Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Tofautisheni kejeli na kuigiza, huyo amekejeli dini ya watu, sema wa kristo huwa tunakuwaga na mazoea ya ajab ajab kwenye dini yetu, wakati wenzetu waislam jaribu hata kuwa tania kidogo kuhusu dini yao uone, na kwa hilo nawapongeza, we must respect our entity tuache jokes na Yesu Kristo hebu tujifunze kwa wenzetu kuheshim tunacho kiamini.
Omondi alikosea sana
Lakini Mungu haruhusu kuhukumu hivyo Kikristo kabisa wewe ndo umefanya dhambi kwa kuhukumu klk huyo Muigizaji!