Je, alichokifanya Ismail Hanniyeh kufurahia mauaji ya oct 07,2023 ni halali kwa mjibu wa uislamu?

Je, alichokifanya Ismail Hanniyeh kufurahia mauaji ya oct 07,2023 ni halali kwa mjibu wa uislamu?

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
875
Reaction score
633
Baada ya Mauaji ya kutisha ya Oct 07,2023 Gaidi ISMAIL HANNIYEH alionekana kwenye vyombo vya habari akifurahia mauaji hayo na kuonekana akiongoza sala kumshukuru Allah wake kwa kufanikisha mauaji ya kutisha yaliyofanyika siku hiyo Oct 07,2023. Mimi nauliza kwa mjibu wa dini ya kiislamu ni sawa kusherehekea mauaji ya watu namna hiyo?

 
Baada ya Mauaji ya kutisha ya Oct 07,2023 Gaidi ISMAIL HANNIYEH alionekana kwenye vyombo vya habari akifurahia mauaji hayo na kuonekana akiongoza sala kumshukuru Allah wake kwa kufanikisha mauaji ya kutisha yaliyofanyika siku hiyo Oct 07,2023. Mimi nauliza kwa mjibu wa dini ya kiislamu ni sawa kusherehekea mauaji ya watu namna hiyo?
Hii dini fake
 
Hayo ni magaidi yanajificha Kwenye dini

Na ndiyo sababu hata Allah ameshindwa kuwatetea kuanzia Haniyeh,Sinwar na hata Nasrallah

Hamas, Hezbollah, Houth, Ayatollah na Asad ..... Allah kawachinjia baharini
 
Hayo ni magaidi yanajificha Kwenye dini

Na ndiyo sababu hata Allah ameshindwa kuwatetea kuanzia Haniyeh,Sinwar na hata Nasrallah

Hamas, Hezbollah, Houth, Ayatollah na Asad ..... Allah kawachinjia baharini
Kwani wanachopigania wao ni dini au uhuru na utaifa wao ?
 
Baada ya Mauaji ya kutisha ya Oct 07,2023 Gaidi ISMAIL HANNIYEH alionekana kwenye vyombo vya habari akifurahia mauaji hayo na kuonekana akiongoza sala kumshukuru Allah wake kwa kufanikisha mauaji ya kutisha yaliyofanyika siku hiyo Oct 07,2023. Mimi nauliza kwa mjibu wa dini ya kiislamu ni sawa kusherehekea mauaji ya watu namna hiyo?
Ni sawa katika dini ya kikristo wewe kufurahia mauaji ya Wapalestina ?
 
Baada ya Mauaji ya kutisha ya Oct 07,2023 Gaidi ISMAIL HANNIYEH alionekana kwenye vyombo vya habari akifurahia mauaji hayo na kuonekana akiongoza sala kumshukuru Allah wake kwa kufanikisha mauaji ya kutisha yaliyofanyika siku hiyo Oct 07,2023. Mimi nauliza kwa mjibu wa dini ya kiislamu ni sawa kusherehekea mauaji ya watu namna hiyo?
Unauliza "nzi" chooni.?
 
Baada ya Mauaji ya kutisha ya Oct 07,2023 Gaidi ISMAIL HANNIYEH alionekana kwenye vyombo vya habari akifurahia mauaji hayo na kuonekana akiongoza sala kumshukuru Allah wake kwa kufanikisha mauaji ya kutisha yaliyofanyika siku hiyo Oct 07,2023. Mimi nauliza kwa mjibu wa dini ya kiislamu ni sawa kusherehekea mauaji ya watu namna hiyo?

Wewe hukujua kwamba uislam ni dini inayochochea JINAI pale wanaposema JINO KWA JINO. UGAIDI pale wanaposema wanapigania haki zao. Wakati tafsiri ya neno haki kwa kiislam ni tofauti na tafsiri za maeneo mengine. Wanalazimisha desturi, mila na tamaduni za kiarabu ndiyo ziwe mfumo rasmi wa maisha mahali pengine duniani. Ndiyo maana maeneo ambayo wamehamia huwa wanaleta chokochoko za kutaka wenyeji waishi kama wageni waarabu waliotoka Asia ndogo waliokimbia vita
 
Baada ya Mauaji ya kutisha ya Oct 07,2023 Gaidi ISMAIL HANNIYEH alionekana kwenye vyombo vya habari akifurahia mauaji hayo na kuonekana akiongoza sala kumshukuru Allah wake kwa kufanikisha mauaji ya kutisha yaliyofanyika siku hiyo Oct 07,2023. Mimi nauliza kwa mjibu wa dini ya kiislamu ni sawa kusherehekea mauaji ya watu namna hiyo?
Mkuu katika sheria ya kiislamu kuua imekatazwa labda iwe ni kwa haki, unaposema Hanniyeh ameuwa na amefurahi na kushabihisha kitendo hicho na uislamu unakosea sana japo Hanniyeh kwamba ni muislamu.

Ni vyema kujifunza ni kwanini Hanniyeh ameua na amefurahia, lakini usijaribu kuhusisha na dini yetu ya kiislam kwamba ndivyo ilivyotuamrisha, Hinniyerh sio mtume wala kiongozi wa waislam duniani, na yeye ni binadamu ana mapungufu yake huenda alivyofanya ni sahihi ama amekosea sana. Uislam ni dini sahihi na imekamilika, wala waislam hatumtazami hanniyeh kwamba ndio kioo chetu.

Lakini tunafahamu kwamba ndugu zetu waislam Palestine wanapitia kipindi kigumu sana na mayahudi (Israel) na hii ni history kubwa sana., Netanyahu hadi sasa ameshaua zaidi ya 46,000 binadamu kule Palestine

Nafkiri kwa muhtasari huu utakuwa umejifunza kitu.
 
Mkuu katika sheria ya kiislamu kuua imekatazwa labda iwe ni kwa haki, unaposema Hanniyeh ameuwa na amefurahi na kushabihisha kitendo hicho na uislamu unakosea sana japo Hanniyeh kwamba ni muislamu.

Ni vyema kujifunza ni kwanini Hanniyeh ameua na amefurahia, lakini usijaribu kuhusisha na dini yetu ya kiislam kwamba ndivyo ilivyotuamrisha, Hinniyerh sio mtume wala kiongozi wa waislam duniani, na yeye ni binadamu ana mapungufu yake huenda alivyofanya ni sahihi ama amekosea sana. Uislam ni dini sahihi na imekamilika, wala waislam hatumtazami hanniyeh kwamba ndio kioo chetu.

Lakini tunafahamu kwamba ndugu zetu waislam Palestine wanapitia kipindi kigumu sana na mayahudi (Israel) na hii ni history kubwa sana., Netanyahu hadi sasa ameshaua zaidi ya 46,000 binadamu kule Palestine

Nafkiri kwa muhtasari huu utakuwa umejifunza kitu.
Hao marehemu 46,000 hizo takwimu wewe umezipata wapi?
 
Baada ya Mauaji ya kutisha ya Oct 07,2023 Gaidi ISMAIL HANNIYEH alionekana kwenye vyombo vya habari akifurahia mauaji hayo na kuonekana akiongoza sala kumshukuru Allah wake kwa kufanikisha mauaji ya kutisha yaliyofanyika siku hiyo Oct 07,2023. Mimi nauliza kwa mjibu wa dini ya kiislamu ni sawa kusherehekea mauaji ya watu namna hiyo?
Yale sio mauaji ni kumuondoa mvamizi ni sawa na Ukraine wanavyofurahia wakipiga mabomu warusi je ni mauaji au ni vita ya kumuondoa mvamizi? Same na Tanzania tulipokua tunampiga Amin na mabomu kutua huko Uganda na kuua hadi raia wema je hatukushangilia ule ushindi? Kwahiyo kama ambavyo hatukuita mauaji then hata October 7 sio mauaji ni kumuondoa mvamizi.

Hata kwenye Bible Israel ilifanya mauaji ili kuondoa wavamizi lakini mnaita ukombozi na ushujaa ili wakifanya palestina ndio yanaitwa mauaji na ugaidi?

Corrupted western mindset.
 
UGAIDI pale wanaposema wanapigania haki zao
Ugaidi ni nini? Mbona Kurds tunaita magaidi lakini wanatambuliwa na serikali ya marekani na wanapewa silaha na pesa kupigana huko Syria? Au ugaidi ni pale tu muislam akipigania haki, ila akifanya mzungu basi inakua "ukomandoo" na "intelijensia"
 
Yale sio mauaji ni kumuondoa mvamizi ni sawa na Ukraine wanavyofurahia wakipiga mabomu warusi je ni mauaji au ni vita ya kumuondoa mvamizi? Same na Tanzania tulipokua tunampiga Amin na mabomu kutua huko Uganda na kuua hadi raia wema je hatukushangilia ule ushindi? Kwahiyo kama ambavyo hatukuita mauaji then hata October 7 sio mauaji ni kumuondoa mvamizi.

Hata kwenye Bible Israel ilifanya mauaji ili kuondoa wavamizi lakini mnaita ukombozi na ushujaa ili wakifanya palestina ndio yanaitwa mauaji na ugaidi?

Corrupted western mindset.
Mtoto wa 2000 ndivyo ulivyokaririshwa?
 
Hao marehemu 46,000 hizo takwimu wewe umezipata wapi?
Pata muda pitia vyombo vya habari vya ulimwengu japo kwa dakika 5, Aljazeera, BBC, CNN nk. au hata simu yako unaweza ku-google ni watu wangapi Netanyahu ameshaua wapalestine kutokea October 7.,
 
  • Thanks
Reactions: qwt
Uislam unakataza kumuua mtu ambae hayuko katika mazingira ya kukuua wewe.
Yaani nichukue kisu nije kukua bila sababu ni haramu, ila wewe ukibeba kisu kuja kuniua, ni halali yangukukupiga gongo la kichwa
 
Back
Top Bottom