Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 270
- 450
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atafungwa tu usijali hata yeye ni binadamu pengine alikosea sio malaika mbona Sabaya amefungwaHivi si wamfunge Mbowe tupate Tz mpya yenye chuki na visasi tangu kuumbwa ulimwengu?
Unamezeshwa cd kama babako JiweKesi ziko nchini Kenya!
Kule Kibatala wao anaitwa James Orengo, hanaga mambo mengi.
Corona inatibikaAtafungwa tu usijali hata yeye ni binadamu pengine alikosea sio malaika mbona Sabaya amefungwa
Hapo ubungo ni segerea tu!Unamezeshwa cd kama babako Jiwe
Hategemei tiibiiisiii kupata habariLema yuko Canada but anajua kila kitu kinachoendelea Tanzania.
Hajui kila kitu ila anaambiwa vitu vingi na siyo vyote. Vitu vya kuambiwa mara zote hutegemea anae kuambia anataka ufahamu kipi na kipi usikifahamu.Lema yuko Canada but anajua kila kitu kinachoendelea Tanzania.
Rufaa maamuzi yalikuwaje? au umesahauTunawaambia MaCHADEMA wekeni mawakili wa maana mnaweka comedians wanaokaa kukera polisi badala ya kuexhaust cases. Yaani mtaangukia pua kama kwa Akwilina nawaambia. Yule janja janja yuko zake Belgijiiii anakula soseji.
Huna unalojuwa, bali kurukia mifano usiyo na taarifa nayo vizuri.Kesi ziko nchini Kenya!
Kule Kibatala wao anaitwa James Orengo, hanaga mambo mengi.
Lema analelewa na kula bure kutoka kwa mme wake mzungu.
Pia mahakama zipo huru,. Rais wao na mkuu wa jeshi la polisi hawazungumzii hadharani kesi zilizopo mahakamani,Kesi ziko nchini Kenya!
Kule Kibatala wao anaitwa James Orengo, hanaga mambo mengi.
Usimlinganishe Sabaya na Mbowe. Sabaya ni type ya Bashite. Majambazi ya Lumumba.Atafungwa tu usijali hata yeye ni binadamu pengine alikosea sio malaika mbona Sabaya amefungwa
Corona inatisha sanaHajui kila kitu ila anaambiwa vitu vingi na siyo vyote. Vitu vya kuambiwa mara zote hutegemea anae kuambia anataka ufahamu kipi na kipi usikifahamu.
Lema hawezi kuifahamu vizuri kesi ya Mbowe ila anafahamishwa kwa anachotaka kukisikia. Maisha ni kichekesho sana, kwa mwenye ufahamu wa kutosha anaweza kumsikiliza Mwizi ambae ni muuwaji pia?, ama kwa vile yupo upinzani?
Gari haichukuliwi kwa maneno, huchukuliwa kwa silaha na mwizi yeyote wa Magari ni mtumia silaha.
Leo Lema amegeuka malaika?
No. Kila mwenye ufahamu anajua. Kesi hii ishahukumiwa tayari. Rejea kauli za Mama hagaya, ona wanavyojichanganya mawakili wa serikali na mashahidi wao. Ona maamuzi ya majaji katika maamuzi ya kesi ndogo mbili. Hapo nionavyo mimi mchezo wote ushachezwa ili Mbowe aishiye jela, ili watu wasidai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, ili ccm itawaletea milele. Mkuu wa nchi keshasema, wewe jaji ni nani hadi umpingeHajui kila kitu ila anaambiwa vitu vingi na siyo vyote. Vitu vya kuambiwa mara zote hutegemea anae kuambia anataka ufahamu kipi na kipi usikifahamu.
Lema hawezi kuifahamu vizuri kesi ya Mbowe ila anafahamishwa kwa anachotaka kukisikia. Maisha ni kichekesho sana, kwa mwenye ufahamu wa kutosha anaweza kumsikiliza Mwizi ambae ni muuwaji pia?, ama kwa vile yupo upinzani?
Gari haichukuliwi kwa maneno, huchukuliwa kwa silaha na mwizi yeyote wa Magari ni mtumia silaha.
Leo Lema amegeuka malaika?
Majaji wa bongo wakiwafunga chadema utunukiw vyeo kwa hiyo hiyo ni fursa kwao lazima wapindishe mambo hakika tunahitaji Katiba Mpya na tume huru ya uchaguz