Je, alichofanya mke wa Emmanuel Eboue miaka ile ilikuwa ni ubinadamu?

Je, alichofanya mke wa Emmanuel Eboue miaka ile ilikuwa ni ubinadamu?

Ndio,eboue aliweka wazi mali alizokuwa nazo ndani ya uingereza tu

Zile alizowekeza kwao na kwingine alificha
Nakumbuka ishu ya jamaa ni alikua amemuandika mkewe kama mmiliki wa mali zote. Halafu mwanamke akadai anahitaji pesa zote ili kumaintain lifestyle waliyozoeshwa

Yaani mfano Hakimi badala ya kumuandika mama yake basi amuandike mkewe.
 
Tatizo Mali zote hazikuwa na jina la Eboue. Pia Eboue alikuwa hafiki mahakamani hivyo wakaingiza exparte judgement kwa mke wake.
Kwa hiyo hapa tunamlaumu mke wa eboue bila sababu za Msingi,au Eboue alikuwa na mali nyingine kaficha akazuga kujiua na kulala majalalani?
 
Nilichojifunza hapa. Ukiioa mzungu njoo na Africa oa kinyemela. Vinginevyo utajuta.
Wanawake wa kizungu wanamashart kibao.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Alichofanyiwa ni unyama sana Eboue, ila ndio hivyo sheria ilikuwa upande wa mkewe. Na hili tatizo wanalo waafrika/blacks wengi, wanapenda sana kuoa whites wakifika kucheza ulaya, matokeo yake ndio kama hivyo.

Huyo mmoroko alitumia akili, wachezaji wengi wanafilisika kizembe sana.
shule Wala sio unyama kulikuwa na umuhimu Gani aoe wazungu(hao ilikuwa nikuwagonga tu) akaacha wajinga wezake wa darasa Moja ivorykost
 
Nilichojifunza hapa. Ukiioa mzungu njoo na Africa oa kinyemela. Vinginevyo utajuta.
Wanawake wa kizungu wanamashart kibao.
Ila waafrika tuna ile tabia yetu ya kuwa muafrika naona kama kuoa mzungu ni kujitesa nafsi tu, bora umuonge pesa za kutosha mfanye kwa mkataba maalum kama unataka sana kuishi nae.
 
Ila waafrika tuna ile tabia yetu ya kuwa muafrika naona kama kuoa mzungu ni kujitesa nafsi tu, bora umuonge pesa za kutosha mfanye kwa mkataba maalum kama unataka sana kuishi nae.
Kweli. Wanaooa wazungusij7i wanachokiguata kiukweli.Sijui ule weupe au pua ndefu au hizo nywele katani. Unakuta vimekondeana shepu za namba 1.
az_recorder_20240730_071840.jpg
chekiView attachment 3091019
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Ila waafrika tuna ile tabia yetu ya kuwa muafrika naona kama kuoa mzungu ni kujitesa nafsi tu, bora umuonge pesa za kutosha mfanye kwa mkataba maalum kama unataka sana kuishi nae.
Kweli. Wanaooa wazungu sijui wanachokitafuta kiukweli.Sijui ule weupe au pua ndefu au hizo nywele katani. Unakuta vimekondeana shepu za namba 1.View attachment 3091004cheki
az_recorder_20240802_231531.jpg


View attachment 3091019
Nikilinganisha na huyu.
az_recorder_20240803_071958.jpg

Au huyu.

az_recorder_20240909_131405.jpg


Hawa ndio damu za kiafrika tuliopewa na mungu. Uaneni na waafrika wenzenu. Ukoloni bado umo kichwani kuamini eti wanawake weupe wazungu ndio wazuri, sasa inawacost.
Picha zote kwa niamba ya google na instagram
 

Attachments

  • az_recorder_20240907_202855.jpg
    az_recorder_20240907_202855.jpg
    492 KB · Views: 2
  • Thanks
Reactions: Tsh
Sheria za ulaya na America zinamlinda sana mwanamke, hili linawaathiri sana hata Wazungu wenyewe.

Africa si muda sana tutafika huko, maana nasisi tumekurupukia sana hii 50/50 na kutaka kuishi kama wanayoishi Wazungu.

Mwanamke ni kumbe anayehitaji usimamizi sio kuachwa free ajiamulie mambo yake.
Hata hao Wazungu hizi haki za wanawake wamezileta juzijuzi tu hapa, lakini huko nyuma ilikuwa wakati wanajitafuta mwanamke aliwekwa nyuma wanaume wakakaa mbele kwenye mapambano.
 
Mwanamke alikuwa anaweka mali kwa majina mengine,na Eboue alikuwa anajua kusign tu kila document kipindi cha ndoa.Na alikuwa akipata mshahara anampa wote mkewe.Na mkewe ndo anafanya investiment. Imagine labda alipewa document inahusu kuhamisha mali kwa mtu mwingine,yeye anasign tu bila kujua kilichopo kwenye document.
Alikuwa hjui kiingereza?
au huko nako kuna limwata!!!
 
Back
Top Bottom