Je, akifanyacho Mwenezi wa CCM, Makonda, ni kuinyima CCM pumzi au kuiimarisha?

Je, akifanyacho Mwenezi wa CCM, Makonda, ni kuinyima CCM pumzi au kuiimarisha?

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Katibu Mwenezi, Bwana Makonda anafanya ziara huku na kule na kusikiliza kero za wananchi (sijui ni wana-CCM tu au la) na kuwa-task watendaji wa serikali ya CCM na watu kumshangilia.

Ingawaje sijui kama analofanya ni sehemu ya job description ya kazi aliopewa. Swali, kwa mendo huu sio anainyongonyeza CCM bila kujua? Kwa nini mimi niipigie kura wakati kero nyingi hazijafanyiwa kazi? Au linakuja lile Neno kwenye Bibilia kuwa 'utawala unaopingana wenyewe uanguka'?
 
Katika zunguka zake Nivema Makonda akajibu baadhi ya malalamiko juu yake kama vile Nikwanini anatumia jina la Poul Makonda wakati jina lake halisi ni Albert Bashite na nikwanini alivamia kituo cha tv cha claus, ilapia kwanini anaonekana kama mtu mhuni, mhalifu na mtovu wa nidhamu, ikumbukwe aliwahi kumvamia na kumshambulia alie wahi kua Wazili mkuu wa Tanzania Joseph Sinde Walioba.
 
Katika zunguka zake Nivema Makonda akajibu baadhi ya malalamiko juu yake kama vile Nikwanini anatumia jina la Poul Makonda wakati jina lake halisi ni Albert Bashite na nikwanini alivamia kituo cha tv cha claus, ilapia kwanini anaonekana kama mtu mhuni, mhalifu na mtovu wa nidhamu, ikumbukwe aliwahi kumvamia na kumshambulia alie wahi kua Wazili mkuu wa Tanzania Joseph Sinde Walioba.
Hahaaa Mbowe mwenyewe ni zero brain yaan empty head lkn anaongoza nyumbu
 
Katika zunguka zake Nivema Makonda akajibu baadhi ya malalamiko juu yake kama vile Nikwanini anatumia jina la Poul Makonda wakati jina lake halisi ni Albert Bashite na nikwanini alivamia kituo cha tv cha claus, ilapia kwanini anaonekana kama mtu mhuni, mhalifu na mtovu wa nidhamu, ikumbukwe aliwahi kumvamia na kumshambulia alie wahi kua Wazili mkuu wa Tanzania Joseph Sinde Walioba.
Chuki binafsi
 
Katibu Mwenezi, Bwana Makonda anafanya ziara huku na kule na kusikiliza kero za wananchi (sijui ni wana-CCM tu au la) na kuwa-task watendaji wa serikali ya CCM na watu kumshangilia.

Ingawaje sijui kama analofanya ni sehemu ya job description ya kazi aliopewa. Swali, kwa mendo huu sio anainyongonyeza CCM bila kujua? Kwa nini mimi niipigie kura wakati kero nyingi hazijafanyiwa kazi? Au linakuja lile Neno kwenye Bibilia kuwa 'utawala unaopingana wenyewe uanguka'?
CCM ndo wenye wajibu na haki wa kusema kama wanabanwa pumzi au wanaachiwa pumzi

We tulia unywe supu
 
Katika zunguka zake Nivema Makonda akajibu baadhi ya malalamiko juu yake kama vile Nikwanini anatumia jina la Poul Makonda wakati jina lake halisi ni Albert Bashite na nikwanini alivamia kituo cha tv cha claus, ilapia kwanini anaonekana kama mtu mhuni, mhalifu na mtovu wa nidhamu, ikumbukwe aliwahi kumvamia na kumshambulia alie wahi kua Wazili mkuu wa Tanzania Joseph Sinde Walioba.
Leo anaingia hapa Simiyu,njoo umuulize ana kwa ana
 
Katika zunguka zake Nivema Makonda akajibu baadhi ya malalamiko juu yake kama vile Nikwanini anatumia jina la Poul Makonda wakati jina lake halisi ni Albert Bashite na nikwanini alivamia kituo cha tv cha claus, ilapia kwanini anaonekana kama mtu mhuni, mhalifu na mtovu wa nidhamu, ikumbukwe aliwahi kumvamia na kumshambulia alie wahi kua Wazili mkuu wa Tanzania Joseph Sinde Walioba.
Makonda hazunguki nchini kujisemea yeye, bali anakisemea chama. Kama wewe una shida na makosa yake, wasiliana na Wakili Madeleka na Wakili Mwambukusi wampeleke mahakamani (Ila sina hakika kama wataweza kama wameshindwa maandamano)! Ahahahahaha!!!
 
Katika zunguka zake Nivema Makonda akajibu baadhi ya malalamiko juu yake kama vile Nikwanini anatumia jina la Poul Makonda wakati jina lake halisi ni Albert Bashite na nikwanini alivamia kituo cha tv cha claus, ilapia kwanini anaonekana kama mtu mhuni, mhalifu na mtovu wa nidhamu, ikumbukwe aliwahi kumvamia na kumshambulia alie wahi kua Wazili mkuu wa Tanzania Joseph Sinde Walioba.
Nyumbu umekaririshwa na DJ hadi aibu. Kama unaushahidi mpeleke mahakamani bwege kabisa
 
Katika zunguka zake Nivema Makonda akajibu baadhi ya malalamiko juu yake kama vile Nikwanini anatumia jina la Poul Makonda wakati jina lake halisi ni Albert Bashite na nikwanini alivamia kituo cha tv cha claus, ilapia kwanini anaonekana kama mtu mhuni, mhalifu na mtovu wa nidhamu, ikumbukwe aliwahi kumvamia na kumshambulia alie wahi kua Wazili mkuu wa Tanzania Joseph Sinde Walioba.
Unaumia ukiwa pande zipi za nchi kamanda?
 
Katibu Mwenezi, Bwana Makonda anafanya ziara huku na kule na kusikiliza kero za wananchi (sijui ni wana-CCM tu au la) na kuwa-task watendaji wa serikali ya CCM na watu kumshangilia.

Ingawaje sijui kama analofanya ni sehemu ya job description ya kazi aliopewa. Swali, kwa mendo huu sio anainyongonyeza CCM bila kujua? Kwa nini mimi niipigie kura wakati kero nyingi hazijafanyiwa kazi? Au linakuja lile Neno kwenye Bibilia kuwa 'utawala unaopingana wenyewe uanguka'?
yuko vizuri sana,
yeye ni jicho la Chama serikalini au unaweza ukasema ndie mwenye tochi kuangaza au kuimulika Serikali kwa niaba ya chama, na ndie mwenyekiti wa maandalizi na msimamizi wa utekelezaji wa ilani ya CCM...

Chongolo ni mtendaji mkuu na jicho la Chama ndani ya chama na wanachama wote. Kuhakikisha ndani ya chama kuko imara, kuko shwari na kunaimarika zaidi na kuinjoy ongezeko kubwa la wanachama wapya.

Mwenyekiti Taifa na viongozi wengine wote serikalini ni macho na maskio ya wananchi. Licha ya kutekeleza ilani wanafaa kutatua matatizo mengine ya wananchi kwasabb wao ndio wenye uwezo, dhamana na fedha za kufanya hivyo.

Na katika utekelezaji wa majukumu yao, their checkmate kutoka kwenye chama ni Muenezi ambaae ni mwenyekiti wa maandalizi ya ilani na msimamizi wa utekelezaji wa ilani yenyewe.....

So,
The gentleman is on the very right track, aendelee anafanya kazi muzuri sana....
 
Kuelewa anachokifanya Makonda lazima uelewe aliyempa nafasi alikuwa na lengo au malengo gani. We are all slaves of something or someone. Nachosema ni kwamba kuna yale wengi walitegemea afanye kama Mwenezi na kuna yale ambayo hayaonekani na hayajaandikwa ambayo ameelekezwa kufanya. Ninaona anafanikiwa. Tunamjadili yeye kuliko hata mafuriko na watu walioathiriwa nayo,mijadala ya VPN sijui bandari,bima ya afya nayo chalii. Wanasiasa wanasema politics is local,he is addressing local issues za anakopita na hilo ni muhimu kisiasa kuliko bandari ambayo huko anakopita ni chini ya asilimia 20 wamenufaika nayo moja kwa moja. Sisemi bandari haina umuhimu nasema umuhimu hauna nguvu sawa kwa kila mtanzania.
 
Katibu Mwenezi, Bwana Makonda anafanya ziara huku na kule na kusikiliza kero za wananchi (sijui ni wana-CCM tu au la) na kuwa-task watendaji wa serikali ya CCM na watu kumshangilia.

Ingawaje sijui kama analofanya ni sehemu ya job description ya kazi aliopewa. Swali, kwa mendo huu sio anainyongonyeza CCM bila kujua? Kwa nini mimi niipigie kura wakati kero nyingi hazijafanyiwa kazi? Au linakuja lile Neno kwenye Bibilia kuwa 'utawala unaopingana wenyewe uanguka'?
Hili swali unaliuza jf, kuna watu wameshanunuliwa kwa kazi ya kutukana sidhani kama utapata majibu. Makonda anafanya kazi hasiyopaswa kuifanya. Kazi yake ni kueneza sera za chama na si kusimamia utendaji wa serikali. Kwa wale walioshikiliwa akili wataona anaupiga mwingi.
 
Katika zunguka zake Nivema Makonda akajibu baadhi ya malalamiko juu yake kama vile Nikwanini anatumia jina la Poul Makonda wakati jina lake halisi ni Albert Bashite na nikwanini alivamia kituo cha tv cha claus, ilapia kwanini anaonekana kama mtu mhuni, mhalifu na mtovu wa nidhamu, ikumbukwe aliwahi kumvamia na kumshambulia alie wahi kua Wazili mkuu wa Tanzania Joseph Sinde Walioba.
Of which itatusaidia nini? Mzee
 
Makonda hazunguki nchini kujisemea yeye, bali anakisemea chama. Kama wewe una shida na makosa yake, wasiliana na Wakili Madeleka na Wakili Mwambukusi wampeleke mahakamani (Ila sina hakika kama wataweza kama wameshindwa maandamano)! Ahahahahaha!!!
Muhalifu kapata platform ya kujisafisha. Na kwakuwa ccm ni chama Cha wahalifu, sio ajabu muhalifu akitumia nafasi hiyo.
 
Back
Top Bottom