Ilikuwa mwaka 1988/89 simba waliifunga Yanga 2-1 na kunusurika kushuka daraja.Kwahivyo unataka kusema game ilikuwa Simba dhidi ya Yanga? Ndo Yanga akafungwa na Simba SC ili kuinusuru kushuja daraja.
Acha upotoshaji wewe, yaonyesha umesimuliwa tu na ukaingia king, hakuna mwaka ambao Yanga alikubali kufungwa na Simba ili kuinusuru kushuja daraja.
Simba alishinda dhidi ya African sports ndo alama zikambakisha, na Yanga alifungwa dhidi ya Coastal, sasa hapo Yanga ilinusuru vipi Simba..?
Limfunga nani akiwa mkiani. Alimfunga Yanga auTimu kushika mkia mbona kawaida sana kufanya maajabu, Hujui kwamba hata Simba alifanya maajabu ya kujinusuru kushuka daraja baada ya kushika nafas za mikiani ??
Azam FC na Simba ao wote vibonde wa Yanga Sasa wajipange wenyewe yupi afadhali.
Yes!!! Tena kwa huruma kabisa maana wasingefunga wangeshuka darajaA
Limfunga nani akiwa mkiani. Alimfunga Yanga au
Ha ha ha ha ha Kwa hiyo Ihefu ni Simba iliyochangamkaYes!!! Tena kwa huruma kabisa maana wasingefunga wangeshuka daraja
Kukusaidia tu twende na fact soma hiyo link wewe wa kuja SHIKAMKONO: Niliiokoa Simba isishuke daraja, nikaidhiri YangaKwahivyo unataka kusema game ilikuwa Simba dhidi ya Yanga? Ndo Yanga akafungwa na Simba SC ili kuinusuru kushuja daraja.
Acha upotoshaji wewe, yaonyesha umesimuliwa tu na ukaingia king, hakuna mwaka ambao Yanga alikubali kufungwa na Simba ili kuinusuru kushuja daraja.
Simba alishinda dhidi ya African sports ndo alama zikambakisha, na Yanga alifungwa dhidi ya Coastal, sasa hapo Yanga ilinusuru vipi Simba..?!