FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #21
Acha utani, unasemaje?! Mbona mali zote zikiwa kwenye jina la mwanaume bado anawajibika kugawa nusu kwa nusu?Mali zote zilikuwa na jina la mwanamke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utani, unasemaje?! Mbona mali zote zikiwa kwenye jina la mwanaume bado anawajibika kugawa nusu kwa nusu?Mali zote zilikuwa na jina la mwanamke
Mke wake ndo alikua msimamizi wa mahesabu yake yote. Tuseme alikua kama mhasibu wake. Kwaio jamaa alikua anaponda raha tu maana babymama ndo anajua mapato na matumizi. Until dakika ya mwisho kwenye kutalikiana ndo akashtuka hana chochote kile.Ilikuaje mwanamke apewe mali zote na sio wagawane kama ilivyo kwa case ya Hakimi.
Mwanamke alikuwa anaweka mali kwa majina mengine,na Eboue alikuwa anajua kusign tu kila document kipindi cha ndoa.Na alikuwa akipata mshahara anampa wote mkewe.Na mkewe ndo anafanya investiment. Imagine labda alipewa document inahusu kuhamisha mali kwa mtu mwingine,yeye anasign tu bila kujua kilichopo kwenye document.Ilikuaje mwanamke apewe mali zote na sio wagawane kama ilivyo kwa case ya Hakimi.
Mali zikiwa na majina ya watoto,mme hapati kitu.Na mama ndo anaishi na watoto.Hivyo Eboue akakosa nyumba London na mali zote zilizokuwa London.Hazikuwa na majina yao.Acha utani, unasemaje?! Mbona mali zote zikiwa kwenye jina la mwanaume bado anawajibika kugawa nusu kwa nusu?
Star wa zamani wa Arsenal, Bwana Emmanuel Eboue ilibaki kidogo tu ajinyonge baada ya mahakama kumpokonya mali na pesa zake zote na kumpa mkewe baada ya kuachana.
Mchezaji huyo wa zamani wa Aresenal alikuwa analipwa mabilioni kwa mwezi, ila baada ya mkewe wa kizungu kupata mchepuko ambaye ni mzungu mwenzake, akaona afanye visa na kudai talaka, ambapo Eboue aliamrishwa pesa zake na mali zake zote akabidhi kwa mkewe na akafukuzwa kwenye nyumba yake na kuwa homeless asiye na pa kulala, na hata watoto wake watatu hakuruhusiwa hata kuwaona kwa macho tu, maana walishatafutiwa baba mpya mzungu na ndio walikuwa wanamwita baba.
Ilifika wakati hata pesa ya chai na chapati asubuhi akawa anakosa, ilibaki kidogo tu ajiue.
Je, alichofanya huyo mke ni ubinadamu?
Duuuh, kwamba aliviacha kwa makusudi?! Hebu fanya marejeo ya habari zilizopoAcha kupotosha wewe kijana eboue aliziacha makusudi mali anazomiliki uingereza kwa manufaa ya watoto wake kumbuka kipindi hiki walisha file talaka
Hili jibu Jaji Mstaafu Ruhangisa Alisha litolea majibu kipindi fulani akasema pesa ya mwanamke haihesabiwi.Acha utani, unasemaje?! Mbona mali zote zikiwa kwenye jina la mwanaume bado anawajibika kugawa nusu kwa nusu?
Kasema yeye au sheria ndio inasema hivyo? Kwani sheria inasemaje?Hili jibu Jaji Mstaafu Ruhangisa Alisha litolea majibu kipindi fulani akasema pesa ya mwanamke haihesabiwi.
Alisema yeye katika moja na mbili...Kasema yeye au sheria ndio inasema hivyo? Kwani sheria inasemaje?
🤣Soka lilivyoisha shughuli ikafa
Who cares nani kasema nini? Sheria inavyosema ndicho kitaangaliwaAlisema yeye katika moja na mbili...
Unajua yule jamaa mtu wa stories na masihara mengi.
Duniani kuna mashetani yenye maumbo ya binadamu.Alifanyiwa mambo ya kishenz +kinyama
Ova
Duuuh, kwamba aliviacha kwa makusudi?! Hebu fanya marejeo ya habari zilizopo
Alikuwa akiitwa mahakamani haendi, mwishoe mahakama ikatoa uamuzi wa kumpa mkewe mali zoteIlikuaje mwanamke apewe mali zote na sio wagawane kama ilivyo kwa case ya Hakimi.