Je, akifanyacho Mwenezi wa CCM, Makonda, ni kuinyima CCM pumzi au kuiimarisha?

Muhalifu akiwa katika maigizo. Kichekesho ni pale ikifika wakati wa uchaguzi vyombo vya Dola na tume isiyo huru ya uchaguzi zinageuka mbeleko ya chama!
 

alionekana na nani? tofautisha madai ya jopo lako na madai ya watanzani
 
Muhalifu akiwa katika maigizo. Kichekesho ni pale ikifika wakati wa uchaguzi vyombo vya Dola na tume isiyo huru ya uchaguzi zinageuka mbeleko ya chama!
political pioneer hawezi puuza kinachofanywa na huyu kijana,
at a time anakuja kurialize kwamba it works,
its too late......

Better wew umesense defeat very early, na kujiandaa kwa kutumia sababu ya vyombo vya dola na tume ya uchaguzi siyo huru...

It better you to prepare for that, good job joh Tindo
 
Hamna siasa anafanya huyo mloganzila zaidi ya kiki za kishamba. Hakuna mtu anajielewa anaweza shiriki chaguzi za kishenzi.
 
Hamna siasa anafanya huyo mloganzila zaidi ya kiki za kishamba. Hakuna mtu anajielewa anaweza shiriki chaguzi za kishenzi.
Mapemaaaaa sana unajiweka pembeni unaogopa msongamano.🐒.....
ukizira wengine wanapita nayo vizuri sana....
 
Mapemaaaaa sana unajiweka pembeni unaogopa msongamano.🐒.....
ukizira wengine wanapita nayo vizuri sana....
Ni kweli acha tuzire maana vya haramu hatutaki kwani tuna uwezo wa vya halali. Wasio na uwezo na vya halali ndio wanaotegemea mbinu za kichovu na kuwatumia hao waovu wa aina ya kina mloganzila bashite.
 
Ni kweli acha tuzire maana vya haramu hatutaki kwani tuna uwezo wa vya halali. Wasio na uwezo na vya halali ndio wanaotegemea mbinu za kichovu na kuwatumia hao waovu wa aina ya kina mloganzila bashite.
Enjoy your rights🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…