brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Tuweni wakweli wadau,
Hivi siku ukisikia Diamond Platinumz kaacha mziki au kafa (siombei itokee) utajiskiaje? Na vipi kuhusu muziki wetu wa Tanzania kwa ujumla unahisi kuna mtu anaweza akausogeza zaidi ya hapa ulipo?
Kwa maana leo nimekaa naskiliza nyimbo zake tangu enzi hizo za Kamwambie mpaka hii ya sasa hivi ya Salome nikaona daah huyu jamaa akiacha mziki kama Suma Lee itakuwa ndio basi tena kwa mziki wetu kupiga hatua.
Kama vile wapenzi wa Bongo Movie walivyoondokewa na Kanumba au wapenzi wa Taarabu walivyoondokewa na Yusuph, mwisho wa siku ndio kama hao akina Thabit wanataka mziki wao upigwe kanisani.
Hivi siku ukisikia Diamond Platinumz kaacha mziki au kafa (siombei itokee) utajiskiaje? Na vipi kuhusu muziki wetu wa Tanzania kwa ujumla unahisi kuna mtu anaweza akausogeza zaidi ya hapa ulipo?
Kwa maana leo nimekaa naskiliza nyimbo zake tangu enzi hizo za Kamwambie mpaka hii ya sasa hivi ya Salome nikaona daah huyu jamaa akiacha mziki kama Suma Lee itakuwa ndio basi tena kwa mziki wetu kupiga hatua.
Kama vile wapenzi wa Bongo Movie walivyoondokewa na Kanumba au wapenzi wa Taarabu walivyoondokewa na Yusuph, mwisho wa siku ndio kama hao akina Thabit wanataka mziki wao upigwe kanisani.