Je, Balozi Kipilimba ni mzalendo?

Je, Balozi Kipilimba ni mzalendo?

Na siku wamempokea Lowassa ndio siku chama kilikufa rasmi, imani waliyokua nayo kwa wananchi kabla ya kumpokea huyu mzee hawatokuja kuipata tena, KAMWE ASILANI.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Ni kweli mkuu. Ni kama mchawi akishagundulika tu kama ni mchawi, basi huogopwa na kila mtu mpaka watoto wake.

Hakuna mtu atakaewaamini na kuwasikiliza tena hao wapinzani uchwara. Labda wasikilizwe na hawa vijana wao wanaowalipa viela vya kula ili waje kujaza propaganda zao humu mitandaoni.
 
images

images



Lissu kasema bila kupingwa kwamba kikosi kazi cha kumpiga risasi yeye, kutunga kesi, utekaji wote mpaka wa Dewji umefanywa chini ya maelekezo na usamamizi wa mtu mmoja ambaye ni Balozi Kipilimba. Hajawahi kutoka hata siku mmoja kukana chochote maana ni ukweli mtupu.

Kuna wanaofikiria alikuwa mazalendo na kufuata au kunusa hasira za Raisi bosi wake hivyo hana hatia. Wengine wanasema huwezi kufanya mauaji kwa niaba ya mtu yeyote unatakiwa kufuata katiba. Je leo hii ikigundulika kama wanavyodai anaweza kufunguliwa mashitaka? Na je huyu ni mzalendo au muuaji? Na Je aliapa kwa katiba au Raisi ?

Mimi kwa mawazo yangu na kumjua Magufuli kama kiongozi na kama familia siamini kama alimtuma huyu balozi kuuwa mtu yeyote lakini Magufuli anakuwa na hasira na anaweza kuongea vitu vya kutisha lakini siamini kama anaweza kumpigia simu na kutoa maelekezo kutoka kwenye kinywa chake kwamba fulani apigwe risasi hili ni gumu kuamini. Lakini Magufuli huyo huyo anaweza kuwasamahe na kusema tuko vitani na hawa ni kama wanajeshi wa taifa na hata ingilia kazi yao. Magufuli alikuwa na double personality.
Lissu ni mende na ni kwa sasa yuko kundi maalumu katika binadamu wanyonge hawezi kufanya chochote huyo bwege, sasa hivi anasogelea kaburi na kukiita kifo kila siku, huyu mpumbavu wanaomtuma ni vibwengo.

Akubali aendelee kuishi na machuma yake.

Disability with thinking and psychological inability. He was incapacitated mentally since then.
 
images

images



Lissu kasema bila kupingwa kwamba kikosi kazi cha kumpiga risasi yeye, kutunga kesi, utekaji wote mpaka wa Dewji umefanywa chini ya maelekezo na usamamizi wa mtu mmoja ambaye ni Balozi Kipilimba. Hajawahi kutoka hata siku mmoja kukana chochote maana ni ukweli mtupu.

Kuna wanaofikiria alikuwa mazalendo na kufuata au kunusa hasira za Raisi bosi wake hivyo hana hatia. Wengine wanasema huwezi kufanya mauaji kwa niaba ya mtu yeyote unatakiwa kufuata katiba. Je leo hii ikigundulika kama wanavyodai anaweza kufunguliwa mashitaka? Na je huyu ni mzalendo au muuaji? Na Je aliapa kwa katiba au Raisi ?

Mimi kwa mawazo yangu na kumjua Magufuli kama kiongozi na kama familia siamini kama alimtuma huyu balozi kuuwa mtu yeyote lakini Magufuli anakuwa na hasira na anaweza kuongea vitu vya kutisha lakini siamini kama anaweza kumpigia simu na kutoa maelekezo kutoka kwenye kinywa chake kwamba fulani apigwe risasi hili ni gumu kuamini. Lakini Magufuli huyo huyo anaweza kuwasamahe na kusema tuko vitani na hawa ni kama wanajeshi wa taifa na hata ingilia kazi yao. Magufuli alikuwa na double personality.
Yeye Lissu kaongea yake ya kumtafutia umaarufu. Huwezi kupinga kila ngonjera anayoleta mpuuzi anayotafuta umaarufu. Sana sana angemshitaki kwa kumchafua ili atoe ushahidi. Sasa maridhiano waliyoingia na CCM ni kuwa hakuna kesi zote zimefutwa na waongee tu. Kapilima ana akili sana hataki malumbano na CCM. Ujue sio malumbano na Lissu bali ni malumbano na CCM.
 
Hao viongozi wote tunaowahusisha na vifo vya watu walikuwepo tawala zilizopita, mbona hawakuuwa mtu, hapo tusipepese macho muuaji mkuu ni yule almaarufu mwendazake, kwa kinywa na matendo yake alijidhihirisha.
 
bionadamu mwenye mikono yenye yenye 'rangi nyekundu' ! sidhani kama huwa analala kwa amani kutokana na sauti za ajabu zinazomwita!
 
Huyo lisu katoa ushahidi gani wa balozi tajwa kuhusika? Yani tumuhangaishe raia wetu kisa maneno ya mbelgiji?
 
Hai make sense bro, huyu mama would take the earliest possible opportunity to vilify her predecessor, ukiona hafanyi ujue hakuna ishu hapo.
Live with it man!

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app

Atachukua hatua gani wakati chama chake kilifaidika na utawala ule wa kidhalimu? Ingekuwa ni chama kingine kimeingia madarakani hapa ungekuwa na Utetezi wenye mashiko.
 
Lisu kaisha waacha solemba wanachama wa Chadema. 85% hawana tena hamu nae na hawataki tena kuongelea habari zake.

Nashangaa mleta mada umepataje ujasiri leo wakuja kumzungumzia mtu aliekikimbia chama chake mwenyewe.

Lisu amekimbia nchi huku Magufuli na Kapilimba wakiwa hawapo madarakani.
Wewew ni kima
 
Lisu kaisha waacha solemba wanachama wa Chadema. 85% hawana tena hamu nae na hawataki tena kuongelea habari zake.

Nashangaa mleta mada umepataje ujasiri leo wakuja kumzungumzia mtu aliekikimbia chama chake mwenyewe.

Lisu amekimbia nchi huku Magufuli na Kapilimba wakiwa hawapo madarakani.
85%? ulijuaje?
uliongea na wana chadema wangapi?
lengo lako lilikuwa nini?
hao wana cdm uliwapataje ili kuwahoji?
wana elimu gani, umri na wanaishi wapi?
 
85%? ulijuaje?
uliongea na wana chadema wangapi?
lengo lako lilikuwa nini?
hao wana cdm uliwapataje ili kuwahoji?
wana elimu gani, umri na wanaishi wapi?
Hebu watafute wale wote waliokuwa wanaandika habari zake humu usiku na mchana, ili uone kama wameandika habari zingine baada ya kuondoka.
 
Hebu watafute wale wote waliokuwa wanaandika habari zake humu usiku na mchana, ili uone kama wameandika habari zingine baada ya kuondoka.
hujui chochote kuhusu utafiti una rocharocha tu. kawambie wapuuzi wenzio indo watakuelewa unamaanisha nini?
 
images

images



Lissu kasema bila kupingwa kwamba kikosi kazi cha kumpiga risasi yeye, kutunga kesi, utekaji wote mpaka wa Dewji umefanywa chini ya maelekezo na usamamizi wa mtu mmoja ambaye ni Balozi Kipilimba. Hajawahi kutoka hata siku mmoja kukana chochote maana ni ukweli mtupu.

Kuna wanaofikiria alikuwa mazalendo na kufuata au kunusa hasira za Raisi bosi wake hivyo hana hatia. Wengine wanasema huwezi kufanya mauaji kwa niaba ya mtu yeyote unatakiwa kufuata katiba. Je leo hii ikigundulika kama wanavyodai anaweza kufunguliwa mashitaka? Na je huyu ni mzalendo au muuaji? Na Je aliapa kwa katiba au Raisi ?

Mimi kwa mawazo yangu na kumjua Magufuli kama kiongozi na kama familia siamini kama alimtuma huyu balozi kuuwa mtu yeyote lakini Magufuli anakuwa na hasira na anaweza kuongea vitu vya kutisha lakini siamini kama anaweza kumpigia simu na kutoa maelekezo kutoka kwenye kinywa chake kwamba fulani apigwe risasi hili ni gumu kuamini. Lakini Magufuli huyo huyo anaweza kuwasamahe na kusema tuko vitani na hawa ni kama wanajeshi wa taifa na hata ingilia kazi yao. Magufuli alikuwa na double personality.
Huyo nduyo Msaliti Wetu tundulissu. He throws mud and dirt around, scurrilous but plausible, then waits for some poor fellow to respond to give credence to his story. Ni sawa na mwehu aliyeuchi aibe nguo yako ubaki uchi halafu uanze kumfukuza ukiwa uchi, wewe ndiyo utaumbuka. Kapilinga is a pro, he knows all these gimmicks. Another example alisema "Magufuli wenu amejigungia kikao na ma RAS na ma DED wote wanapanga kuiba kura za CHADEMA. Magu said nothing - he was then at Kwa Koa in Same - but the DG of the Electoral Commission intervened and suspended him (tundulissu) for a week, hakuacha kutoa matusi, sawa na mwizi wa nguo za uchi. Right now anasema matokeo ya Urais hayajatangazwa,walitangaza kwenye TV siku ile dunia nzima ikiona na hadi leo yako kwenye we site. Ni wazi tundulissu anataka Afisa fulani awe uchi waanze kufukuzana.
 
Lisu kaisha waacha solemba wanachama wa Chadema. 85% hawana tena hamu nae na hawataki tena kuongelea habari zake.

Nashangaa mleta mada umepataje ujasiri leo wakuja kumzungumzia mtu aliekikimbia chama chake mwenyewe.

Lisu amekimbia nchi huku Magufuli na Kapilimba wakiwa hawapo madarakani.
Jibu hoja mbona mlitaka kumuua?.
IPO siku wote mliohusika mtaaibika.
 
Jibu hoja mbona mlitaka kumuua?.
IPO siku wote mliohusika mtaaibika.
Waswahili wanasema kikulacho kipo nguoni mwako.

Kwa vile jamaa amekimbia basi ngoja siku atakayotulia ndo atatuambia sababu hasa za kukimbia kwake tena amekimbia siku chache tu baada ya kuhojiwa kuhusu swala la ukomo wa madaraka pale chamani na akaulizwa kama na yeye yuko tayari kugombea.

Pale Chadema ukitaka uishe jaribu kuzungumzia swala la uenyekiti uone kama hayajakukuta ya Chacha Wangwe au Zito.

Zito alipigwa risasi kipindi ambacho Chadema ilikuwa inakaribia uchaguzi mkuu wa ndani na katika watu ambao walikuwa wanategemea kugombea kiti kile alikuwepo yeye Lisu. Kwahiyo hiyo ilimuharibia na kutaka kupotezewa uhai wake bure.

Hata safari hii katoka nduki wakati uchaguzi mkuu ukiwa unatarajiwa kufanyika mwaka huu. Sasa jiulize kuna nini kila unapokaribia uchaguzi mkuu wa chama lazima tukio fulan litokee kwa mtu anaepewa nafasi ya kugombea uenyekiti. Hata Sumaye pamoja na ulinzi wake kama waziri mkuu mstaafu lkn aliambiwa kuwa sumu hailambwi kwa ulimi. Sasa ije kuwa kwa Lisu ambae hana hata sungu sungu wa kumchunga.
 
Back
Top Bottom