Je, bikra inaweza kutoka bila kukutana na mwanaume? Na kwanini wasichana hawapendi kuulizwa hili?

Je, bikra inaweza kutoka bila kukutana na mwanaume? Na kwanini wasichana hawapendi kuulizwa hili?

Namaanisha...labda nkuulize kitu unasikia nn unapokuwa na mwanamke bikra....?!...tofauti na ubinafsi baada ya tukio
yaan mwanamke kutokuwa na bikra sawa sio issue... ila jambo la kusema ukimkuta na bikra unamwacha... hakunaga hiyo kitu aisee..!
 
Kwanza kisaikolojia bikra siyo mwanamke sahihi wa kuoa....!Unajua nini kinatokea baada ya wewe kumtoa bikra anapatwa hisia za juu sana kutaka kujua Wanamme wengine wapo vipi...kwa asilimia kubwa japo siyo wote ni lazima afanye na mwanamme tofauti na wewe hata na mwingine japo wanasema huwa siyo wepesi kuacha wanaume wao waliowatoa bikra...ndio maana nasema bikra inapendwa na wanamme Wabinafsi.
 
watoto wengi wa kike wanabikiriwa na wanaume waliowazidi umri na si lika lao......na kama hukumtoa wewe hiyo bikra, ukitaka mkosane na demu wako au mkeo umuulize aliyemtoa ''kizinda''
 
yaan mwanamke kutokuwa na bikra sawa sio issue... ila jambo la kusema ukimkuta na bikra unamwacha... hakunaga hiyo kitu aisee..!
Soma post yangu hapo chini ili uone kwa nini siwahitaji wala siwapendi
 
yaan mwanamke kutokuwa na bikra sawa sio issue... ila jambo la kusema ukimkuta na bikra unamwacha... hakunaga hiyo kitu aisee..!
"UBINAFSI"....kwa nini usimwache?au Asikuache?...sababu ulimtoa bikra?...mbona tunaoa ambao hawana bikra kama unareason kwamba huwezi kumwacha mwanamke mwenye bikra....!na ukumbuke kila mwanamke alikuwa bikra kwa hiyo tunakutana nao Wameachwa na waliowabikiri kwa hiyo Wanaachwa tena sana...Wewe kama Mwanamme una Akili timamu Na unaupenda Ukweli Mwanamke bikra unaenda nae wapi kwa hii dunia tuliopo walikuwa na nafasi zao Dunia iliyopita siyo hii
 
MKUNA NA MKUNWAJI MUONA RAHA NINAANIIII...! Hapa natakakujua anaejua faida ya Bikra ninani? Mtanisamehe coz wengine bado under ground halafu bidhaayenyewe this time imekua adimu hasa hapa jijini
 
Hilo ni swali la kipuuzi kumwuliza mkeo, kwani wewe mpaka unaoa ulikuwa fresh? Tena ni siri yako kwa wakristo ktka biblia alifumaniwa mwanamke na kwa wayahudi unapondwa na mawe hadi kufa, Yesu aliwauliza na ambae hajafanya dhambi hii na aanze kumrushia jiwe, acha kumrushie mkeo mawe . Na ukijua ili iweje!!!?[emoji68][emoji187]Cool[emoji94]
[emoji155][emoji122][emoji95]
[emoji158]
[emoji151][emoji151]
 
Kwanza mm sijaona hiyo bikra wanayo isema siku zote labda niaiona ndotoni
Subiri Ray Van Boy; tuombe msaada jamani wana jf hebu tujuzeni mkoa gani kwahapa Tanzania inapatikana kwawingi hii kitu bikira jamaa Ray Van boy anasema adimu kama fafafa
 
Subiri Ray Van Boy; tuombe msaada jamani wana jf hebu tujuzeni mkoa gani kwahapa Tanzania inapatikana kwawingi hii kitu bikira jamaa Ray Van boy anasema adimu kama fafafa
Nitafutie aisee
 
haya mambo ya bikira mh, hua najiuliza mnapoongelea hizo bikira, na nyie mnajiuliza mkoje? hata wanaume mnapaswa kujitunza
 
Nmekumbuk enz hzo chuo kuna manz nilimtoa usichana, nilimkaba shingo huku namla alikua analia kama mbuzi
 
Naombeni msaada kwanza ni kweli bikra inaweza kutolewa bila mwanaume kumwingilia msichana na kwanini wadada wengi wanapoulizwa swali hili wanakuwa wakali sana mfano mke wangu kila nikimuuliza swali hili lazima uzuke ugomvi na kudai mtoaji ni mimi na hukasirika sana na kudai kama siamini basi nshakuwa na wanaume mia

Sasa swali ninalojiuliza kwanini anakuwa mkali na kuniambia ni mimi ndo mtoaji wakati sikuona dalili hizo for the first time

SWALI HILI NAJUA WENGI WA WANAUME WANALO KICHWANI WANAWEZA KUWA MAJASIRI WAKAULIZA AU WAKAMEZA TU BILA KUULIZA
Nawe mkeo kwako no wa ngapi?
 
Back
Top Bottom