Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi bado mzima huyo mama?Kuna mama tulikuwa nae clinic, mume wake alifariki 1993 yeye alidumu kwa ARV tena zile za 90’s. Baada ya watoto kuondoka nyumbani alikuwa mpweke. Ndugu zake walimshauri apangishe nyumba akakae kwao kijijini. Alipofika wakaanza kumuombea na kumwambia aache dawa. Baada ya mwaka ugonjwa ilikuwa umefikia AIDS level
Hahahah kuwajua jamaa walioathirika kwenye huu uzi bonyeza 1!Sasa hivi bado mzima huyo mama?
Kutambua raia wenye umeme katika hii thread, tafadhali bonyeza *![emoji23] [emoji23] [emoji23] sio tu havionekani, bali vigezo na masharti vikizingatiwa HIV inaisha kabisa!
Walikosea sana hao ndugu zake Marehemu Virusi vya HIV/AIDS huwezi kuviombea dua eti vipate kufa hao wachungaji feki wanao waombea wagonjwa wa Virusi vya Ukimwi.Virusi vya ukimwi vipo ndani ya Damu na kuna dawa maalum za mitishamba za kuweza kuviuwa hivyo virusi vya ukimwi ukiweza kusafisha Damu,ini,figo na kusafisha utombo wa chakula kuwa msafi basi virusi vyenyewe vinakufa muda sio mrefu .Kuna dawa za mitishamba maalum za kuweza kusafisha Hizo Organ za mwili wa binadamu.Kuna mama tulikuwa nae clinic, mume wake alifariki 1993 yeye alidumu kwa ARV tena zile za 90’s. Baada ya watoto kuondoka nyumbani alikuwa mpweke. Ndugu zake walimshauri apangishe nyumba akakae kwao kijijini. Alipofika wakaanza kumuombea na kumwambia aache dawa. Baada ya mwaka ugonjwa ilikuwa umefikia AIDS level
Ukishawatambua?Kutambua raia wenye umeme katika hii thread, tafadhali bonyeza *!
Ila naona unahitaji elimu mkuuNi moja ya elimu, kujifunza na kujua. Maana yajayo yatafurahisha[emoji3] [emoji2]
AIDS level ukimaanisha hatua gan mamaKuna mama tulikuwa nae clinic, mume wake alifariki 1993 yeye alidumu kwa ARV tena zile za 90’s. Baada ya watoto kuondoka nyumbani alikuwa mpweke. Ndugu zake walimshauri apangishe nyumba akakae kwao kijijini. Alipofika wakaanza kumuombea na kumwambia aache dawa. Baada ya mwaka ugonjwa ilikuwa umefikia AIDS level
Nimebonyeza * nikaletewa ID yako[emoji23]Kutambua raia wenye umeme katika hii thread, tafadhali bonyeza *!
Hahahaha una masihara weweNimebonyeza * nikaletewa ID yako[emoji23]
Na kuna mwingine anaitwa Dr William huko fb naye ana maoni kama hayo na anadai ana dawa za kuondoa madhara ya dawa za kufubaza virusi.ukifatilia uzi wa jamaa mmoja hivi anajiita .DECEPTION yule jamaa aliongea mengi sana kuhusa HIV/AIDS humu JF nadhan huko alipo anabarikiwa sana.
Anasema HIV haisababishi UKIMWI na UKIMWI ni upungufu wa kinga mwilini unaoweza kuurekebisha kwa kula chakula bora,mazoezi,maji safi, hewa safi n.k. Anatuaminisha kwa fact kuwa Dawa za kupunguza makali ya virusi yani ARVs ndio chanzo kikubwa kinachosababisha UKIMWI na magonjwa mengi sana hadi kupelekea mtu kufa....Anaendelea laiti watu wangekuwa hawapimi HIV basi hakuna mtu angekufa kwa UKIMWI mana UKIMWI ni biashara ya dawa za ARVs
mtafute huyu jamaa mkuu...nakumbuka uzi ule uliwabariki sana watu, tangu 2013 uzi bado upo active hadi eo
Sasa*Sky EclatKuna mama tulikuwa nae clinic, mume wake alifariki 1993 yeye alidumu kwa ARV tena zile za 90’s. Baada ya watoto kuondoka nyumbani alikuwa mpweke. Ndugu zake walimshauri apangishe nyumba akakae kwao kijijini. Alipofika wakaanza kumuombea na kumwambia aache dawa. Baada ya mwaka ugonjwa ilikuwa umefikia AIDS level
Ukifika kwenye hiyo level ni one way ticketSasa*Sky Eclat
Hujamaliza ikawaje alivyofika kwenye hiyo level?
Yes, uwezekano ni mkubwa sababu virus vinakuwa vichache sana (very very low concentration in the blood) to the undetectable level by normal/ordinary ;aboratory screening methods except by PCR! Sky Eclat I s this correct?Habari wana JF.! Naomba kuuliza kuwa mtu anayetumia ARV inasemekana kuwa anauwezekano mdogo sana wa kumwambukiza HIV mtu ambaye ni negative kwakuwa akishaanza kumeza ARV virusi vinafubaa pia vinatoka ktk mfumo wa damu vinaenda kukaa sehemu moja yaani ktk tezi.
je' uyu mtu ukimpima kwa mara ingine anaweza kukutwa bado yuko Positive..?
Yes it’s correct but the person is still HIV +Yes, uwezekano ni mkubwa sababu virus vinakuwa vichache sana (very very low concentration in the blood) to the undetectable level by normal/ordinary ;aboratory screening methods except by PCR! Sky Eclat I s this correct?
Exactly ndiyo maana nimesema to the undetectable level, means some viruses are there. Asante sana.Yes it’s correct but the person is still HIV +