theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Na ukifikia stage ya AIDS (last stage of H.I.V) ndio basi tena maana immunity ndio zisha fail kabisa hata ukijaribu kuzi boost hakuna response tena......Yani milokole ni mijinga mungu ameshatupa maarifa mungu anatenda miujiza kwa mambo yaliyoshindikana ila si kwa magonjwa yanayojulikana
Ujue I am in Germany now I have lived in Algeria too kule Kuna winter pia ila summer mbu wapo kama kawaida hata Germany summer Kuna mbu Sema ndo hao wadudu hawapo na sidhani kama malaria ilishawahi weka makazi muda mrefu ulaya contact ya kwanza ni second world War ndo hapo hapo wakapata na quinine ila kama unataka jikinga na malaria kunywa tonic or bitter lemon kwasababu ina quinineNilisoma article mmoja kumbe Ulaya walikuwa na malaria pia zamani lichabya baridi. Waliwezabjuitikomeza kwa kujenga nyumba bora na kuharibu mazalia ya mbu.
sorry mkuu kibongobongo bitter lemon na tonic znafanaftenaje znapatkanaje hizo nazitapatajeUjue I am in Germany now I have lived in Algeria too kule Kuna winter pia ila summer mbu wapo kama kawaida hata Germany summer Kuna mbu Sema ndo hao wadudu hawapo na sidhani kama malaria ilishawahi weka makazi muda mrefu ulaya contact ya kwanza ni second world War ndo hapo hapo wakapata na quinine ila kama unataka jikinga na malaria kunywa tonic or bitter lemon kwasababu ina quinine
AiseeNa ukifikia stage ya AIDS (last stage of H.I.V) ndio basi tena maana immunity ndio zisha fail kabisa hata ukijaribu kuzi boost hakuna response tena......
Yaani hapo ukivamiwa na magonjwa ya bacteria , fungus , protozoan , malignancy and other viral disease ndio basi tena parapanda inakuhusu Mkuu....
[HASHTAG]#zinafannaje[/HASHTAG] znapatkanaje if you have an idea plsesorry mkuu kibongobongo bitter lemon na tonic znafanaftenaje znapatkanaje hizo nazitapataje
Ndio mkuu HIV ina stage zake na hiyo AIDS ndio ya mwisho baada ya Aids related complex (ARC) na mtu akifikia harua hii hamalizi hata mwaka naye tunamuaga......Aisee