Je, aliyefungwa na Mwamba Azam FC na aliyefungwa na Mchovu Ihefu FC nani ni wa Kudharaulika na Kuchekwa?

Ilikuwa mwaka 1988/89 simba waliifunga Yanga 2-1 na kunusurika kushuka daraja.
 
A
Timu kushika mkia mbona kawaida sana kufanya maajabu, Hujui kwamba hata Simba alifanya maajabu ya kujinusuru kushuka daraja baada ya kushika nafas za mikiani ??
Limfunga nani akiwa mkiani. Alimfunga Yanga au
 
Kukusaidia tu twende na fact soma hiyo link wewe wa kuja SHIKAMKONO: Niliiokoa Simba isishuke daraja, nikaidhiri Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…