Je, alichofanya mke wa Emmanuel Eboue miaka ile ilikuwa ni ubinadamu?

Je, alichofanya mke wa Emmanuel Eboue miaka ile ilikuwa ni ubinadamu?

Alichofanyiwa ni unyama sana Eboue, ila ndio hivyo sheria ilikuwa upande wa mkewe. Na hili tatizo wanalo waafrika/blacks wengi, wanapenda sana kuoa whites wakifika kucheza ulaya, matokeo yake ndio kama hivyo.

Huyo mmoroko alitumia akili, wachezaji wengi wanafilisika kizembe sana.
Huyo Mmorocco mbona alioa Mwarabu mwenzake lakini bado almanusura yamkute?
 
Kule Marekani wengi huktwa na hiyo dhahama ya kunyang'anywa mali na kufukuzwa nyumbani na zaidi kutoisogelea familia na hivyo wanajikuta wanaishia kuwa ma-homeless
 
Nikiangalia pisi zote zilizoko Afrika sioni mtu unawaza vp kuoa mzungu. Ila ilikuwaje mwamba akanyang'anywa mali zote badala ya kugawana? Na hivi inakuwaje wewe uombe kuvunja mahusiano halafu upate mali?
 
Nikiangalia pisi zote zilizoko Afrika sioni mtu unawaza vp kuoa mzungu. Ila ilikuwaje mwamba akanyang'anywa mali zote badala ya kugawana? Na hivi inakuwaje wewe uombe kuvunja mahusiano halafu upate mali?

Tatizo Mali zote hazikuwa na jina la Eboue. Pia Eboue alikuwa hafiki mahakamani hivyo wakaingiza exparte judgement kwa mke wake.
 
Ndio alicheza trick alikuwa kwenye mgogoro na mke wake kwa kipindi mrefu

Kumbuka alizaa watoto na mzungu,na mali alizokuwa anazifahamu mkewe ni zile za ndani ya uingereza tu nyumba gari na fedha kiasi

Eboue aliwekeza pesa nyingi kwao
Sasa iweje akose hata pa kuishi kama alikuwa na pesa kwao?
 
Star wa zamani wa Arsenal, Bwana Emmanuel Eboue ilibaki kidogo tu ajinyonge baada ya mahakama kumpokonya mali na pesa zake zote na kumpa mkewe baada ya kuachana.

Mchezaji huyo wa zamani wa Aresenal alikuwa analipwa mabilioni kwa mwezi, ila baada ya mkewe wa kizungu kupata mchepuko ambaye ni mzungu mwenzake, akaona afanye visa na kudai talaka, ambapo Eboue aliamrishwa pesa zake na mali zake zote akabidhi kwa mkewe na akafukuzwa kwenye nyumba yake na kuwa homeless asiye na pa kulala, na hata watoto wake watatu hakuruhusiwa hata kuwaona kwa macho tu, maana walishatafutiwa baba mpya mzungu na ndio walikuwa wanamwita baba.

Ilifika wakati hata pesa ya chai na chapati asubuhi akawa anakosa, ilibaki kidogo tu ajiue.

Je, alichofanya huyo mke ni ubinadamu?


ni funzo hili. Weusi tuna matatizo makubwa sana kiakili - mweusi akitajirika au akisoma akawa master au phd holder anakimbilia kuoa mweupe tofauti na matabaka mengine
 
Mali zikiwa na majina ya watoto,mme hapati kitu.Na mama ndo anaishi na watoto.Hivyo Eboue akakosa nyumba London na mali zote zilizokuwa London.Hazikuwa na majina yao.
Ila wanawake zetu mnavyotufanyia sio vizuri jamani yaani siruhusiwi hata kuwaona watoto wangu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Wanawake sisi sometimes [emoji24] hata kuona watoto u amkatalia baba mwenye watoto!!
 
Ilikuaje mwanamke apewe mali zote na sio wagawane kama ilivyo kwa case ya Hakimi.
Maanamke alikuwa akiwekeza anaandika jina lake hata nyumba ilikuwa jina la mwanamke so sheria ikamtunuku
 
Back
Top Bottom