Ubuntu booothooo...
Ngoja atupe raha tuu...lete habari zenu za upande wa pili
Umesharudi kutoka Pretoria kwenye kuzinduliwa Mwakarobo junior au bado upo Zambia kukenulia meno bango la kono la nyani?Nb: baadaye akija kuwaaminisha kuwa Simba atamfunga & ata draw na Yanga .....mzomeeni coz atakuwa snawatania
Muulize Mwakarobo junior alijificha wapi tangu ijumaa 😂😂
Kwa hilo yupo vizuri[emoji23][emoji23] anajua kucheza na akili za Wana msimbazi