Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Abuu Said

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2015
Posts
4,010
Reaction score
4,763
Habarini wana Intelligence ....
...hili jambo linanichanganya sana juu ya uwepo wetu Duniani....
Nikiangalia vitabu vya Dini zote vinatuambia kwamba, lengo la kuumbwa kwetu Mungu alitaka kiumbe kitakachoweza kuitawala Dunia na vilivyomo ndani yake.
Sasa hapohapo vitabu vya Dini vinatuambia Binaadamu wa kwanza kuumbwa aliwekwa Heden kwa tafsiri rahisi ni sehemu iliyokuwa tulivu yenye Miti, matunda na Bustani za kupendeza zilizopo hukohuko Mbinguni then Adam akaumbiwa mwanamke ili amfariji na wazaane....
.....vitabu vya Dini vikaendelea kutupa historia yetu sisi wanaadamu kwamba baba yetu Adam na Mama yetu Hawa walikosea masharti waliyowekewa kuishi humo kwa kurubuniwa na Malaika mmoja mkosefu aliyekataa kumsujudia Adam basi Adam na Hawa wakatupwa Duniani.
.....sasa maswali yapo hapa...
Kama lengo la Mungu kumuumba mwanaadam kuja kuitawala Dunia kwanini alimweka kwanza Mbinguni na asinge mleta moja kwa moja Duniani mpaka pale alipokosea?...
Inaelezwa kwamba Malaika Ibilisi ndie alie warubuni Adam na Hawa Je ulikuwa ni mpango wa Mungu awajaribu na kupata sababu ya kutuleta Duniani?
Je kwanini Mungu aliona hii ndio njia bora na si kututeremsha kwa Amani na akatuchagulia njia ya kumkosea?
Je kuna mapungufu katika hili juu ya uwepo wa binaadam Duniani. Nawaombeni wana Jamvi tujadilini hili
NAWASILISHA

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
Habarini wana Intelligence ....
...hili jambo linanichanganya sana juu ya uwepo wetu Duniani....
Nikiangalia vitabu vya Dini zote vinatuambia kwamba, lengo la kuumbwa kwetu Mungu alitaka kiumbe kitakachoweza kuitawala Dunia na vilivyomo ndani yake.
Sasa hapohapo vitabu vya Dini vinatuambia Binaadamu wa kwanza kuumbwa aliwekwa Heden kwa tafsiri rahisi ni sehemu iliyokuwa tulivu yenye Miti, matunda na Bustani za kupendeza zilizopo hukohuko Mbinguni then Adam akaumbiwa mwanamke ili amfariji na wazaane....
.....vitabu vya Dini vikaendelea kutupa historia yetu sisi wanaadamu kwamba baba yetu Adam na Mama yetu Hawa walikosea masharti waliyowekewa kuishi humo kwa kurubuniwa na Malaika mmoja mkosefu aliyekataa kumsujudia Adam basi Adam na Hawa wakatupwa Duniani.
.....sasa maswali yapo hapa...
Kama lengo la Mungu kumuumba mwanaadam kuja kuitawala Dunia kwanini alimweka kwanza Mbinguni na asinge mleta moja kwa moja Duniani mpaka pale alipokosea?...
Inaelezwa kwamba Malaika Ibilisi ndie alie warubuni Adam na Hawa Je ulikuwa ni mpango wa Mungu awajaribu na kupata sababu ya kutuleta Duniani?
Je kwanini Mungu aliona hii ndio njia bora na si kututeremsha kwa Amani na akatuchagulia njia ya kumkosea?
Je kuna mapungufu katika hili juu ya uwepo wa binaadam Duniani. Nawaombeni wana Jamvi tujadilini hili
NAWASILISHA

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'



Maandiko gani uliyosoma mkuu??
 
Habarini wana Intelligence ....
...hili jambo linanichanganya sana juu ya uwepo wetu Duniani....
Nikiangalia vitabu vya Dini zote vinatuambia kwamba, lengo la kuumbwa kwetu Mungu alitaka kiumbe kitakachoweza kuitawala Dunia na vilivyomo ndani yake.
Sasa hapohapo vitabu vya Dini vinatuambia Binaadamu wa kwanza kuumbwa aliwekwa Heden kwa tafsiri rahisi ni sehemu iliyokuwa tulivu yenye Miti, matunda na Bustani za kupendeza zilizopo hukohuko Mbinguni then Adam akaumbiwa mwanamke ili amfariji na wazaane....
.....vitabu vya Dini vikaendelea kutupa historia yetu sisi wanaadamu kwamba baba yetu Adam na Mama yetu Hawa walikosea masharti waliyowekewa kuishi humo kwa kurubuniwa na Malaika mmoja mkosefu aliyekataa kumsujudia Adam basi Adam na Hawa wakatupwa Duniani.
.....sasa maswali yapo hapa...
Kama lengo la Mungu kumuumba mwanaadam kuja kuitawala Dunia kwanini alimweka kwanza Mbinguni na asinge mleta moja kwa moja Duniani mpaka pale alipokosea?...
Inaelezwa kwamba Malaika Ibilisi ndie alie warubuni Adam na Hawa Je ulikuwa ni mpango wa Mungu awajaribu na kupata sababu ya kutuleta Duniani?
Je kwanini Mungu aliona hii ndio njia bora na si kututeremsha kwa Amani na akatuchagulia njia ya kumkosea?
Je kuna mapungufu katika hili juu ya uwepo wa binaadam Duniani. Nawaombeni wana Jamvi tujadilini hili
NAWASILISHA

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Nikusahihishe kwanza Eden haikuwa mbinguni mkuu ilikuwa duniani maeneo ya Iraq ya sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maswali matamu sana.labda mie nichangie tu kwa maoni yangu..

Ni sawa na kusema kama mungu anatoa rizki kwa kila mja sasa kuna haja gani ya kuenda kuhangaika masokoni na sehemu mbalimbali wakati rizki inaweza ikakufuata hata chumbani umelala mana Mungu ndo mtoa rizki pekee.ina kuja hii?

Kumbe ni kuna sababu na matokeo hapo.sababu ni kuhangaika na matokeo ni rizki.hivyo haiwezi tokea tokeo bila sababu kwa mujibu wa quran al kariym pia.

Kwa hvyo hata nabii adam pia malengo ilikuwa akaishi duniani ila sababu ni ipi sasa itakayompeleka?

Na kitendo cha kukosea nabii adam kuna hikma kubwa hapo na mafunzo ambayo ni..

Kwanza kabisa shetani hana nguvu pasi na uwepo wa mtu mwenyewe.

Pili tumejifunza hii dunia hata baba yetu sababu iliyomleta hapa ni kukosea agizo la mungu,narudia tenaa

Sababu iliyomleta hapa ni kukosea kwake. Narudia kwamba sababu iliyomleeta hapa ni kukosea kwake .

Lakini sasa MALENGO YA ALLAH NI HUYU AJE HAPA KUISHI HAPA DUNIANI.

kumbe lengo aje kuishi duniani na sababu iliyomleta duniani ni kosa lake.

Faida ingine ni kuwa hapa tunajua kwamba ikiwa baba yetu adam alikosea ndo akaletwa duniani jed wewe ni mimi hapa tutakuwa wakamilifuu??

Tunapata mafunzo kwamba tuweni wanyenyekevu na turudi kwa Mungu pale tunapokosea kwani Hakuna Mungu asichosamehe,ikiwa baba yetu alikosea huko majuu ambako ni kutukufu zaidi na akasamehewa vipi sisi tunaokosea hapa tusisamehewe?


Jambo la tatu ni khwa MIPANGO ya mungu haitokezi tu kiholela eti kwa kuwa amepanga bali hutokea kisa ambacho kitawafunza watu wengine na ndiyo ikawa njia ya kufikia mipango ama malengo hayo...

Mfano ni huo huo Mpango Wa Mungu adam aje kuishi katika ardhi lakini kikatokea kisa ambacho kinamafunzo ila ndiyo njia ya kumfikisha adam katika malengo aliyopangiwa.

Baadae kidogo..

الجنون فنون
 
Maswali matamu sana.labda mie nichangie tu kwa maoni yangu..

Ni sawa na kusema kama mungu anatoa rizki kwa kila mja sasa kuna haja gani ya kuenda kuhangaika masokoni na sehemu mbalimbali wakati rizki inaweza ikakufuata hata chumbani umelala mana Mungu ndo mtoa rizki pekee.ina kuja hii?

Kumbe ni kuna sababu na matokeo hapo.sababu ni kuhangaika na matokeo ni rizki.hivyo haiwezi tokea tokeo bila sababu kwa mujibu wa quran al kariym pia.

Kwa hvyo hata nabii adam pia malengo ilikuwa akaishi duniani ila sababu ni ipi sasa itakayompeleka?

Na kitendo cha kukosea nabii adam kuna hikma kubwa hapo na mafunzo ambayo ni..

Kwanza kabisa shetani hana nguvu pasi na uwepo wa mtu mwenyewe.

Pili tumejifunza hii dunia hata baba yetu sababu iliyomleta hapa ni kukosea agizo la mungu,narudia tenaa

Sababu iliyomleta hapa ni kukosea kwake. Narudia kwamba sababu iliyomleeta hapa ni kukosea kwake .

Lakini sasa MALENGO YA ALLAH NI HUYU AJE HAPA KUISHI HAPA DUNIANI.

kumbe lengo aje kuishi duniani na sababu iliyomleta duniani ni kosa lake.

Faida ingine ni kuwa hapa tunajua kwamba ikiwa baba yetu adam alikosea ndo akaletwa duniani jed wewe ni mimi hapa tutakuwa wakamilifuu??

Tunapata mafunzo kwamba tuweni wanyenyekevu na turudi kwa Mungu pale tunapokosea kwani Hakuna Mungu asichosamehe,ikiwa baba yetu alikosea huko majuu ambako ni kutukufu zaidi na akasamehewa vipi sisi tunaokosea hapa tusisamehewe?


Jambo la tatu ni khwa MIPANGO ya mungu haitokezi tu kiholela eti kwa kuwa amepanga bali hutokea kisa ambacho kitawafunza watu wengine na ndiyo ikawa njia ya kufikia mipango ama malengo hayo...

Mfano ni huo huo Mpango Wa Mungu adam aje kuishi katika ardhi lakini kikatokea kisa ambacho kinamafunzo ila ndiyo njia ya kumfikisha adam katika malengo aliyopangiwa.

Baadae kidogo..

الجنون فنون
Ahsante kwa majibu mazuri...

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
Back
Top Bottom