Ilikuwa mwaka 1988/89 simba waliifunga Yanga 2-1 na kunusurika kushuka daraja.Kwahivyo unataka kusema game ilikuwa Simba dhidi ya Yanga? Ndo Yanga akafungwa na Simba SC ili kuinusuru kushuja daraja.
Acha upotoshaji wewe, yaonyesha umesimuliwa tu na ukaingia king, hakuna mwaka ambao Yanga alikubali kufungwa na Simba ili kuinusuru kushuja daraja.
Simba alishinda dhidi ya African sports ndo alama zikambakisha, na Yanga alifungwa dhidi ya Coastal, sasa hapo Yanga ilinusuru vipi Simba..?