Je! Ahmed Ally aendelee kuaminiwa pale msimbazi?

Je! Ahmed Ally aendelee kuaminiwa pale msimbazi?

Wakuu Kwa hizi porojo za meneja hapa kwetu ukoloni Kila siku ni porojo tuendelee kumkubali na kumuamini??

Hizi ni baadhi ya porojo zake "Simba ni timu ya maajabu tutakwenda kumkanda Al ahly kule kule kwao ....sisi kwenda nusu fainali ni lazima""

Leo Baada ya kichapo kurudi bongo "Kufuzu nusu fainali ni lazima uwe na watu kweli kweli wakukupeleka nusu fainali" - @ahmedally_ .......Je alivyokuwa anatuahidi hakujua kuwa ana kikosi Cha mtumba?

Nb: baadaye akija kuwaaminisha kuwa Simba atamfunga & ata draw na Yanga .....mzomeeni coz atakuwa snawatania View attachment 2956619
Ila Ahmed Ally huwa namuona kama comedian flan hivi akiongea.
 
Wakuu Kwa hizi porojo za meneja hapa kwetu ukoloni Kila siku ni porojo tuendelee kumkubali na kumuamini??

Hizi ni baadhi ya porojo zake "Simba ni timu ya maajabu tutakwenda kumkanda Al ahly kule kule kwao ....sisi kwenda nusu fainali ni lazima""

Leo Baada ya kichapo kurudi bongo "Kufuzu nusu fainali ni lazima uwe na watu kweli kweli wakukupeleka nusu fainali" - @ahmedally_ .......Je alivyokuwa anatuahidi hakujua kuwa ana kikosi Cha mtumba?

Nb: baadaye akija kuwaaminisha kuwa Simba atamfunga & ata draw na Yanga .....mzomeeni coz atakuwa snawatania View attachment 2956619
Mie nilijua unaleta update za kesi yenu ya kunyimwa goli. Kama hujui kazi ya msemaji unaweza kupiga kimya ukitaka aseme Simba inasindikiza?. Sie tunasubiri nusu fainali isimamishwe Kwa ajili yenu wewe unaleta habari ya MTU anaefanya kazi yake😄😄 PR.
 
Tatizo mnapenda porojo na maneno mengi ndio maana bado hata Ahmed Ally hajapatosha. Nikiambiwa nitaje mabadiliko yafanyike Simba ili kuwa timu imara, msemaji hata namba tano hayupo
Ngoja tuone mwisho wa msimu
 
Aaah we acha tu! Ila sidhani kama amemzidi Manara wakati akiwa Simba kuongea mambo makubwa juu ya Simba Likuuubwa alilotuaminisha
Sema lakini kipindi kile Simba ilikuwa inatisha ....sema tu figisu zilikuwa nyingi kimataifa
 
Mie nilijua unaleta update za kesi yenu ya kunyimwa goli. Kama hujui kazi ya msemaji unaweza kupiga kimya ukitaka aseme Simba inasindikiza?. Sie tunasubiri nusu fainali isimamishwe Kwa ajili yenu wewe unaleta habari ya MTU anaefanya kazi yake[emoji1][emoji1] PR.
Maamuzi bado mkuu..... but nashangaa kwnn Mr kispika anawaburuza[emoji22]
 
Kwa Yanga simba hawezi chomoka,technically yanga anawacezaji Wazuri wengi and wenye uchu wa mafanikio kuliko Simba.
Kingine kuna wachezaji simba unaona kabisa wamechoka lkn kl Kukicha wanaanza mfano Saidoo,Inonga,Kapombe unaona kabisa wamechoka but can perform the same na wao?,mwazo kocha wa simba alikua anafanya rotation sasa hivi anaanza na wazee wenzake wkt kuna madogo km Chasambi they can give him more energy and results
 
Wakuu Kwa hizi porojo za meneja hapa kwetu ukoloni Kila siku ni porojo tuendelee kumkubali na kumuamini??

Hizi ni baadhi ya porojo zake "Simba ni timu ya maajabu tutakwenda kumkanda Al ahly kule kule kwao ....sisi kwenda nusu fainali ni lazima""

Leo Baada ya kichapo kurudi bongo "Kufuzu nusu fainali ni lazima uwe na watu kweli kweli wakukupeleka nusu fainali" - @ahmedally_ .......Je alivyokuwa anatuahidi hakujua kuwa ana kikosi Cha mtumba?

Nb: baadaye akija kuwaaminisha kuwa Simba atamfunga & ata draw na Yanga .....mzomeeni coz atakuwa snawatania View attachment 2956619
Nyie mnaomsikiliza Ndiyo mnamatatizo Hugo no comedian yaani mchekeshaji pia anatumia akili mnembo
 
Jamaa kazi anaiweza maana yanga imeajiri wasemaji watatu na wote anawatoa knockout
 
Kwa Yanga simba hawezi chomoka,technically yanga anawacezaji Wazuri wengi and wenye uchu wa mafanikio kuliko Simba.
Kingine kuna wachezaji simba unaona kabisa wamechoka lkn kl Kukicha wanaanza mfano Saidoo,Inonga,Kapombe unaona kabisa wamechoka but can perform the same na wao?,mwazo kocha wa simba alikua anafanya rotation sasa hivi anaanza na wazee wenzake wkt kuna madogo km Chasambi they can give him more energy and results
Sahihi mkuu ...kapombe alikuwa uchochoro Kwa Al ahly [emoji23]
 
Back
Top Bottom