Je alichokisema au anachojaribu kukisema lema kina ukwel I?

Je alichokisema au anachojaribu kukisema lema kina ukwel I?

Ngengemkenilomolomo

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2015
Posts
270
Reaction score
450
1636543816245.jpg
 
Lema yuko Canada but anajua kila kitu kinachoendelea Tanzania.
Hajui kila kitu ila anaambiwa vitu vingi na siyo vyote. Vitu vya kuambiwa mara zote hutegemea anae kuambia anataka ufahamu kipi na kipi usikifahamu.

Lema hawezi kuifahamu vizuri kesi ya Mbowe ila anafahamishwa kwa anachotaka kukisikia. Maisha ni kichekesho sana, kwa mwenye ufahamu wa kutosha anaweza kumsikiliza Mwizi ambae ni muuwaji pia?, ama kwa vile yupo upinzani?

Gari haichukuliwi kwa maneno, huchukuliwa kwa silaha na mwizi yeyote wa Magari ni mtumia silaha.

Leo Lema amegeuka malaika?
 
Tunawaambia MaCHADEMA wekeni mawakili wa maana mnaweka comedians wanaokaa kukera polisi badala ya kuexhaust cases. Yaani mtaangukia pua kama kwa Akwilina nawaambia. Yule janja janja yuko zake Belgijiiii anakula soseji.
 
Hajui kila kitu ila anaambiwa vitu vingi na siyo vyote. Vitu vya kuambiwa mara zote hutegemea anae kuambia anataka ufahamu kipi na kipi usikifahamu.

Lema hawezi kuifahamu vizuri kesi ya Mbowe ila anafahamishwa kwa anachotaka kukisikia. Maisha ni kichekesho sana, kwa mwenye ufahamu wa kutosha anaweza kumsikiliza Mwizi ambae ni muuwaji pia?, ama kwa vile yupo upinzani?

Gari haichukuliwi kwa maneno, huchukuliwa kwa silaha na mwizi yeyote wa Magari ni mtumia silaha.

Leo Lema amegeuka malaika?
Corona inatisha sana
 
Hajui kila kitu ila anaambiwa vitu vingi na siyo vyote. Vitu vya kuambiwa mara zote hutegemea anae kuambia anataka ufahamu kipi na kipi usikifahamu.

Lema hawezi kuifahamu vizuri kesi ya Mbowe ila anafahamishwa kwa anachotaka kukisikia. Maisha ni kichekesho sana, kwa mwenye ufahamu wa kutosha anaweza kumsikiliza Mwizi ambae ni muuwaji pia?, ama kwa vile yupo upinzani?

Gari haichukuliwi kwa maneno, huchukuliwa kwa silaha na mwizi yeyote wa Magari ni mtumia silaha.

Leo Lema amegeuka malaika?
No. Kila mwenye ufahamu anajua. Kesi hii ishahukumiwa tayari. Rejea kauli za Mama hagaya, ona wanavyojichanganya mawakili wa serikali na mashahidi wao. Ona maamuzi ya majaji katika maamuzi ya kesi ndogo mbili. Hapo nionavyo mimi mchezo wote ushachezwa ili Mbowe aishiye jela, ili watu wasidai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, ili ccm itawaletea milele. Mkuu wa nchi keshasema, wewe jaji ni nani hadi umpinge
 
Back
Top Bottom