Je, biashara ya Movie Library na Play Station (PS) bado zina soko kwa sasa?

Kwa maoni yako bado inalipa
 

Kweli Kabisa Tanzania, Wifi Ni kwa wachache sana
 
Kiongozi muongozo kidogo kuhusu unlimited hio🙌
 
Pia PM yako kiongozi tuyajenge zaidi
 
Mkuu naomba nikuulize maadam una uzoefu. Hivi hii biashara ukimuweka mtu kibandani akufanyie kazi na wewe kama boss, unaweza kuisimamia vipi, hesabu yake mnapigaje na mnalipanaje...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…