econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Askofu Malasusa na Dk. Shoo ndio mafisadi wakubwa wa Mali za kanisa, na wanashirikiana na kulindana.
Walienda Mbeya kutumia hoteli ya kanisa kukopa mabilioni wajenge chuo kikuu
Wakakopa, Hela wakabeba, chuo hawakujenga.
Baadae wanaenda mbeya na mteja wao wanamlazimisha Mwaikali auze hoteli ya kanisa, Mwaikali akakataa, mteja alishawaahidi ten pasenti, akaanzishiwa vita Kali kwelikweli mpaka akalazwa rumande.
Na hao maaskofu wanahonga kuliko inavyofikiria.
Dk Shoo ni askofu bilionea kuliko wote Afrika kwa wale wa KKKT, anachofanya ni kujificha Chadema ili wamtetee siku serikali ikianza kumuandama.
Na pia Kimaro alikuwa anaelekea kuwa Askofu wa Jimbo la Dsm, katika kulindana, mkuu wa kanisa na Malasusa wakaandaa njama hizo
Punguza uongo. Unaleta uccm Hadi kwenye mambo ya kanisa?.