Je, ajali Iliyosababisha kifo cha Shujaa wetu, Deo Filikunjombe, ni ajali ya Mungu au ya shetani?

Hizi nyuzi hizi! naona mkakati wa kumchafua Marope unashika kasi!
Anyway,safari hii namtetea Paskali,hajamtaja mtu hapo juu,ila mmeufufua muutumie kwa mambo yenu mnayowaza kichwani.
 

huu uzi umefukuliwa ili atleast mazuzu wapate ualau wa decryption ya uzi mpya...

ingekuwa vizuri kwenye huu uzi mpya wadau watafute mtu wa kuutafsiri maana umekuwa more coded then mfupi umekuwa kama β€˜kitendawili’
 
Mrope hana hamu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Naona mnamuiga kigogo wa Twitani kutimiza mkakati wenu kuja na habari kinzani.

Nipo pamoja na mtawala wa sasa, ILA yale maneno ya jasusi bobezi ya "niguse ninuke" yana mashiko sana, jamaa aliona mbele.

Chema chajiuza, kibaya chajitembeza.
 
Iko siku nitamwaga vyote (ugali na mboga) kuhusiana na kifo Cha deo,kuanzia mawasiliano ya mpango huo mpaka utekelezaji wa ushetani huu,kila kitu kipo clear,tuna nyamazaga tu mambo mengine
 
Iko siku nitamwaga vyote (ugali na mboga) kuhusiana na kifo Cha deo,kuanzia mawasiliano ya mpango huo mpaka utekelezaji wa ushetani huu,kila kitu kipo clear,tuna nyamazaga tu mambo mengine
Imeshapita miaka 12 sasa its no more classfied issue. Mwaga upupu watu wajifunze mambo yanavyoenda. Tena fungulia uzi wake kabisa mods hawataufunga coz haina madhara yoyote kwa sasa.
 
Kitaani wanasema kina Deo waliku,wa na pesa nyingi walikuwa wanasafiri nazo,rubani mzee Slaa (babake mbunge wa Ukonga) akaingia tamaa,akataka awatose kwa ku crush ndege asepe na kipunda,jamaa wakastukia chezo wakawa wanagombea fuko la minoti,matokeo yake ndiyo hayo...R.I.P.
 
Wewe jamaa kwahiyo marehemu ndio walishudia hilo maana wote walikufa mule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…