Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Mmorocco mbona alioa Mwarabu mwenzake lakini bado almanusura yamkute?Alichofanyiwa ni unyama sana Eboue, ila ndio hivyo sheria ilikuwa upande wa mkewe. Na hili tatizo wanalo waafrika/blacks wengi, wanapenda sana kuoa whites wakifika kucheza ulaya, matokeo yake ndio kama hivyo.
Huyo mmoroko alitumia akili, wachezaji wengi wanafilisika kizembe sana.
Kwa watu makini haya ndiyo maswali ya kuuliza kabla ya kusifia au kulaaniIlikuaje mwanamke apewe mali zote na sio wagawane kama ilivyo kwa case ya Hakimi.
Kumbe!🤔Alikuwa akiitwa mahakamani haendi, mwishoe mahakama ikatoa uamuzi wa kumpa mkewe mali zote
Galatasaray walimuita na kumpa kazi ya kufanya kwenye yimu ya vijanaKipi sasa maana ni mgonjwa kwa sasa.
Nikiangalia pisi zote zilizoko Afrika sioni mtu unawaza vp kuoa mzungu. Ila ilikuwaje mwamba akanyang'anywa mali zote badala ya kugawana? Na hivi inakuwaje wewe uombe kuvunja mahusiano halafu upate mali?
Wazungu hao Mzee babaIlikuaje mwanamke apewe mali zote na sio wagawane kama ilivyo kwa case ya Hakimi.
Sasa iweje akose hata pa kuishi kama alikuwa na pesa kwao?Ndio alicheza trick alikuwa kwenye mgogoro na mke wake kwa kipindi mrefu
Kumbuka alizaa watoto na mzungu,na mali alizokuwa anazifahamu mkewe ni zile za ndani ya uingereza tu nyumba gari na fedha kiasi
Eboue aliwekeza pesa nyingi kwao
Tatizo alikua mbishi. Wenzake walikua wakimkanya. Anastahili. Sijui mu west gani bwege yule. Ashukuru kule Uturuki walimsaidia sana jamaa vilabu alikocheza.Jama alikua fala sana sijui alidanganywajwe.!
Star wa zamani wa Arsenal, Bwana Emmanuel Eboue ilibaki kidogo tu ajinyonge baada ya mahakama kumpokonya mali na pesa zake zote na kumpa mkewe baada ya kuachana.
Mchezaji huyo wa zamani wa Aresenal alikuwa analipwa mabilioni kwa mwezi, ila baada ya mkewe wa kizungu kupata mchepuko ambaye ni mzungu mwenzake, akaona afanye visa na kudai talaka, ambapo Eboue aliamrishwa pesa zake na mali zake zote akabidhi kwa mkewe na akafukuzwa kwenye nyumba yake na kuwa homeless asiye na pa kulala, na hata watoto wake watatu hakuruhusiwa hata kuwaona kwa macho tu, maana walishatafutiwa baba mpya mzungu na ndio walikuwa wanamwita baba.
Ilifika wakati hata pesa ya chai na chapati asubuhi akawa anakosa, ilibaki kidogo tu ajiue.
Je, alichofanya huyo mke ni ubinadamu?
Acha tu mkuu yaani hii Dunia sio rafiki kabisa Kwa mwanaume, utafute Kwa taabu na jasho halafu anakuja kuchukua ambaye hajakusaidia hata 10 Kwa kweli hakimi aliona mbaliAcha utani, unasemaje?! Mbona mali zote zikiwa kwenye jina la mwanaume bado anawajibika kugawa nusu kwa nusu?
Ila wanawake zetu mnavyotufanyia sio vizuri jamani yaani siruhusiwi hata kuwaona watoto wangu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Mali zikiwa na majina ya watoto,mme hapati kitu.Na mama ndo anaishi na watoto.Hivyo Eboue akakosa nyumba London na mali zote zilizokuwa London.Hazikuwa na majina yao.
Alivyoziacha mali akaenda wapi?Acha kupotosha wewe kijana eboue aliziacha makusudi mali anazomiliki uingereza kwa manufaa ya watoto wake kumbuka kipindi hiki walisha file talaka
Maanamke alikuwa akiwekeza anaandika jina lake hata nyumba ilikuwa jina la mwanamke so sheria ikamtunukuIlikuaje mwanamke apewe mali zote na sio wagawane kama ilivyo kwa case ya Hakimi.