Je, Balozi Kipilimba ni mzalendo?

Je, Balozi Kipilimba ni mzalendo?

..sio kweli.

..Baba yake Pascal Mayalla alikuwa afisa usalama wa Taifa, yeye na wenzake walifikishwa mahakamani kwa tuhuma kufanya makosa wakiwa kazini.

..Muulize Kaka Pasco atakuthibitishia kwamba Maafisa Usalama / Secret Service / Tiss wakienda kinyume na sheria hushtakiwa.

..Suala la Lissu kuchunguzwa na watuhumiwa kufikishwa mahakamani halina utashi wa serikali ndio maana unaona miaka inakwenda lakini hakuna majibu.

..Na sio Lissu peke yake, kwa mfano wapo kina Ben Saanane, Azory Gwanda, Akwilina Akwilini, lakini matukio yao hayachunguzwi.
Utawafurahisha wengi humu, lakini my point stands.
 
Hio katiba alio apa nayo ndio ndani yake kuna takwa la kumheshimu na kumtii rais wa jamuhuri.

Lakini achaneni na propaganda za lisu, yeye ashukuru Mungu yu mzima sasa.

Ikumbukwe pia modestus ni mchungaji.
Nikimiliki silaha siku moja nakuvuruga hiyo mironjo alafu nduguzo washukuru haujafa
 
images

images



Lissu kasema bila kupingwa kwamba kikosi kazi cha kumpiga risasi yeye, kutunga kesi, utekaji wote mpaka wa Dewji umefanywa chini ya maelekezo na usamamizi wa mtu mmoja ambaye ni Balozi Kipilimba. Hajawahi kutoka hata siku mmoja kukana chochote maana ni ukweli mtupu.

Kuna wanaofikiria alikuwa mazalendo na kufuata au kunusa hasira za Raisi bosi wake hivyo hana hatia. Wengine wanasema huwezi kufanya mauaji kwa niaba ya mtu yeyote unatakiwa kufuata katiba. Je leo hii ikigundulika kama wanavyodai anaweza kufunguliwa mashitaka? Na je huyu ni mzalendo au muuaji? Na Je aliapa kwa katiba au Raisi ?

Mimi kwa mawazo yangu na kumjua Magufuli kama kiongozi na kama familia siamini kama alimtuma huyu balozi kuuwa mtu yeyote lakini Magufuli anakuwa na hasira na anaweza kuongea vitu vya kutisha lakini siamini kama anaweza kumpigia simu na kutoa maelekezo kutoka kwenye kinywa chake kwamba fulani apigwe risasi hili ni gumu kuamini. Lakini Magufuli huyo huyo anaweza kuwasamahe na kusema tuko vitani na hawa ni kama wanajeshi wa taifa na hata ingilia kazi yao. Magufuli alikuwa na double personality.
Kwa hiyo lissu alitakaje?... Nchi isiwe na kikosi kushughulikia usalama wa nchi? Watu wasaliti wenye kushirikiana na adui kuhujumu malengo na mstakabali wa taifa anataka wawe wanaombewa misikitini na makanisani? ..waombwe kutubu hata kama wameapiza usaliti na kushirikiana na adui wa nchi ni wajibu wao?
Yafaa hawa wenye kuwataja kwa majina watumishi wa umma ambao wametimiza tu wajibu wao wawe wanashughulikiwa kukomesha umbea au uzandiki.
 
Kwani Lissu yeye ni Yesu?

kwamba kila asemalo ni la ukweli 100%?

Na kama anao ushahidi,ni kwa nini asimpatie mwanasheria wake, Robert Amsterdam,ili awapeleke the Hague,kule Uholanzi ICJ?

Mtu aliyejeruhiwa anakuwa amerukwa akili hivyo hata Lissu,tufike mahali,kutokana na anavyotuhumu bila ushahidi?
Tumchukulie hivyo!

Kila siku humu,mnachafua majina ya watu,na familia zao!

Lissu...Lissu Lissu!

Mfike mahali mjidharau na nyinyi!
Kuna wengi wameumia nchi hii.sio huyo Lissu wenu wa Chadema pekee!

Na kupigwa Risasi isiwe kigezo cha kuwa mkweli au muadilifu!
Au kuwa ndio testimony ya kuupata uraisi.

Tumchukulie Lissu, kama majeruhi wa risasi aliechanganyikiwa....

Yaani kwamba,huenda Dish lake limetingishika kidogo,huenda ndio maana anarudi rudi kwa Daktari mara kwa mara!

Chadema Lissu ni kama Nabii au??View attachment 2525654

Acheni Uzwazwa...tumewachoka sasa!
Lodi lofa huyooo🤣
 
Back
Top Bottom