Je, anayetumia ARVs kupunguza makali ya VVU akipimwa virusi vitaonekana?

Je, anayetumia ARVs kupunguza makali ya VVU akipimwa virusi vitaonekana?

Kuna mama tulikuwa nae clinic, mume wake alifariki 1993 yeye alidumu kwa ARV tena zile za 90’s. Baada ya watoto kuondoka nyumbani alikuwa mpweke. Ndugu zake walimshauri apangishe nyumba akakae kwao kijijini. Alipofika wakaanza kumuombea na kumwambia aache dawa. Baada ya mwaka ugonjwa ilikuwa umefikia AIDS level
Yani milokole ni mijinga mungu ameshatupa maarifa mungu anatenda miujiza kwa mambo yaliyoshindikana ila si kwa magonjwa yanayojulikana
 
Kuna research moja inayoendelea wale wenye undetectable status walichomwa sindano hii ya kinga ya HIV na imepunguza sana virus kwenye reservoir wakachomwa tena T8 ika clear kabisa. Ni mwaka wa tatu huu wameacha ARV’s bado wana waangalia ikifika miaka mitano itakuwa break through
Haitopitishwa HIV ni mradi WA kukontrol serikali za kiafrica
 
ukifatilia uzi wa jamaa mmoja hivi anajiita .DECEPTION yule jamaa aliongea mengi sana kuhusa HIV/AIDS humu JF nadhan huko alipo anabarikiwa sana.
Anasema HIV haisababishi UKIMWI na UKIMWI ni upungufu wa kinga mwilini unaoweza kuurekebisha kwa kula chakula bora,mazoezi,maji safi, hewa safi n.k. Anatuaminisha kwa fact kuwa Dawa za kupunguza makali ya virusi yani ARVs ndio chanzo kikubwa kinachosababisha UKIMWI na magonjwa mengi sana hadi kupelekea mtu kufa....Anaendelea laiti watu wangekuwa hawapimi HIV basi hakuna mtu angekufa kwa UKIMWI mana UKIMWI ni biashara ya dawa za ARVs
mtafute huyu jamaa mkuu...nakumbuka uzi ule uliwabariki sana watu, tangu 2013 uzi bado upo active hadi eo
Huyo déception ni mtu muongo na mpumbavu
 
Yani milokole ni mijinga mungu ameshatupa maarifa mungu anatenda miujiza kwa mambo yaliyoshindikana ila si kwa magonjwa yanayojulikana
Mkuu nadhani
Kile kibarua cha kwenda kufungasha dawa ni kizito sana
Nilikuwa na mtu wa jirani alikuwa anaugua huu ugonjwa wa kisasa (Mola atukinge nao Amiin)
Ilifika hatua akasema kama kufa ngoja nijifie siko tayari kuishi kwa kunywa dawa

Tulimzika 2017 mwezi wa 11
Maskini
 
Mkuu, ebu tupe Darsa kuhusu hiyo Stem Cell kwaajili ya kupandisha kinga....[emoji101]

Hiyo stem cell ni tiba ambayo ikiingia mwili inafanya kazi ya kuzalisha seli mpya kwa wingi zikiwemo seli za kinga yaani CD4, hii inafanya kazi sawa na embyonic stem cell pale mtoto anapokuwa anatengenezwa tumboni au sawa na adult stem cell baada ya mtoto kuzaliwa. kwa hiyo, hata mgonjwa wa kansa kama seli zake zimeharibika hutengenezwa mpya na kansa kuishia hapo, the same applies kwa magonjwa yote ya mifumo ya mwili
 
Haitopitishwa HIV ni mradi WA kukontrol serikali za kiafrica
Inaweza kuchelewa lakini itapita. Wazungu wanegundua kuwa dunia imekuwa kijiji. Mwanzo walifukiri HIV ni tatizo la Africa lakini walisahau kuwa binadamu ni social animals tunaoana na kujamiiana.
Unsinkable walivyouchabgamkia EBOLA 2015 walijua wakizembea itawapigia hodi mlangini kwao.
 
Inaweza kuchelewa lakini itapita. Wazungu wanegundua kuwa dunia imekuwa kijiji. Mwanza walifukiri HIV ni tatizo la Africa lakini walisahau kuwa binadamu ni social animals tunaoana na kujamiiana.
Unsinkable walivyouchabgamkia EBOLA 2015 walijua wakizembea itawapigia hodi mlangini kwao.
Ebola was political too wazungu wote hawakufa walikufa Africa tu. Tâtizo ni serikali za kiafrica na jamii za kiafrica kutowekeza kwenye research ya mambo yanayowaua we mpaka Leo tunasubiri mzungu ndo atutafutie Kinga ya malaria wakati huo ugonjwa hauwaui hapo ndo utajua Kwanini serikali ya CCM inathamjni mbwa kuliko human being. Sisi waafrica hatujifunzi toka ukoloni kuwa bila research and advancement ya technology tutatawaliwa milele
 
Ebola was political too wazungu wote hawakufa walikufa Africa tu. Tâtizo ni serikali za kiafrica na jamii za kiafrica kutowekeza kwenye research ya mambo yanayowaua we mpaka Leo tunasubiri mzungu ndo atutafutie Kinga ya malaria wakati huo ugonjwa hauwaui hapo ndo utajua Kwanini serikali ya CCM inathamjni mbwa kuliko human being. Sisi waafrica hatujifunzi toka ukoloni kuwa bila research and advancement ya technology tutatawaliwa milele
Nilisoma article mmoja kumbe Ulaya walikuwa na malaria pia zamani lichabya baridi. Waliwezabjuitikomeza kwa kujenga nyumba bora na kuharibu mazalia ya mbu.
 
Hayo ni kweli kabisa, vinafubaa na havina madhara kwako
Swali muhimu la kujiuliza ni kuwa je hivi virusi vitakuwa vimefubaa kwa muda gani?

Disease progression tukumbuke ipo tuu. Unawezaje ku-monitor hapo juu. Kwangu naona bado risk ipo......
 
Swali muhimu la kujiuliza ni kuwa je hivi virusi vitakuwa vimefubaa kwa muda gani?

Disease progression tukumbuke ipo tuu. Unawezaje ku-monitor hapo juu. Kwangu naona bado risk ipo......
Technology inaendelea na dawa itapatikana, bila ARV’s waathirika hawatakuwa na matumaini na watakufa.
 
Cric hyo link jamaa anasema yye anatib HIV kwa kutumia 3drops
 
Habari wana JF.! Naomba kuuliza kuwa mtu anayetumia ARV inasemekana kuwa anauwezekano mdogo sana wa kumwambukiza HIV mtu ambaye ni negative kwakuwa akishaanza kumeza ARV virusi vinafubaa pia vinatoka ktk mfumo wa damu vinaenda kukaa sehemu moja yaani ktk tezi.
je' uyu mtu ukimpima kwa mara ingine anaweza kukutwa bado yuko Positive..?
Mtu huyu utamkuta positive yes ila akienda kufanya viral load itakuwa not detected kwasababu ya matumizi sahihi ya dose ya arv
 
Hili gonjwa bado ni tishio japo jitihada za kisayansi zimeanza kuonyesha matumaini ya kulitokomeza.
 
Hili gonjwa bado ni tishio japo jitihada za kisayansi zimeanza kuonyesha matumaini ya kulitokomeza.
 
Back
Top Bottom