Je alichokisema au anachojaribu kukisema lema kina ukwel I?

Je alichokisema au anachojaribu kukisema lema kina ukwel I?

Tunawaambia MaCHADEMA wekeni mawakili wa maana mnaweka comedians wanaokaa kukera polisi badala ya kuexhaust cases. Yaani mtaangukia pua kama kwa Akwilina nawaambia. Yule janja janja yuko zake Belgijiiii anakula soseji.
Kesi ya Akwlina mshindi ni nani?
Mshalipa hela za wananchi mlizopora kwa kisingizio cha cha faini za kesi ya uongo ya kina Mbowe et all?
 
Back
Top Bottom