OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Eboue alikuwa fala sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa iweje akose hata pa kuishi kama alikuwa na pesa kwao?
Alivyoziacha mali akaenda wapi?
Sasa huo utajiri huko kwao ni upi.., weka source basi ya hizi taarifa, otherwise mtu yeyote anaweza kaja hapa akasema chochote tuTrick nimekwambia wakati huo alikuwa anaishi na kucheza uturuki km sikosei
Iyo trick ulisaidia ku win umma
Mali aliziacha makusudi ili mahakama imrithishe mke wake ambapo direct ni kutunza watoto wake
inauma Sana wazungu masikini Hawa wanavisa sanaAlichofanyiwa ni unyama sana Eboue, ila ndio hivyo sheria ilikuwa upande wa mkewe. Na hili tatizo wanalo waafrika/blacks wengi, wanapenda sana kuoa whites wakifika kucheza ulaya, matokeo yake ndio kama hivyo.
Huyo mmoroko alitumia akili, wachezaji wengi wanafilisika kizembe sana.
inauma Sana wazungu masikini Hawa wanavisa sana
Weka link sasa tuoneKwa Millard kuna hiyo habari ya Emannuel
Ni kwamba alipoteza kama nusu ya mali zake
Mali zote za Uingereza zilipotea lakini ana uwekezaji sehemu mbalimbali nchi tofauti
Kama tatu hivi maisha yanaendelea
hajapoteza kwa kiasi hicho kinachoongewa hapa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ni tajiri mtu Hadi alifikia hatua ya kutaka kujitundika!!!Amewekeza kwao na ni tajiri
Nakumbuka ishu ya jamaa ni alikua amemuandika mkewe kama mmiliki wa mali zote. Halafu mwanamke akadai anahitaji pesa zote ili kumaintain lifestyle waliyozoeshwaIlikuaje mwanamke apewe mali zote na sio wagawane kama ilivyo kwa case ya Hakimi.
Mh alikosa pa kulala ikabidi Arsenal iingilie kati na kutaka kumpa kazi ila akasema hataki. Sikumbuki kama alikubali baadayeAmewekeza kwao na ni tajiri
Alikuwa hajui kimalkia yeye kazoeya frankooJama alikua fala sana sijui alidanganywajwe.!
Kwa Millard kuna hiyo habari ya Emannuel
Ni kwamba alipoteza kama nusu ya mali zake
Mali zote za Uingereza zilipotea lakini ana uwekezaji sehemu mbalimbali nchi tofauti
Kama tatu hivi maisha yanaendelea
hajapoteza kwa kiasi hicho kinachoongewa hapa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ndio na mimi najiuliza, hizo sheriaza huko zipoje?Ilikuaje mwanamke apewe mali zote na sio wagawane kama ilivyo kwa case ya Hakimi.