Je, asubuhi yako inapambwa na kifungua kinywa kipi? Mimi lazima ninywe Alkasusus mujarabu

kinywaji hiki wanaouza wengi ni waislam tu kwanini?
 
Asubuhi huwa namalizia ka KVANT kangu kalikobaki...then natafuta supu ya utumbo na chapati moja kisha ndo nafungua siku sasa
 
nakimbia kwa mangi fasta nachukua sungura nagonga sasa baada ya hapo akili itakavyonituma kitu Cha kula ndio icho icho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…