Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ufuge mbuzi wa kufunga kamba, ila changamoto inakuwa ulinzi
Sh laki tano unapata majike kama 6 yanayozaa pacha halafu unachukua dume moja kubwa la laki moja
Habari wadau! Naomba kufahamu pesa tajwa hapo juu kama inatosha kufuga mbuzi. Sins hata banda nina kiwanja tu!
Maoni yenu ndiyo mafanikio yangu
Inatosha kabisa kikubwa ni ujue mbegu unazochukuwa na uanze na majike wanao zaa mapacha na uchukue waio pandwa kabisa. kila la kheri ktk hilo mimi nimeanza mwaka huu nasonga taratibu.Habari wadau! Naomba kufahamu pesa tajwa hapo juu kama inatosha kufuga mbuzi. Sins hata banda nina kiwanja tu!
Maoni yenu ndiyo mafanikio yangu
Habari wadau! Naomba kufahamu pesa tajwa hapo juu kama inatosha kufuga mbuzi. Sins hata banda nina kiwanja tu!
Maoni yenu ndiyo mafanikio yangu
Ndio na nimeshaanza kuwafuga mkuuUzi huu ni wa mwaka jana... Vipi ulifanikiwa kupata mbuzi wa kufuga?
Kila la kher mkuu.. ila kuna changamoto moja hv ya mbuzi kuwakataa watoto pindi akishazaa. Je, huwa unaikabili vipi?Steven Nguma said:Ndio na nimeshaanza kuwafuga
Sijaanza kukumbana nayo ila naamini nitajaribu kuwauliza wenzangu amabao wamenitangulia ktk ufugaji nikipata taarifa nitaleta mrejesho kwenye Mbwa niliweza kukabiliana nayo pamoja yakuwa ilinigarimu sana ila nilipambana.Kila la kher mkuu.. ila kuna changamoto moja hv ya mbuzi kuwakataa watoto pindi akishazaa. Je, huwa unaikabili vipi?
MKuu ulipata wa kuzaa mapacha uliwachukua wapi maana mm nataka kuanza piaSijaanza kukumbana nayo ila naamini nitajaribu kuwauliza wenzangu amabao wamenitangulia ktk ufugaji nikipata taarifa nitaleta mrejesho kwenye Mbwa niliweza kukabiliana nayo pamoja yakuwa ilinigarimu sana ila nilipambana.
Niliwaagiza biharamulo ninao 15 sasaMKuu ulipata wa kuzaa mapacha uliwachukua wapi maana mm nataka kuanza pia
wamezaa mapacha ,shilling ngapi mbuzi mmojaNiliwaagiza biharamulo ninao 15 sasa
Tsh ngapi kwa mbuzi mmoja?Niliwaagiza biharamulo ninao 15 sasa
Vp kuhusu malisho? Unawapa majani ya kuwakatia? Au unaswaga kwenda polini? Una shamba boy au unakomaa mwenyewe?Niliwaagiza biharamulo ninao 15 sasa
Unapatikana wapi mkuu?Naomba utuunganishe na wanaoweza kutuuzia mbuzi hao nasi tufuge. Contact please!!