Je, Bajeti yetu ni Bora sana? Mbona tuko kimya sana? Vijana Kenya wanaandamana

Je, Bajeti yetu ni Bora sana? Mbona tuko kimya sana? Vijana Kenya wanaandamana

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Wakenya wamechachamaa sana na Mswaada wa bajeti yao, wanaona hauna maslahi kwao, Pamoja na kufanyiwa mabadiliko bado wanachachamaa tu.

Wakenya wako chonjo na Bajeti yao wanapitia kifungu kwa kifungu. Mijadala yao mikuu kwa sasa ni bajeti yao tu hakuna mjadala mwingine.

Njoo Tanzania kwenye vyombo vya habari hasa Redio na Television ni mada za Yanga na Simba kutwa nzima, au mada za Mahouse Girl, Mama na Baba wa Kambo, mada za kufumaniana, maada za kusutana, baadae Taarabu na siku inakuwa imeisha.

Vijiwe vya kahawa na Tangawizi mada kuu ni Yanga na Simba, habari za Bajeti hazituhusu kabisa au labda mtu kama Mbowe au Lissu waandamane kwa niaba yetu, then sisi ikifika saa 2 usiku tukae pembeni ya Tv tukiangalia jinsi wanavyopigwa mabomu ya machozi baada ya hapo sasa tutaingia kwenye makundi ya WhatsApp, X, Facebook na humu kuja kulalalmika.

Hakuna Taifa lina raia wasiojali kama hii Tanzania kama lipo Taifadhali tuambizane hapa, na hii ni neema kuu kwa watawala, wanagawana nchi wakijua fika raia wale sana wanajua kubisahana kuhusu Yanga na Simba.

Bajeti itapitishwa bila aina yoyote ile ya upinzani hata wa danganya toto, na hakuna unafuu utakaopatikana na mwakani tena watakuja na Bajeti nyingine na tutaambiwa hii ni bajeti ya wananchi.

Tunataka either Mbowe au Lissu au mtu mwingine yoyote au hata Maaskofu wa TEC au Shura ya Maimamu walalamike, wao ikibidi waandamane kwa niaba yetu sisi, au watusemee kabisa.

Mpina anapambana mwenyewe kana kwamba familia yake ndio pekeee iko affected na sakata la Sukari, sisi haituhusu kabisa.

Huu ukimya na ukondoo ni Neeema kuu kabisa kwa watawala.
 
Wakenya wamechachamaa sana na Mswaada wa bajrmeti yao, wanaona hauna masilahi kwao, Psmoja na kufanyiwa mabadikika bado wanachachamaa tu.

Wakenya wako Chonjo na Bajeti yao wanapitia kifungu kwa kifungu.Mijadala yao mikuu kewa sasa ni bajeti yao tu hakuna mjadala mwingine.


Njoo kwenye Taifa lililo jaaa ujinga Maada kwenye vyombo vya habari hasa Redio na Television ni Maada za Yanga na Simba kutwa nzima, au maada za Mahouse Girl,Mama na Baba wa Kambo, mada za kufumaniana, maada za kusutana, baadae Taarabu na siku inakuwa imeisha.

Vijiwe vya kahawa na Tangawizi Maada kuu ni Yanga na Simba, habari za Bajeti hazituhusu kabisa au labda mtu kama Mbowe au Lisu waandamane kwa niaba yetu, then sisi ikifika saa 2 usiku tukae pembeni ya Tv tukiangalia jinsi wanavyo pigwa mabom ya machozi baada ya hapo sasa tutaingia kwenye Magrouop ya whatsapo, X,facebook na humu kuja kulalalmika.


Hakuna Taifa lina raia mazezeta kama hii Tanzania kama lipo Taifadhali tuambizane hapa, na hii ni neema kuu kwa watawala, wanagawana nchi wakijua fika raia wale sana wanajua kubisahana kuhusu yanga na Simba.

Bajeti itapitishwa bila aina yoyote ile ya upinzani hata wa danganya toto, na hakuna unafuu utakao patikana na Mwakani tena aatajuja na Bajeti nyingine Mazezera tutaambiwa hii ni bajaeti ya wananchi.

Tunataka either Mbowe au Lisu au mtu mwingine yoyote au hata Maaskofu wa TEC au Shura ya Maiamum walalamike, wao ikibidi waandamane kwa niaba yetu sisi, au watusemee kabisa.

Mpina anapambana mwenyewe kana kwamba familia yake ndio pekeee iko affected na sakata la Sukari.Sisi haituhus kabisa.

Huu uzezeta na ukondoo ni Neeema kuu kabisa kwa watawala.
Anza kuandamana mkuu wengine tutafuata
 
Wakenya wamechachamaa sana na Mswaada wa bajrmeti yao, wanaona hauna masilahi kwao, Psmoja na kufanyiwa mabadikika bado wanachachamaa tu.

Wakenya wako Chonjo na Bajeti yao wanapitia kifungu kwa kifungu.Mijadala yao mikuu kewa sasa ni bajeti yao tu hakuna mjadala mwingine.


Njoo kwenye Taifa lililo jaaa ujinga Maada kwenye vyombo vya habari hasa Redio na Television ni Maada za Yanga na Simba kutwa nzima, au maada za Mahouse Girl,Mama na Baba wa Kambo, mada za kufumaniana, maada za kusutana, baadae Taarabu na siku inakuwa imeisha.

Vijiwe vya kahawa na Tangawizi Maada kuu ni Yanga na Simba, habari za Bajeti hazituhusu kabisa au labda mtu kama Mbowe au Lisu waandamane kwa niaba yetu, then sisi ikifika saa 2 usiku tukae pembeni ya Tv tukiangalia jinsi wanavyo pigwa mabom ya machozi baada ya hapo sasa tutaingia kwenye Magrouop ya whatsapo, X,facebook na humu kuja kulalalmika.


Hakuna Taifa lina raia mazezeta kama hii Tanzania kama lipo Taifadhali tuambizane hapa, na hii ni neema kuu kwa watawala, wanagawana nchi wakijua fika raia wale sana wanajua kubisahana kuhusu yanga na Simba.

Bajeti itapitishwa bila aina yoyote ile ya upinzani hata wa danganya toto, na hakuna unafuu utakao patikana na Mwakani tena aatajuja na Bajeti nyingine Mazezera tutaambiwa hii ni bajaeti ya wananchi.

Tunataka either Mbowe au Lisu au mtu mwingine yoyote au hata Maaskofu wa TEC au Shura ya Maiamum walalamike, wao ikibidi waandamane kwa niaba yetu sisi, au watusemee kabisa.

Mpina anapambana mwenyewe kana kwamba familia yake ndio pekeee iko affected na sakata la Sukari.Sisi haituhus kabisa.

Huu uzezeta na ukondoo ni Neeema kuu kabisa kwa watawala.
Tanzania hatunaga muda na vitu vya maana, ila ukija ujinga ujinga ndio tunausikiliza na kuentertain
 
Unachosema ni kweli, tusimumunye maneno, taifa limekuwa na watu wa hovyo sana kuanzia juu mpaka chini.

Ndio maana kwa kuona hivyo bimama kaweka hadi 10m kwa kila goli ili akili ziishie huko.

Mijadala yetu ni ngono, simba vs yanga, wasanii nk ila sababu kubwa hatukujengwa kwenye kuhoji mambo ya msingi, watawala wametujengea hofu kubwa, unajua kabisa ukiandamana chances za kupotezwa ni kubwa, ukihoji hata mitandaoni utatafutwa na ukidakwa umekwisha.
 
Bajeti heri hata CCM walau wanaijadili bungeni huko nje kuna wanayenpamba Sana Tundu Lisu kuwa ndie mwanasiasa makini huyu upinzani kote hamna anaishia Tu kuongelea habari za Abdul na mama Yake na wasichana wanaojiuza Dar es salaam Hana habari na bajeti
 
Unachosema ni kweli, tusimumunye maneno, taifa limekuwa na watu wa hovyo sana kuanzia juu mpaka chini.

Ndio maana kwa kuona hivyo bimama kaweka hadi 10m kwa kila goli ili akili ziishie huko.

Mijadala yetu ni ngono, simba vs yanga, wasanii nk ila sababu kubwa hatukujengwa kwenye kuhoji mambo ya msingi, watawala wametujengea hofu kubwa, unajua kabisa ukiandamana chances za kupotezwa ni kubwa, ukihoji hata mitandaoni utatafutwa na ukidakwa umekwisha.
Hivi hakuna viongozi wa serikali huku jf
 
Wakenya wamechachamaa sana na Mswaada wa bajrmeti yao, wanaona hauna masilahi kwao, Psmoja na kufanyiwa mabadikika bado wanachachamaa tu.
Nenda Kenya Sasa badala yakuweka hoja unaleta mapenzi na nchi za watu Tanzania ni Tanzania Kenya ni Kenya ,hatuishi kuangalia wao wanafanya Nini na sisi tuwaige hii ni nchi mapokeo yetu ni tofauti na wao vile vile huku bajeti imeanza kuchambuliwa tuu vizuri
 
Unachosema ni kweli, tusimumunye maneno, taifa limekuwa na watu wa hovyo sana kuanzia juu mpaka chini.

Ndio maana kwa kuona hivyo bimama kaweka hadi 10m kwa kila goli ili akili ziishie huko.

Mijadala yetu ni ngono, simba vs yanga, wasanii nk ila sababu kubwa hatukujengwa kwenye kuhoji mambo ya msingi, watawala wametujengea hofu kubwa, unajua kabisa ukiandamana chances za kupotezwa ni kubwa, ukihoji hata mitandaoni utatafutwa na ukidakwa umekwisha.
Inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom