Je, Bajeti yetu ni Bora sana? Mbona tuko kimya sana? Vijana Kenya wanaandamana

Maandamano ambayo wabongo wanayaweza ni ya simba na yanga, bongofleva, zaidi ya hapo hawana guts
 
Huku bajeti inaweza kuwa nzuri ila upigaji unakuwa mwingi we sikilizia ripoti ya cag
 
Huku bajeti inaweza kuwa nzuri ila upigaji unakuwa mwingi we sikilizia ripoti ya cag
Ni kweli mkuu ila napingana na mleta mada kwamba Kenya wamechachamaa na sisi tuchachamae,
 
Weka ayo mapungufu tunajadili kwa ufupi Bado bajeti haijapitishwa
kuweka ushuru kwenye magari ya umeme na gas ni UJUHA wa hali ya juu, yaani badala ya kuondoa KODI ili watu watumie gas na umeme zaidi kuliko mafuta wao wanaongeza USHURU na Kodi.

Pili, bajeti haizungumzi wala kutaja chanzo kipya (yaani ubunifu) wa namna ya kukusanya kodi, kila siku ujinga ni ule ule, hizo levy, taxes ziko kama zote. Mazingira kama haya huwezi kusema kuwa tuna bajeti nzuri, tuna ujinga kiwango kikubwa
 
Kwa sasa Tanzania tuna tatizo moja kubwa nalo ni CCM
Kila tatizo tulilonala la rushwa, ufisadi, bajeti mbovu, waandishi wa habari wa kicomedy kama alivyosema Tido Mhando,
Na mambo mengine mengi ya hovyo hovyo ni kwa sababu ya ccm
Wewe fikiria kiongozi wa nchi anajifananisha na chura huku wapambe waje wakimfananisha na mitume

Waziri wa fedha anawaza yanga
badala ya kuja na suluhisho na jinsi ya kuimarisha shilingi yetu isiendelee kuporomoka thamani.
 
Nimekuwa Mfuasi wa siasa za Kenya kwa muda sasa, imefikia sehemu nahisi labda wao wametokea Sayari tofauti na hii tunayoishi WABONGO. Juzi vijana wamemwagika barabarani kupinga Muswada wa fedha uliokuwa imejaa kodi kibao na hatimae "ZAKAYO AKASHUKA" Huku Bongo tuliambiwa kama hutaki kulipa uhamie Burundi😥😢😢. Swali la msingi, Wakenya wanatokea Sayari gani? Hapa kwetu kwanini haiwezekani?
 
duh! labda tumeridhika na nchi yetu!
 
Je,
1. Tumekubali kuwa Moshi unaozunguka Kutwa umeshatuathiri hadi Ubongo?
2. Tumerogwa tokea Taifa linaundwa?
3. Hatujitambui?
4. Kiuhalisia hatuna Akili?
5. Elimu yetu ni tatizo?
6. Roho ya Ujasiri na Uthubutu ilipita kwa bahati juu ya Mbingu yetu na kwenda Kwingineko?
7. Tuna Laana ya Kutukuka ya Unafiki na Uwoga?

Ninayasubiria majibu yenu ila nadhani sasa ni high time nizae na Mwanamke wa Kenya ili nimpate Mtanzania Jasiri.
 
Changamoto za Kundustan sio sawa na Changamoto za Tanzanian.

Pili Wanasiasa wa Upinzani ni matapeli Wameshindwa Kila Nchi walikoshika Dola kuanzia Ghana Hadi Malawi to Kenya.Walichoahidi sicho wanafanya.

Hapa Tanzania mama ni msikivu na Huwa anafanya Yale ambayo Watanzania wanapenda.Sasa umjambishe Kwa lipi labda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…