Je African Chief Act ya mwaka 1969 bado inafanya kazi? Kama inafanya kazi kwa nini Rais Samia ameagiza machifu kufanya kazi?

Je African Chief Act ya mwaka 1969 bado inafanya kazi? Kama inafanya kazi kwa nini Rais Samia ameagiza machifu kufanya kazi?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Hiyo nchi Rais ana mamlaka mengi tofauti tofauti matokeo yake wananchi wanachanganyikiwa kama mleta mada. Atakuwa kawaagiza kwa kofia ya uchifu Hangaya
 
Huwa tunaona kila kiongozi anapewa Uchifu na mashuka na Mikuki
Na yeye si alipewa mpaka jina
Ila na nyie mmezidi kwa ushirikina
Na hamfiki popote
 
Machief watasaidia kulinda mila na desturi zetu katika jamii husika.

Kwasasa maadili yameharibika Sana labda machief watasaidia kufanya watu wajilinde bila ngono mpaka ndoa tumechoka kusikia talaka kila siku kisa mke wa ndoa kafumaniwa na x wake wa shule ya msingi
 
Back
Top Bottom