Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Umeyasema mengi ya kejeli na kuingiza kizungu katika baadhi ya sehemu kitu ambacho huwa nakuambia sijui kizungu.ila sio kesi sana mana wacha nihoji point ya muhimu.

Sasa nataka uniambie kwamba ikiwa hutaki kuonyeshwa(kuthibitishiwa) mungu kwa macho ama aliumba hivyo vitu kwa macho yako.

Niambie wewe utathibitisha vipi kwamba magufuli ndiye kaenda kwenye mkutano wa UN na sio mwingine?

Njia ambayo utaitoa kuthibitisha basi hiyo hiyo nadhani tutakuja kuihoji juu ya uumbaji wa mungu kisha tuone hapa unakataa nini unakubali nini.
Nithibitishe Magufuli kaenda UN kwanii mimi nimesema Magufuli kaenda UN?

Mbona unanipa kesi si zangu?

Nikikwambia siwezikuthibitisha Magufulikaenda UN, kwa sababu hajaenda, utasemaje?
 
Nithibitishe Magufuli kaenda UN kwanii mimi nimesema Magufuli kaenda UN?

Mbona unanipa kesi si zangu?

Nikikwambia siwezikuthibitisha Magufulikaenda UN, kwa sababu hajaenda, utasemaje?

HUO MFANO SI UMEUTOA WEWE?
Ila tu hukueleza moja kwa moja japo ndo ilikuwa lengo.

Ukisema huwezi kuthibitisha kwamba magufuli kaenda UN kwa sababu hajaenda nitasemaje?

Mimi nitasema hivi"unathibitisha vipi ikiwa kuna mwingine anadai kaenda huko UN mkutanon?

Utatumia uthibitisho upi kumuaminisha yule ambae anawasikiliza nyinyi mnaobishana kuhusu kwenda kwake?

Mana nayeye anaweza sema anathibitisha kaenda kwa sababu kaenda

Nawewe unasema unathibitisha kutoenda kwa sababu hakuenda.

Swali pale pale wewe unathibitisha vipi hakuenda ikiwa kuna mwingine anathibitisha kaenda??

Kisha
Wewe ukisema unaweza kushindwa kuthibitisha kwamba magufuli kafanya mkutano UN si umethibitisha mkutano ulifanyika kwa mujibu wa mfano wako?

Sasa utathibitisha vipi kama mkutano ulifanyika japo hakufanya magufuli au mwingine,wewe utathibitisha vipi kama mkutano kweli ulifanyika?
 
HUO MFANO SI UMEUTOA WEWE?
Ila tu hukueleza moja kwa moja japo ndo ilikuwa lengo.

Ukisema huwezi kuthibitisha kwamba magufuli kaenda UN kwa sababu hajaenda nitasemaje?

Mimi nitasema hivi"unathibitisha vipi ikiwa kuna mwingine anadai kaenda huko UN mkutanon?

Utatumia uthibitisho upi kumuaminisha yule ambae anawasikiliza nyinyi mnaobishana kuhusu kwenda kwake?

Mana nayeye anaweza sema anathibitisha kaenda kwa sababu kaenda

Nawewe unasema unathibitisha kutoenda kwa sababu hakuenda.

Swali pale pale wewe unathibitisha vipi hakuenda ikiwa kuna mwingine anathibitisha kaenda??

Kisha
Wewe ukisema unaweza kushindwa kuthibitisha kwamba magufuli kafanya mkutano UN si umethibitisha mkutano ulifanyika kwa mujibu wa mfano wako?

Sasa utathibitisha vipi kama mkutano ulifanyika japo hakufanya magufuli au mwingine,wewe utathibitisha vipi kama mkutano kweli ulifanyika?
Thibitisha Mungu yupo, acha zogo.
 
Thibitisha Mungu yupo, acha zogo.

Haya maswali ninayokuhoji ndio njia itakayopelekea mimi kukuthibitishia uwepo wa MOla muumba mbingu na aridhi sasa wala usiwe na papara kutaka nithibitishe ghafla wakati ni jambo linahitaji mifano hiyo hiyo uloitoa wewe,kwa hyo ukiyajibu haya maswali ndiyo tunaelekea kufanya ithbaat ambayo haitakuwa na maswali wala utata kwa sababu nakuuliza maswali ambayo ndiyo tunaenda kuweka misingi ya uthibitisho wa hoja zetu.

Narudia kusema
hujajibu nilichoandika ebu jibu kwanza mkuu sio unakata kauli wakati tulienda vizuri katika ile mifano yetu ya magufuli na mkutano Wa UN narudia

Ukisema huwezi kuthibitisha kwamba magufuli kaenda UN kwa sababu hajaenda nitasemaje?

Mimi nitasema hivi"unathibitisha vipi ikiwa kuna mwingine anadai kaenda huko UN mkutanon?

Utatumia uthibitisho upi kumuaminisha yule ambae anawasikiliza nyinyi mnaobishana kuhusu kwenda kwake?

Mana nayeye anaweza sema anathibitisha kaenda kwa sababu kaenda

Nawewe unasema unathibitisha kutoenda kwa sababu hakuenda.

Swali pale pale wewe unathibitisha vipi hakuenda ikiwa kuna mwingine anathibitisha kaenda??


Kisha
Wewe ukisema unaweza kushindwa kuthibitisha kwamba magufuli kafanya mkutano UN si umethibitisha mkutano ulifanyika kwa mujibu wa mfano wako?

Sasa utathibitisha vipi kama mkutano ulifanyika japo hakufanya magufuli au mwingine,wewe utathibitisha vipi kama mkutano kweli ulifanyika?
 
Haya maswali ninayokuhoji ndio njia itakayopelekea mimi kukuthibitishia uwepo wa MOla muumba mbingu na aridhi sasa wala usiwe na papara kutaka nithibitishe ghafla wakati ni jambo linahitaji mifano hiyo hiyo uloitoa wewe,kwa hyo ukiyajibu haya maswali ndiyo tunaelekea kufanya ithbaat ambayo haitakuwa na maswali wala utata kwa sababu nakuuliza maswali ambayo ndiyo tunaenda kuweka misingi ya uthibitisho wa hoja zetu.

Narudia kusema
hujajibu nilichoandika ebu jibu kwanza mkuu sio unakata kauli wakati tulienda vizuri katika ile mifano yetu ya magufuli na mkutano Wa UN narudia

Ukisema huwezi kuthibitisha kwamba magufuli kaenda UN kwa sababu hajaenda nitasemaje?

Mimi nitasema hivi"unathibitisha vipi ikiwa kuna mwingine anadai kaenda huko UN mkutanon?

Utatumia uthibitisho upi kumuaminisha yule ambae anawasikiliza nyinyi mnaobishana kuhusu kwenda kwake?

Mana nayeye anaweza sema anathibitisha kaenda kwa sababu kaenda

Nawewe unasema unathibitisha kutoenda kwa sababu hakuenda.

Swali pale pale wewe unathibitisha vipi hakuenda ikiwa kuna mwingine anathibitisha kaenda??


Kisha
Wewe ukisema unaweza kushindwa kuthibitisha kwamba magufuli kafanya mkutano UN si umethibitisha mkutano ulifanyika kwa mujibu wa mfano wako?

Sasa utathibitisha vipi kama mkutano ulifanyika japo hakufanya magufuli au mwingine,wewe utathibitisha vipi kama mkutano kweli ulifanyika?
Nikisema siwezi kuthibitisha chochote, hilo linathibitisha Mungu yupo?

Thibitisha Mungu yupo.
 
Nikisema siwezi kuthibitisha chochote, hilo linathibitisha Mungu yupo?

Thibitisha Mungu yupo.
Aha nimeshanngaa sana maneno ya ajabu kama haya.

Kuna maswali unayakimbia ambayo unajua ni kifungo kwako.

Nikuulize tena tu jee kwa mujibu wa mifano yangu hapo juu umeona kama kuna haja ya anaedai kutokuwepo au kufanyika kwa jambo naye pia anahitajika kuthibitisha ikiwa pana mzozo wa pande mbili??
 
Back
Top Bottom