuna vita mbaya ambayo Hizbullah wamepigana na Israel kama hii.
Watateu , kwani Hamas wamestop?Nasrullah kauawa tayari mzee teueni mwingine
Hezbollah wana tunnels ambazo zipo complex na nyingi kuliko Hamas, Hamas wame survive Gaza kwenye tunnels.
Kuhusu silaha, Hezbollah wana shehena kubwa ya silaha.
Israel anaweka pressure kwa Hezbollah na kufarakanisha Hezbollah na serikali ya Lebanon, najua hadi hivi sasa kuna mvutano kati ya Hezbollah na serikali ya Lebanon.
Ndio maana umesikia viongozi wengi wameanza kupaza sauti hawataki kuona Lebanon ikiwa Gaza nyingine.
Israel inaelewa hilo ndio maana na yeye hapoi, kwenye ugomvi ukiwa unaamua watu utaona wana hasira sana kupambana hawataki kuamuliwa lakini ukiwaacha hao kila mmoja njia yake...
Serikali ya Lebanon haitokubali Hezbollah ianzishe vita kamili...
Netanyahu nae alisikika akiwaambia raia wa Lebanon "tuna vita na Hezbollah sio ninyi" hio ni kauli ya uchonganishi..
Maswali baina ya wanaharakati, viongozi wa Lebanon na wananchi itakuwa vita ikianza watakaoumia ni watoto wetu, wazazi, wanawake na wasio na hatia wakati huo Iran wanaishi kwa amani..
Wakati huo Hezbollah wapo kwenye tunnels, je hii vita inatufaa?
Kitu kitakacho surprise Israel ni kama Hezbollah watangaze vita kamili, nina uhakika Israel hajajipanga kwa hilo...
Nionavyo hapa hakuna vita...
Israel haitaki hii vita, ndio maana Hezbollah kawachokoza Israel muda mrefu wamekaa kimya...
Duh,
Waislamu ni wabaguzi na wajinga mnoUshaawaambia?
Hizo story za kina Goliath mimi siziwekei uzito.Mtu asiyejua historia ya Israel anaweza kubeza.
Israeli in Deep History ya vita kuliko taifa lolote lile Duniani.
Mbinu za vita wamejifunza kizazi hadi kizazi Tangu wakati wanaingia Kanani.
Wayebusi kwa siku moja tu waliuliwa kwa mapanga( vita vya uso kwa uso)
Wapiganaji 28,000.
Bibilia inataja Jeshi la Israali likipambana na Wafilist, waamori, waamoni, wa Edom na wa Parizi wote kwa pamoja na linashinda.
Wakati huo Jeshi la Israeli likiwa na Wapiganaji zaidi ya Laki tatu. Hii ni miaka takribani 1500 Kabla Yesu Hajazaliwa. Leo hii Tanzania watu 61M hatuna idadi inayokaribian hata nusu ya hiyo idadi.
Mwaka 2010 nilifanikiwa kurika Israeli. Utaratibu wao kila Raia ni Mwanajeshi. Wako Smart kwa kila kitu.
Imagine kwa Tension iliyopo ya vita wanapataje Access ya kumuua Kamanda mkubwa?
Wao ktk vita Target zao ni Viongozi.
Wakati wanapigana na Wa Amaleki walimpiga Agagi( kamanda), wakati wa wafilisti walimpiga Goliati.
Kumbuka Jinsi Mwanausalam Ehudi alivyovamia Ikulu ya Mfalme wa Moabu yaani Eglon
Soma; wamuzi 3:12
Nataka nikupe Insight ujue Israeli ni Nchi ya namna gani.Hizo story za kina Goliath mimi siziwekei uzito.
Mimi nawekea uzito kwenye current issues.
Israel haina jeshi gumu kama udhaniavyo,vita ya Gaza pekee imewasababishia askari 70,000 wa Israel kuwa walemavu wa kudumu.
Sasa sijui wakipigana na Hizbollah itakuajem
Unajua kikosi cha askari 70,000 ni pigo gani kwa jeshi!?Nataka nikupe Insight ujue Israeli ni Nchi ya namna gani.
Tanzania Nchi yenye Population ya 65+M tuna watumishi wa umma wasiozisi laki tano walimu, wauguzi, madaktari, polisi, majeshi yoote inclusive plus matawi mengine ya umma.
Kwa hiyo ukiniambia Wanajeshi 70,000 wamekuwa walemavu ndani ya Taifa lenye population isiyozidi 15M you know what. I am saying?
Unajua kikosi cha askari 70,000 ni pigo gani kwa jeshi!?Nataka nikupe Insight ujue Israeli ni Nchi ya namna gani.
Tanzania Nchi yenye Population ya 65+M tuna watumishi wa umma wasiozisi laki tano walimu, wauguzi, madaktari, polisi, majeshi yoote inclusive plus matawi mengine ya umma.
Kwa hiyo ukiniambia Wanajeshi 70,000 wamekuwa walemavu ndani ya Taifa lenye population isiyozidi 15M you know what. I am saying?
Umechambua vizur ila kuna jambo umeshindwa kuling'amua...huwez jua kwa Nini hyo 2006 mu Israel amerud nyuma na Sasa ni miaka almost 14...kuna watu wanacheza na war strategies kwa kufanya kuweka mapandikizi,kujua mbinu,zana mnakozificha....Sasa huyu karusha rocket tangu vita ya ghaza...ila usichokijua Muisrael alifanya tathimin ya kuwa na vita sehem mbili akaona hautakuwa worth kwake ..kaaamua kumalizana na Gaza kwanza...Sasa Kule hakuna jipya..nguvu kaamishia huko north...ebu tuone mwsho wake...ila ndo Ivo yakitikea ya ghaza kuna serikali ya Lebanon itaanguka ..kitu ambacho naona wanavutana mpka Sasa hivHezbollah wana tunnels ambazo zipo complex na nyingi kuliko Hamas, Hamas wame survive Gaza kwenye tunnels.
Kuhusu silaha, Hezbollah wana shehena kubwa ya silaha.
Israel anaweka pressure kwa Hezbollah na kufarakanisha Hezbollah na serikali ya Lebanon, najua hadi hivi sasa kuna mvutano kati ya Hezbollah na serikali ya Lebanon.
Ndio maana umesikia viongozi wengi wameanza kupaza sauti hawataki kuona Lebanon ikiwa Gaza nyingine.
Israel inaelewa hilo ndio maana na yeye hapoi, kwenye ugomvi ukiwa unaamua watu utaona wana hasira sana kupambana hawataki kuamuliwa lakini ukiwaacha hao kila mmoja njia yake...
Serikali ya Lebanon haitokubali Hezbollah ianzishe vita kamili...
Netanyahu nae alisikika akiwaambia raia wa Lebanon "tuna vita na Hezbollah sio ninyi" hio ni kauli ya uchonganishi..
Maswali baina ya wanaharakati, viongozi wa Lebanon na wananchi itakuwa vita ikianza watakaoumia ni watoto wetu, wazazi, wanawake na wasio na hatia wakati huo Iran wanaishi kwa amani..
Wakati huo Hezbollah wapo kwenye tunnels, je hii vita inatufaa?
Kitu kitakacho surprise Israel ni kama Hezbollah watangaze vita kamili, nina uhakika Israel hajajipanga kwa hilo...
Nionavyo hapa hakuna vita...
Israel haitaki hii vita, ndio maana Hezbollah kawachokoza Israel muda mrefu wamekaa kimya...
Hakuna raia wa Lebanon yupo tayari kuona Lebanon inateremshiwa makombora na kuua maelfu ya watoto.Umechambua vizur ila kuna jambo umeshindwa kuling'amua...huwez jua kwa Nini hyo 2006 mu Israel amerud nyuma na Sasa ni miaka almost 14...kuna watu wanacheza na war strategies kwa kufanya kuweka mapandikizi,kujua mbinu,zana mnakozificha....Sasa huyu karusha rocket tangu vita ya ghaza...ila usichokijua Muisrael alifanya tathimin ya kuwa na vita sehem mbili akaona hautakuwa worth kwake ..kaaamua kumalizana na Gaza kwanza...Sasa Kule hakuna jipya..nguvu kaamishia huko north...ebu tuone mwsho wake...ila ndo Ivo yakitikea ya ghaza kuna serikali ya Lebanon itaanguka ..kitu ambacho naona wanavutana mpka Sasa hiv