Je, alichofanya mke wa Emmanuel Eboue miaka ile ilikuwa ni ubinadamu?

Story za kijiweni hizi, haijatimia nadhani mahakama haiwezi kumwambia mtu ator 100% ya mali kwenye divorce.
 
Shida zingine tunazitaka wenyewe. Mwanamke ni kama bidhaa zingine, unachagua unayemmudu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…