Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafsiri ya upweke ni ipi kama sio kutaka kuwa na mwenza wakutane kimwili? Alikuwa nao ndo maana akawa mpweke akaletewa wa kumuondolea upweke. Mbona hakuletewa mshakji wapige story?
Hoja yako ni ya kitotoAsante mkuu. Unakimbia hoja unaanza kutukana.
Sasa mbona wanadai kosa lake (kula tunda) ni kufanya ngono na Eva?Angejihisi vipi mpweke bila hizo mambo? Baada ya kuona wanyama wapo wawili wawili, aliumbwa nazo ila Mungu alihitaji aonyeshe uhitaji ndio amletee mwanamke, hata Leo huwezi kuoa mpaka utakapoona kuna sehemu unapungua, kama hujaona watu watakupigia kelele Sana ila hata hujali kuoa
adam aliubwa na mkewe. sasa utaumbaje kiumbe kikadhaliane na kipo pekeyake?Moja kwa moja kwenye mada haingii akilini kwamba Adamu aliumbwa na maumbile ya kiume mfano korodani, mfumo wa utengenezaji wa manii, uwezo wa kusimamisha uume, sexual hormones, Nyege
Hapakuwa na mwanamke kwa nini apewe hivyo vitu
Hoja yangu: Adamu aliumbwa akiwa sio mwanaume
Kukojolea [emoji41][emoji41]Sawa mkuu sasa uume ulikuwa wa kazi gani? Wakati mwanamke hakuwepo hapo mwanzo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndiyo aliumbwa na maumbile ya kiume na pia
Hii inathibitisha kuwa Eva au Hawa hakuwa mwanamke wa kwanza. Kwanini.
Alikuwepo lilith ambae aliumbwa kutokana na udongo akaja msaliti Adam then akaenda kwa shetani.
So walivyoumbwa kwa udongo kila mtu kivyake yaani Adam na Hawa so jinsia ziliwatenganisha.
So adama baada ya kukimbiwa ndio upweke wa nyege ukawepo so ili kuzuia hilo Mungu akaamua amtoe mwanamke ndani ya mwili wake Adam ili waendane.
So, jinsia alikuwa nayo na alikuwa mwanaume na mfumo wake wa uzazi alikuwa nao.
Adam ni mwanaume.
Nb pitia uzi wa mshana kuhusu Lilith aka joka kuu
Kwahiyo adamu aliumbwa na via vya uzazi ili amzalishe mbuzi?Mkuu unajua Mwanamke hakua kwenye mpango wa sir God hapo mwanzo
Nadhani mungu alijua kuwa ipo siku atavihitaji, thats y alimuumba navyo.Na mimi ndio najiuliza Mkuu,
kama aliumbwa na via vya uzazi aje azalishe nani? Mbuzi? Maana mwanamke hakuwepo?
So you mean Adam was transgender maana inaelekea unataka kuhalalisha jambo hapa.Niende to the extreme side,kwamba aliumbwa bila viungo vya jinsia yeyote.,kitu ambacho si kweli.Yeye ni Mungu,na ndiye aliyemuumba,kwa hiyo alikuwa na haki ya kumfanyia anachotaka.On the other hand,binadamu ameumbwa na Mungu kwa hiyo hana haki ya ku-modify chochote mwilini mwake,alifanya hivyo he is going against his Creator and is a sin.Moja kwa moja kwenye mada haingii akilini kwamba Adamu aliumbwa na maumbile ya kiume mfano korodani, mfumo wa utengenezaji wa manii, uwezo wa kusimamisha uume, sexual hormones, Nyege
Hapakuwa na mwanamke kwa nini apewe hivyo vitu
Hoja yangu: Adamu aliumbwa akiwa sio mwanaume
Kwa andiko lako naamini mwanamke wa kwanza hakuwa Hawa bali ni LilitMoja kwa moja kwenye mada haingii akilini kwamba Adamu aliumbwa na maumbile ya kiume mfano korodani, mfumo wa utengenezaji wa manii, uwezo wa kusimamisha uume, sexual hormones, Nyege
Hapakuwa na mwanamke kwa nini apewe hivyo vitu
Hoja yangu: Adamu aliumbwa akiwa sio mwanaume
Kwani kazi ya uume Ni kutowa nyege tu, Kuna mkojo Nini..Sawa mkuu sasa uume ulikuwa wa kazi gani? Wakati mwanamke hakuwepo hapo mwanzo.