Je Alicho Fanya Eric Omondi Ni sahihi?

Je Alicho Fanya Eric Omondi Ni sahihi?

upload_2016-12-5_16-24-39.png


Nas-Hate me Now
 
Tofautisheni kejeli na kuigiza, huyo amekejeli dini ya watu, sema wa kristo huwa tunakuwaga na mazoea ya ajab ajab kwenye dini yetu, wakati wenzetu waislam jaribu hata kuwa tania kidogo kuhusu dini yao uone, na kwa hilo nawapongeza, we must respect our entity tuache jokes na Yesu Kristo hebu tujifunze kwa wenzetu kuheshim tunacho kiamini.
Omondi alikosea sana
Na Brian Decon je?
 
"Mwizi Forgiven" ndo kosa lilipo maana yanaleta tafsiri mbaya ukilinganisha na kilichafanya Yesu afanyiwe vile
 
HABARINI! TOKA jana kwenye mitandao ya kijamii Mchekeshaji Erick Omond amejiwa juu na baadhi ya watu kwa kile Alicho Fanya na kuleta mvutano mkubwa sana katika Imani!

Mimi ni mkristo,Lakini sijaona Kosa kwa kile Alichokifanya Erick Omondi! kabla ya Kuja kumuhukumu Erick Omond .....Tujiulize Je Erick Omond ni nani na anafanya nini? ERICK ni Mchekeshaji na anafikisha ujumbe kwa njia ya kuchekesha na kuimba!

Sasa kile alichokifanya ni moja ya uigizaji wake na Lengo lake ni kufikisha ujumbe! Jumbe ulifika tatizo liko wapi? Tujiulize Je mtu akiigiza kama Rais ni kweli anakuwa Rais? au mtu akiigiza Ana maambukizi je kweli anakuwa mayo?

Moja ya watu walio Kuja juu ni baraka De prince Lakini mm sioni kama ni sawa kumuhukumu Eric kwa Alicho fanyaView attachment 442376

Sasa Tujiulize wote Je Alicho Fanya Eric ni Sahihi? Kwangu mimi yupo sahihi
Aigize Mtume au chochote chenye asili ya dini ya Kiislam Wallahi waisalm watamkata kichwa LIVE! Tuache kejeli na dini za watu
 
HABARINI! TOKA jana kwenye mitandao ya kijamii Mchekeshaji Erick Omond amejiwa juu na baadhi ya watu kwa kile Alicho Fanya na kuleta mvutano mkubwa sana katika Imani!

Mimi ni mkristo,Lakini sijaona Kosa kwa kile Alichokifanya Erick Omondi! kabla ya Kuja kumuhukumu Erick Omond .....Tujiulize Je Erick Omond ni nani na anafanya nini? ERICK ni Mchekeshaji na anafikisha ujumbe kwa njia ya kuchekesha na kuimba!

Sasa kile alichokifanya ni moja ya uigizaji wake na Lengo lake ni kufikisha ujumbe! Jumbe ulifika tatizo liko wapi? Tujiulize Je mtu akiigiza kama Rais ni kweli anakuwa Rais? au mtu akiigiza Ana maambukizi je kweli anakuwa mayo?

Moja ya watu walio Kuja juu ni baraka De prince Lakini mm sioni kama ni sawa kumuhukumu Eric kwa Alicho fanyaView attachment 442376

Sasa Tujiulize wote Je Alicho Fanya Eric ni Sahihi? Kwangu mimi yupo sahihi
Hebu act yenye kiashiria ya dini ya Kiislamu uone utakavyokatwa kichwa LIVE.
Acheni kashfa za kidini. Fala wewe
 
Sasa kosa lake nini hapo ? Ila hizi picha za Brian Decon ambaye wengi wanajua ndie Yesu zinazowekwa ndani ni sawa kabisa au picha zake alizochorwa akiwa msalabani ?

Tuna safari ndefu sana Waafrika
 
Sijaona tatizo lolote..mbona Brian Deacon alipoigiza movie ya yesu hakuna aliyelalamika? au kwakuwa ni mzungu?
Wengi hawalijui hilo mi nimekuja jua jamaa si Yesu ukubwani nadhani hata hata wewe, we angalia hata picha za Yesu na mama yake kwenye sebure za wakristo ni huyu mwingereza anatumika
 
<<<< WAKATOLIKI [wakristo]ni WATU ''WASTAARABU saana UNGEKUWA mlengo WA kushoto Daah! UNGESIKIA KITU >>wallah tena !hii inatokana na kuwa na elimu mapema mnoo in old stone age
 
Word..
Hata ukihudhuria ibada za krismasi makanisani huwa wanaigiza yesu kubeba msalaba na kusubiriwa..

Alafu watu hawajamuelewa omondi alichomaanisha!
Siyo krismasi, ni ibada ya ijumaa kuu kabla ya pasaka!
 
Waigizaji na wachekeshaji wa EA ni makanjanja sana! Including huyu omondi na nk
 
Back
Top Bottom