Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,039
- 5,560
Habari zenu wakuu.
Mapambano yanazidi kupamba moto kila uchwao, kila mmoja katika nafasi yake. Leo nimekuja na swali kwenu nyote wataalamu katika masuala ya kusoma upepo wa biashara kule ziendako kutoka na mabadiliko ya kidunia. Kama tujuavyo kwa sasa duniani iko kasi sana kwenye suala zima la teknolojia.
Kuna hizi biashara mbili, Movie Library na Play Station (PS) hizi biashara kwa miaka ya nyuma watu wametengeneza pesa sana, japo watu walizichukulia poa ila kuna baadhi waliingiza pesa sana. Mpaka sasa bado kuna watu wanazifanya huko mitaani kila mmoja kwa namna yake.
Dunia iko kasi sana kwa sasa na mambo mengi hubadilika kutokana na nyakati. Swali langu ni kuwa hizi biashara mbili kwa nyakati hizi na miaka 5 mbele je, bado zina soko? Tumeshuhudia mabadiliko makubwa ya ki teknolojia, je hizo biashara bado hazija asiliwa na kukuwa kwa teknolojia vipi kuhusu miaka mitano mbele?
Wale wataalamu wa kusoma upepo wa biashara kutokana na nyakati naomba mtufahishe jambo hili, hii itasaidia kabla ya mtu kuingia huko ajue cha kufanya.
Karibuni nyote kwa maoni.
Mapambano yanazidi kupamba moto kila uchwao, kila mmoja katika nafasi yake. Leo nimekuja na swali kwenu nyote wataalamu katika masuala ya kusoma upepo wa biashara kule ziendako kutoka na mabadiliko ya kidunia. Kama tujuavyo kwa sasa duniani iko kasi sana kwenye suala zima la teknolojia.
Kuna hizi biashara mbili, Movie Library na Play Station (PS) hizi biashara kwa miaka ya nyuma watu wametengeneza pesa sana, japo watu walizichukulia poa ila kuna baadhi waliingiza pesa sana. Mpaka sasa bado kuna watu wanazifanya huko mitaani kila mmoja kwa namna yake.
Dunia iko kasi sana kwa sasa na mambo mengi hubadilika kutokana na nyakati. Swali langu ni kuwa hizi biashara mbili kwa nyakati hizi na miaka 5 mbele je, bado zina soko? Tumeshuhudia mabadiliko makubwa ya ki teknolojia, je hizo biashara bado hazija asiliwa na kukuwa kwa teknolojia vipi kuhusu miaka mitano mbele?
Wale wataalamu wa kusoma upepo wa biashara kutokana na nyakati naomba mtufahishe jambo hili, hii itasaidia kabla ya mtu kuingia huko ajue cha kufanya.
Karibuni nyote kwa maoni.