Je, akifanyacho Mwenezi wa CCM, Makonda, ni kuinyima CCM pumzi au kuiimarisha?

Je, akifanyacho Mwenezi wa CCM, Makonda, ni kuinyima CCM pumzi au kuiimarisha?

yuko vizuri sana,
yeye ni jicho la Chama serikalini au unaweza ukasema ndie mwenye tochi kuangaza au kuimulika Serikali kwa niaba ya chama, na ndie mwenyekiti wa maandalizi na msimamizi wa utekelezaji wa ilani ya CCM...

Chongolo ni mtendaji mkuu na jicho la Chama ndani ya chama na wanachama wote. Kuhakikisha ndani ya chama kuko imara, kuko shwari na kunaimarika zaidi na kuinjoy ongezeko kubwa la wanachama wapya.

Mwenyekiti Taifa na viongozi wengine wote serikalini ni macho na maskio ya wananchi. Licha ya kutekeleza ilani wanafaa kutatua matatizo mengine ya wananchi kwasabb wao ndio wenye uwezo, dhamana na fedha za kufanya hivyo.

Na katika utekelezaji wa majukumu yao, their checkmate kutoka kwenye chama ni Muenezi ambaae ni mwenyekiti wa maandalizi ya ilani na msimamizi wa utekelezaji wa ilani yenyewe.....

So,
The gentleman is on the very right track, aendelee anafanya kazi muzuri sana....
Muhalifu akiwa katika maigizo. Kichekesho ni pale ikifika wakati wa uchaguzi vyombo vya Dola na tume isiyo huru ya uchaguzi zinageuka mbeleko ya chama!
 
Katika zunguka zake Nivema Makonda akajibu baadhi ya malalamiko juu yake kama vile Nikwanini anatumia jina la Poul Makonda wakati jina lake halisi ni Albert Bashite na nikwanini alivamia kituo cha tv cha claus, ilapia kwanini anaonekana kama mtu mhuni, mhalifu na mtovu wa nidhamu, ikumbukwe aliwahi kumvamia na kumshambulia alie wahi kua Wazili mkuu wa Tanzania Joseph Sinde Walioba.

alionekana na nani? tofautisha madai ya jopo lako na madai ya watanzani
 
Muhalifu akiwa katika maigizo. Kichekesho ni pale ikifika wakati wa uchaguzi vyombo vya Dola na tume isiyo huru ya uchaguzi zinageuka mbeleko ya chama!
political pioneer hawezi puuza kinachofanywa na huyu kijana,
at a time anakuja kurialize kwamba it works,
its too late......

Better wew umesense defeat very early, na kujiandaa kwa kutumia sababu ya vyombo vya dola na tume ya uchaguzi siyo huru...

It better you to prepare for that, good job joh Tindo
 
political pioneer hawezi puuza kinachofanywa na huyu kijana,
at a time anakuja kurialize kwamba it works,
its too late......

Better wew umesense defeat very early, na kujiandaa kwa kutumia sababu ya vyombo vya dola na tume ya uchaguzi siyo huru...

It better you to prepare for that, good job joh Tindo
Hamna siasa anafanya huyo mloganzila zaidi ya kiki za kishamba. Hakuna mtu anajielewa anaweza shiriki chaguzi za kishenzi.
 
Hamna siasa anafanya huyo mloganzila zaidi ya kiki za kishamba. Hakuna mtu anajielewa anaweza shiriki chaguzi za kishenzi.
Mapemaaaaa sana unajiweka pembeni unaogopa msongamano.🐒.....
ukizira wengine wanapita nayo vizuri sana....
 
Mapemaaaaa sana unajiweka pembeni unaogopa msongamano.🐒.....
ukizira wengine wanapita nayo vizuri sana....
Ni kweli acha tuzire maana vya haramu hatutaki kwani tuna uwezo wa vya halali. Wasio na uwezo na vya halali ndio wanaotegemea mbinu za kichovu na kuwatumia hao waovu wa aina ya kina mloganzila bashite.
 
Ni kweli acha tuzire maana vya haramu hatutaki kwani tuna uwezo wa vya halali. Wasio na uwezo na vya halali ndio wanaotegemea mbinu za kichovu na kuwatumia hao waovu wa aina ya kina mloganzila bashite.
Enjoy your rights🐒
 
Back
Top Bottom