LOVE U JF
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 2,138
- 1,639
Unapatikana wapi nifate mbegu ya mbuz wazaao pacha niko mkurangaNdio na nimeshaanza kuwafuga mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapatikana wapi nifate mbegu ya mbuz wazaao pacha niko mkurangaNdio na nimeshaanza kuwafuga mkuu
Tafuta wafuga mbuzi wowote watakupaUnapatikana wapi nifate mbegu ya mbuz wazaao pacha niko mkuranga
mbegu hii nimetafuta sana bila mafanikioLabda ufuge mbuzi wa kufunga kamba, ila changamoto inakuwa ulinzi
Sh laki tano unapata majike kama 6 yanayozaa pacha halafu unachukua dume moja kubwa la laki moja
hili dume ulipatia wapi mkuuTuko vizuriView attachment 1727146
Hii mbegu nilinunuaga kitambo sana, kwasasa nataka nibadilishe generationhili dume ulipatia wapi mkuu
ullipata mbegu ya mapacha??Inatosha kabisa kikubwa ni ujue mbegu unazochukuwa na uanze na majike wanao zaa mapacha na uchukue waio pandwa kabisa. kila la kheri ktk hilo mimi nimeanza mwaka huu nasonga taratibu.
ni bonge la mbegu hilo dah natafuta mdogo mdogo wa dizaini kama hiyoHii mbegu nilinunuaga kitambo sana, kwasasa nataka nibadilishe generation
Upo wapi?ni bonge la mbegu hilo dah natafuta mdogo mdogo wa dizaini kama hiyo
Mkuu wap naweza pata hao majike wanaozaa mapacha? Mie nipo darLabda ufuge mbuzi wa kufunga kamba, ila changamoto inakuwa ulinzi
Sh laki tano unapata majike kama 6 yanayozaa pacha halafu unachukua dume moja kubwa la laki moja
mbegu hii nimetafuta sana bila mafanikio
Mkuu wap naweza pata hao majike wanaozaa mapacha? Mie nipo dar
Ooh mie binafsi nilikuwa natafuta mbuzi aina ya boer, km kuna mtu anafahamu walipo naomba connectionTafuta Jamii za wafugaji karibu yako ukienda taratibu na kwa ustadi
Ooh mie binafsi nilikuwa natafuta mbuzi aina ya boer, km kuna mtu anafahamu walipo naomba connect
Naomba connection mkuuBoer 100% kupata huwezi mzee ila iliyochanganywa boer na aina nyingine ya mbuzi unaeza pata wengi wapo bukoba wanaochukuliwa Uganda.
Ooh mie binafsi nilikuwa natafuta mbuzi aina ya boer, km kuna mtu anafahamu walipo naomba connection
mimi naulizia huyo story za baba ake zinatokea wapiUpo wapi?
Baba ake alitoka kwa 150k
Basi sawa we endelea kutafutamimi naulizia huyo story za baba ake zinatokea wapi
Mbuzi au watoto wa mbuzi? Maana kwa hesabu hiyo huko mbuzi mmoja anapatikana kwa 25,000Tsh.Kijijin iyo pesa unapata mbuz 17-20 uhakika