Sehemu kubwa ya Watanzania ni kama watu waliokufa, hawajui haki zao, hawajui kinachoendelea wao ili mradi mtu anapata ugali wake na analala basi kwake imetosha.
Watu wamejaribu kuwaamsha lakini wapi, ni kama kumuamsha marehemu, hata umpige shoti ya umeme haamki.
Ndio maana watu wenye akili wameamua tu watulie, na wao wakipata kula basi wale watulie maana ni vigumu kufundusha mtu haki zake na bado hataki kuelewa.