Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Ingekuwa vizuri sana kama ungethibitisha Mungu yupo kabla ya kuniombea kwa huyo Mungu.

Thibitisha yupo.
Ahaahhaaa huu wimbo rafiki yangu kiranga ushauimba sana.

لا يحتاج كثير من القوة في إثبات وجود الله سبحانه وتعالى

"haihitaji nguvu nyiiiiiingi kuthibitisha uwepo wake Allah"

Mimi kwa mujibu wa kitabu changu cha imani nathibitisha na nakiamini kinaweza kuniridhisha uwepo wa Mola.

Sasamfano tu

بسم الله الرحمن الرحيم الحمد لله الذي خلق السماوات والأرض وجعل الظلمات والنور ثم الذين كفروا بربهم يعدلون

[ AL - AN-A'AM - 1 ]
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi, na akafanya giza na mwangaza. Tena baada ya haya walio kufuru wanawafanya wengine sawa na Mola wao Mlezi.

Hapo ni uthibitisho wa Uwepo huyomwenye sifa njema.

Kwa mujibu wa imani na kitabu changu Nathibiutisha yupo Mola kwa maandiko mfano wa hayo juu.

Kama ambavyo nathibitisha uwepo wa isack newton kwa kupitia maandishi basi ndivyo nathibitisha uwepo wa Mola kupitia maandishi ninayoyaamini.

Sasa hiyo ndo njia ambayo nimeitumia kuthibitisha uwepo wa Mola bwana kiranga au unaweza kunichagulia njia ya uthibitisho labda ukasema "nataka uthibitishe uwepo wa Mola kupitia njia fulani na fulani na sio maandiko ya kitabu chako cha imani"

Kama utasema hivyo litakuwa suala lingine ila nadhani ulitaka uthibitisho tu kuhusu uwepo wake nimekupatiaa kwa ufupi.

Asante
 
Ahaahhaaa huu wimbo rafiki yangu kiranga ushauimba sana.

لا يحتاج كثير من القوة في إثبات وجود الله سبحانه وتعالى

"haihitaji nguvu nyiiiiiingi kuthibitisha uwepo wake Allah"

Mimi kwa mujibu wa kitabu changu cha imani nathibitisha na nakiamini kinaweza kuniridhisha uwepo wa Mola.

Sasamfano tu

بسم الله الرحمن الرحيم الحمد لله الذي خلق السماوات والأرض وجعل الظلمات والنور ثم الذين كفروا بربهم يعدلون

[ AL - AN-A'AM - 1 ]
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi, na akafanya giza na mwangaza. Tena baada ya haya walio kufuru wanawafanya wengine sawa na Mola wao Mlezi.

Hapo ni uthibitisho wa Uwepo huyomwenye sifa njema.

Kwa mujibu wa imani na kitabu changu Nathibiutisha yupo Mola kwa maandiko mfano wa hayo juu.

Kama ambavyo nathibitisha uwepo wa isack newton kwa kupitia maandishi basi ndivyo nathibitisha uwepo wa Mola kupitia maandishi ninayoyaamini.

Sasa hiyo ndo njia ambayo nimeitumia kuthibitisha uwepo wa Mola bwana kiranga au unaweza kunichagulia njia ya uthibitisho labda ukasema "nataka uthibitishe uwepo wa Mola kupitia njia fulani na fulani na sio maandiko ya kitabu chako cha imani"

Kama utasema hivyo litakuwa suala lingine ila nadhani ulitaka uthibitisho tu kuhusu uwepo wake nimekupatiaa kwa ufupi.

Asante
Hujui hata uthibitisho ni nini.

Unahubiri halafu hayo mahubiri unayaita uthibitisho.
 
Kuita kwako mahubiri bado hakukanushi kuwa uthibitisho kwangu mm.

Uthibitisho ni kila chenye kuthibitisha jambo fulani kwa mtu fulani au watu fulani,mfano uthibitisho wa kutoamini kwako uwepo wa mungu ni maneno yako unayosema.hivyo maneno yako ni uthibitisho

Sasa hapo itegemee tu huyo anaetaka kuthibitishiwa anataka athibitishiwe kwa misingi gani.

Sasa sijui ulitaka uthibitisho wa namna gani?

Labda useme ulitaka nitoe uthibitisho kwa namna unayoitaka wewe jambo ambalo hukulibainisha tokea awali
Hujui hata uthibitisho ni nini.

Unahubiri halafu hayo mahubiri unayaita uthibitisho.
 
Kuita kwako mahubiri bado hakukanushi kuwa uthibitisho kwangu mm.

Uthibitisho ni kila chenye kuthibitisha jambo fulani kwa mtu fulani au watu fulani,mfano uthibitisho wa kutoamini kwako uwepo wa mungu ni maneno yako unayosema.hivyo maneno yako ni uthibitisho

Sasa hapo itegemee tu huyo anaetaka kuthibitishiwa anataka athibitishiwe kwa misingi gani.

Sasa sijui ulitaka uthibitisho wa namna gani?

Labda useme ulitaka nitoe uthibitisho kwa namna unayoitaka wewe jambo ambalo hukulibainisha tokea awali
Lete uthibitisho.

1. Unaopimika. Ukileta habari zisizopimika, ama kimaumbile, ama kimantiki, umeleta porojo, si uthibitisho.

2. Usioweza kupingika kimantiki. Ukileta habari zinazoweza kupingika kimantiki, umejaribu kutoa uthibitisho, lakini uthibitisho wako umeshindwa kusimama.

3. Ambao unatoka kwenye vyanzo visivyo madoa. Ukileta habari za kutoka kwenye vyanzo vyenye madoa, habari hizo si uthibitisho. Habari za kusema hili ni kweli kwa sababu limeandikwa kwenye Quran tu, au Biblia tu, au kitabu chekundu cha Mao Tze Dung tu, si uthibitisho,ni hagiography. Uthibitisho inabidi ujisimamishe wenyewe bila kutegemea kiki ya msahafu.

4. Usiotoka katika misingi potofu. Misingi ya uthibitisho wako ikionekana ni potofu, uthibitisho wako nao ni potofu. Kwa mfano, ukitaka kuthibitisha Mungu ambaye dhana ya kuwepo kwake ina contradiction, kabla hujaiondoa hiyo contradiction katikadhana ya kuwepo kwake,unakuwa huelewi kuthibitisha ni nini.

5. Lete uthibitisho unaoweza kutoa mwanya wa kupingika. Ukileta habari ambazo hazina mwanya wa kupingika kwa data, kwa mfano, unasema uthibitisho wako kuwa Mungu yupo ni uwepo wa roho, au pepo, vitu ambavyo navyo haviwezi kuthibitishwa kwa data, hapo hujathibitisha kitu, umeongeza utata juu ya utata.
 
First things first, let us establish definitions, so that when you ask for red, when I give you my red, my red is actually your red.

I don't want you to ask for red, while what you call red is my blue, and I give you my red, which is your blue, and you refuse by saying "this is not red, this is blue", while I cry foul "but it is red,it is my red!".

What constitutes a proof? How do you know this is a proof, and this is not a proof?.

What is the primary, central and irrefutable characteristic of a proof?

I am asking this question, so that, when I am giving you my proof, I should adhere to this primary characteristic, if at all it is acceptable to me as well, so that what I call a proof, will also be acceptable as a proof to you.

I don't want to prove to you that a triangle has 180 degrees, while you do not accept the primary axioms of Euclidean geometry.

Do you catch my drift?
Okay I catch yo drift, can u please proceed to the actual proof that u have!
 
Lete uthibitisho.

1. Unaopimika. Ukileta habari zisizopimika, ama kimaumbile, amakimantiki, umeleta porojo, si uthibitisho.

2. Usioweza kupingika kimantiki. Ukileta habari zinazoweza kupingika kimantiki, umejaribu kutoa uthibitisho, lakini uthibitisho wako umeshindwa kusimama.

3. Ambao unatokakwenye vyanzo visivyo madoa. Ukileta habari za kutoka kwenye vyanzo vyenye madoa, habari hizo si uthibitisho. Habari za kusema hili ni kweli kwa sababu limeandikwa kwenye Quran tu, au Biblia tu, au kitabu chekundu cha Mao Tze Dung tu, si uthibitisho,ni hagiography.

4. Usiotoka katika misingi potofu. Misingi ya uthibitisho wako ikionekana ni potofu, uthibitisho wako nao ni potofu. Kwa mfano, ukitaka kuthibitisha Mungu ambaye dhana ya kuwepo kwake ina contradiction, kabla hujaiondoa hiyo contradiction katikadhana ya kuwepo kwake,unakuwa huelewi kuthibitisha ni nini.

5. Lete uthibitisho unaoweza kutoa mwanya wa kupingika. Ukileta habari ambazo hazina mwanya wa kupingika kwa data, kwa mfano, unasema uthibitisho wako kuwa Mungu yupo ni uwepo wa roho, au pepo, vitu ambavyo navyo haviwezi kuthibitishwa kwa data, hapo hujathibitisha kitu, umeongeza utata juu ya utata.

Labda tuuu nikujibu kwa ufupi mana umeweka vipengele ambavyo nikivitizama naona bado unazunguka katika suala moja tu.

Nikitoa aya hii...بسم الله الرحمن الرحيم الحمد لله الذي خلق السماوات والأرض وجعل الظلمات والنور ثم الذين كفروا بربهم يعدلون

[ AL - AN-A'AM - 1 ]
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi, na akafanya giza na mwangaza. Tena baada ya haya walio kufuru wanawafanya wengine sawa na Mola wao Mlezi.


Nikasema Mola muumba mbigu aridhi yupo kwa mujibu wa kitabu cha imani yangu ili tujue hyo dhana ya contradiction basi inatakikana utoe andiko katika kitabu hicho hicho ambalo linspingana na andiko hili.

Mfano wa contradiction kama ambavyo nimekuelewa mwenyewe ni kuwa useme mimi kiranga naishi marekani alafu mara nyingine useme mimi naishi tanzania.

Hiyo itakuwa ni mgongano ambao watu wanaweza kuhoji huyu kiranga vipi aishi huku na huku hasomeki.

Ila wewe ukasema unaishi marekani alafu mimi nikasema wewe unaishi tanzania basi bila shaka hii haitakuwa mgongano kwa kuwa habari tunazichukua kutoka kwako mwenyewe.

Ili uwe mgongano lazima viwepovitu tofauti katika chanzo kimoja.

Unapotaka kUKleta hoja ya contradiction sijui nini lazima iwe pana vitu ambavyo vinapinganna kutoka katika jambo moja hilo hilo.


Aya niliyotoa inasema Mola kaumba mbingu aridhi,sasa wewe ili tujue kama kuna mgongano utoe andiko kwenye kitabu hicho hicho kinachokanusha andiko hili hapo juu.

Hilo ni andiko nimetoa kupima tu upambanuzi wako,jambo la ajabu zaidi ni kuwa wewe unavitabu vinakuongoza juu ya imani yako hiyo na mimi nina vitabu vinaniongoza juu ya imani yangu hii,unafikiri hayo masharti uliyoweka umeyatoa kichwani ama katika kitabu?

Kama ni kichwani vipi na mimi niweke yangu ambayo yanapingana na yako?

Mfano nikasema Mola wala hafikiriki na akili ya binadamu,hivyo ukitaka tujadili kuhusu hoja hii basi lazima wewe ukubali kwamba mola hafikiriki kwa akili ya binadamu kama anavofikirika mtu labda magufuli nk vipi utakubali?
 
Okay I catch yo drift, can u please proceed to the actual proof that u have!
Evidently, you do not catch my drift.

Wabongo wengi tunapenda kukubali tu hata vitu tusivyoelewa.

Na kujadiliana na mtu anayekubali kitu ambacho hajaelewa, kama kakielewa, ni kazi kubwa sana.

Hujanielewa nilivyoandika.

Nakuuliza, umenielewa?

Unajibu umenielewa, unanitaka niendelee, wakati ungekuwa umenielewa, ungejua kwamba hutakiwi unitake niendelee.

Damn, this is a book of calumny!
 
Labda tuuu nikujibu kwa ufupi mana umeweka vipengele ambavyo nikivitizama naona bado unazunguka katika suala moja tu.

Nikitoa aya hii...بسم الله الرحمن الرحيم الحمد لله الذي خلق السماوات والأرض وجعل الظلمات والنور ثم الذين كفروا بربهم يعدلون

[ AL - AN-A'AM - 1 ]
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi, na akafanya giza na mwangaza. Tena baada ya haya walio kufuru wanawafanya wengine sawa na Mola wao Mlezi.


Nikasema Mola muumba mbigu aridhi yupo kwa mujibu wa kitabu cha imani yangu ili tujue hyo dhana ya contradiction basi inatakikana utoe andiko katika kitabu hicho hicho ambalo linspingana na andiko hili.

Mfano wa contradiction kama ambavyo nimekuelewa mwenyewe ni kuwa useme mimi kiranga naishi marekani alafu mara nyingine useme mimi naishi tanzania.

Hiyo itakuwa ni mgongano ambao watu wanaweza kuhoji huyu kiranga vipi aishi huku na huku hasomeki.

Ila wewe ukasema unaishi marekani alafu mimi nikasema wewe unaishi tanzania basi bila shaka hii haitakuwa mgongano kwa kuwa habari tunazichukua kutoka kwako mwenyewe.

Ili uwe mgongano lazima viwepovitu tofauti katika chanzo kimoja.

Unapotaka kUKleta hoja ya contradiction sijui nini lazima iwe pana vitu ambavyo vinapinganna kutoka katika jambo moja hilo hilo.


Aya niliyotoa inasema Mola kaumba mbingu aridhi,sasa wewe ili tujue kama kuna mgongano utoe andiko kwenye kitabu hicho hicho kinachokanusha andiko hili hapo juu.

Hilo ni andiko nimetoa kupima tu upambanuzi wako,jambo la ajabu zaidi ni kuwa wewe unavitabu vinakuongoza juu ya imani yako hiyo na mimi nina vitabu vinaniongoza juu ya imani yangu hii,unafikiri hayo masharti uliyoweka umeyatoa kichwani ama katika kitabu?

Kama ni kichwani vipi na mimi niweke yangu ambayo yanapingana na yako?

Mfano nikasema Mola wala hafikiriki na akili ya binadamu,hivyo ukitaka tujadili kuhusu hoja hii basi lazima wewe ukubali kwamba mola hafikiriki kwa akili ya binadamu kama anavofikirika mtu labda magufuli nk vipi utakubali?
Kusema mola kaumba mbingu na ardhi hakuthibitishi kwamba mola kaumba mbingu na ardhi.

Kama vile mimi kusema nilimlala mama yako ukazaliwa wewe hakuthibitishi kwamba mimi nilimlala mama yako ukazaliwa wewe.

Unaelewa hilo?
 
Kusema mola kaumba mbingu na ardhi hakuthibitishi kwamba mola kaumba mbingu na ardhi.

Kama vile mimi kusema nilimlala mama yako ukazaliwa wewe hakuthibitishi kwamba mimi nilimlala mama yako ukazaliwa wewe.

Unaelewa hilo?
Hoja yako ni dhaifu sana Chief
Unachotaka ww,ni umuone Mungu akijenga hizo mbingu na ardhi

kwa mfano mdogo tu wa kibinaadam
ni sawa na mtt kuwauliza wazazi wake,mlianzaje mpaka mkanizaa mimi?!!!
akataka kuoneshwa kuanzia mwanzo mpaka anapozaliwa,aone kwa macho yake,ili athibitishe kuwa kama ni kweli!!!


Kupinga kwako na watu mfano wako
Hakumaanishi ukweli utafutika na kuja ukweli mwengine
Kiuhalisia,Ukweli huwa ni mmoja tu,na wala haiwezekani,ukweli ikawa miwili
 
Hoja yako ni dhaifu sana Chief
Unachotaka ww,ni umuone Mungu akijenga hizo mbingu na ardhi

kwa mfano mdogo tu wa kibinaadam
ni sawa na mtt kuwauliza wazazi wake,mlianzaje mpaka mkanizaa mimi?!!!
akataka kuoneshwa kuanzia mwanzo mpaka anapozaliwa,aone kwa macho yake,ili athibitishe kuwa kama ni kweli!!!


Kupinga kwako na watu mfano wako
Hakumaanishi ukweli utafutika na kuja ukweli mwengine
Kiuhalisia,Ukweli huwa ni mmoja tu,na wala haiwezekani,ukweli ikawa miwili
Wazazi angalau wanaonekana.

Mungu wako haonekani, hapimiki.

Hata ukisema utunie akili tupu kumfikiria, analeta contradiction inayoonesha hawezi kuwepo.

Tutajuaje yupo kweli na si story tu?

Unaweza kuthibitisha yupo?
 
Si kila ukionacho kwa macho,ndio uhakika unapatikana

zama za wana Falsafa,walikuwa wanatumia milango ya hisia kuthibitisha mambo,akili wakaiweka pembeni
kisha baadae akili waka ingiza katika duara hilo
Ww wa leo,hata akili yako,hutaki kuitumia
Labda nikuulize swali Chief

Mpaka sasa,Sisi wana adamu,tumegundua kila kitu katika uliwengu huu?!
 
Si kila ukionacho kwa macho,ndio uhakika unapatikana

Sijalzimisha unioneshe Mungu kwa macho. Naweza kuangalia concert la Bob Marley kwa macho leo, wakati Bob Marley alifariki miaka mingi.

Hujaelewakwamba silazimishi Mungu aonekane kwa macho.

Ndiyo maana nikaandika "Hata ukisema utunie akili tupu kumfikiria, analeta contradiction inayoonesha hawezi kuwepo."

Maana yake, hata ukiondoa kutakakuoneshwa kwa macho. Mungu wako dhana ya kuwepokwake tu inajipinga yenyewe,hivyo hawezi kuwepo kiuhalisia nje ya fikra tu.

zama za wana Falsafa,walikuwa wanatumia milango ya hisia kuthibitisha mambo,akili wakaiweka pembeni
kisha baadae akili waka ingiza katika duara hilo
Ww wa leo,hata akili yako,hutaki kuitumia

Wewe ambaye hujaelewa nilipoandika "Hata ukisema utunie akili tupu kumfikiria, analeta contradiction inayoonesha hawezi kuwepo." ndiyo si tu huwezi kutumia akili yako, hujui hata kusoma kwa ufahamu!

Labda nikuulize swali Chief

Mpaka sasa,Sisi wana adamu,tumegundua kila kitu katika uliwengu huu?!

Kila kitu ni nini? Kama tumegundua au hatujagundua hilo linathibitisha nini?

Nikikwambia hatujagundua kila kitu, kwa sababu Mungu hayupo, angekuwepo tungegundua, utaelewa?

Mbona unakwepa kujibu swali la kuthibitisha Mungu yupo?

Thibitisha Mungu yupo.
 
Kusema mola kaumba mbingu na ardhi hakuthibitishi kwamba mola kaumba mbingu na ardhi.

Kama vile mimi kusema nilimlala mama yako ukazaliwa wewe hakuthibitishi kwamba mimi nilimlala mama yako ukazaliwa wewe.

Unaelewa hilo?

Ni kweli kabisa kabisa kwamba kusema mola kaumba mbingu na ardhi hakuthibitishi kama kaumba kama ilivyo kusema kiranga anaishi marekani hakuthibitishi kama anaishi marekani.

Sasa uthibitishi wa kuamini kiranga anaishi marekani iwe kweli yupo huko anaishi sio kwa kusema tu lazima tuone kama kweli anaishi marekani

Kwa maana kuna kiranga na anapoishi lazima vyotee viwepo.

Na kwa hoja ya mungu kuna mungu na mbingu na ardhi,ili tuthibitishe mungu kaumba kweli lazima tuangalie jeee hivyo anavodai kaviumba vipo au havipo?

Ikiwa vipo tunathibitisha kweli kaumba yeye kwa sababu madai yametimia.ama ukisema mbona hatumuoni mungu kama tunavomuona kiranga hiyo hoja bado haijawa na nguvu kwa sababu vingapi tunaviona na hatumjui mtendaji wake kwa macho?

Mfano tu tunaamini kwamba kila unaemuona ana baba na mama au ndiyo mzazi mwenyewe.hii ni imani ambayo hakuna awezae kuipinga kwamba kila unaemuona machoni pako basi ana baba yake au mama yake.

Kwa nini tunaamini hivi na hatujawaona hao baba zao?

Kuhusu kumalala mama nadhani hapo pana vitu viwili au vitatu

Kuna mama,kuna kiranga alafu kuna mimi

wewe upo

Mama yupo

Na mimi nipo pia

Sasa kusema kwako hivyo tunakanusha hicho kitendo cha wewe kulala na mama yangu
Bali hakikanushi uwepo wako bwana kiranga

Wala hakikanushi uwepo wa mama yangu

Na wala hakikanushi uwepo wa mimi.
Bali tunakanusha kitendo cha wewe kumuingilia mama yangu tu.

Ila mama yangu aliingiliwa na mtu mwingine nikapatikana mimi,kwa hivyo bado mfano ulotoa unakanusha kitendo na wala haukanushi na hao watendaji wenyewe uwepo wao.

Sasa ikiwa mifano unayoitoa inakanusha kitendo tu na wala haikanushi kuwepo kwa wanaodhaniwa ni watendaji,vipi useme Mungu hayupo na ilhali anayoyadai tunayaona tokea enzi?

Utoage mifano ambayo unajua ukiichambua itatupa uhusiano na uhalisia.
 
Ni kweli kabisa kabisa kwamba kusema mola kaumba mbingu na ardhi hakuthibitishi kama kaumba kama ilivyo kusema kiranga anaishi marekani hakuthibitishi kama anaishi marekani..

Kwa hiyo acha mahubiri ya kusema tu Mungu yupo, thibitisha.

Sasa uthibitishi wa kuamini kiranga anaishi marekani iwe kweli yupo huko anaishi sio kwa kusema tu lazima tuone kama kweli anaishi marekani

Kwa maana kuna kiranga na anapoishi lazima vyotee viwepo.

Na kwa hoja ya mungu kuna mungu na mbingu na ardhi,ili tuthibitishe mungu kaumba kweli lazima tuangalie jeee hivyo anavodai kaviumba vipo au havipo?.

Hata kama unavyodai kaumba vipo, hilo halithibitishi kaviumba yeye.

Ikiwa vipo tunathibitisha kweli kaumba yeye kwa sababu madai yametimia..

Hapana, hujui mantiki.

Nikisema Magufuli kaenda New York kwenye mkutano wa UN, natakiwa kuthibitisha Magufuli kaendakwenye New York na kashirikikwenye mkutano wa UN.

Kuthibitisha tu mkutano wa UN umefanyika hakuthibitishi Magufuli kaenda kwenye mkutano.

Wewe hapo unachotaka kufanya ni kusema Magufuli kaenda kwenye mkutano wa UN, ukiulizwa uthibitishe, unasema mkutano wa UN upo.

Sawa upo, lakini mkutano kuwepohakuthibitishi Magufuli kaenda, inawezekana kamtuma Dr. Mahiga!

Mbingu na ardhi kuwapo hakuthibitishi Mungu yupo, kwa sababu inawezekana vimeweza kuwepo kwa njia nyingine kabisa bila kumuhitaji Mungu. Thibitisha Mungu kaumba.

ama ukisema mbona hatumuoni mungu kama tunavomuona kiranga hiyo hoja bado haijawa na nguvu kwa sababu vingapi tunaviona na hatumjui mtendaji wake kwa macho?.

Hakuna niliposema hatumuoni Mungu. You are creating a fucking weak argument and you are answering it yourself.

Why are you asking yourself these weak ass aquestions, and answering them, while you are not asking my hard questions?

Mfano tu tunaamini kwamba kila unaemuona ana baba na mama au ndiyo mzazi mwenyewe.hii ni imani ambayo hakuna awezae kuipinga kwamba kila unaemuona machoni pako basi ana baba yake au mama yake.

Hapa ni upumbavu mtupu, unajibu hoja ambayo mimi sijaihoji. Uanjitekenya mwenyewe halafu unacheka mwenyewe wanasema.

Rubbish. Huwezi kufuatilia hoja zangu, unajitungia zako mwenyewe unajiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe.

Kwa nini tunaamini hivi na hatujawaona hao baba zao?

Kwa nini unauliza ujinga huu? Wewe ni punguani?

Kuhusu kumalala mama nadhani hapo pana vitu viwili au vitatu

Kuna mama,kuna kiranga alafu kuna mimi

wewe upo

Mama yupo

Na mimi nipo pia

Sasa kusema kwako hivyo tunakanusha hicho kitendo cha wewe kulala na mama yangu
Bali hakikanushi uwepo wako bwana kiranga

Wewe hata unachoandika mwenyewe unakielewa?

Wala hakikanushi uwepo wa mama yangu

Nani kakanusha uwepo wa mama yako?

Na wala hakikanushi uwepo wa mimi.
Bali tunakanusha kitendo cha wewe kumuingilia mama yangu tu.

Unakanushaje?

Ila mama yangu aliingiliwa na mtu mwingine nikapatikana mimi,kwa hivyo bado mfano ulotoa unakanusha kitendo na wala haukanushi na hao watendaji wenyewe uwepo wao.

Sasa ikiwa mifano unayoitoa inakanusha kitendo tu na wala haikanushi kuwepo kwa wanaodhaniwa ni watendaji,vipi useme Mungu hayupo na ilhali anayoyadai tunayaona tokea enzi?

Utoage mifano ambayo unajua ukiichambua itatupa uhusiano na uhalisia.

Hujathibitisha Mungu yupo. Unawayawaya tu.[/QUOTE][/QUOTE]
 
Kwa hiyo acha mahubiri ya kusema tu Mungu yupo, thibitisha.



Hata kama unavyodai kaumba vipo, hilo halithibitishi kaviumba yeye.



Hapana, hujui mantiki.

Nikisema Magufuli kaenda New York kwenye mkutano wa UN, natakiwa kuthibitisha Magufuli kaendakwenye New York na kashirikikwenye mkutano wa UN.

Kuthibitisha tu mkutano wa UN umefanyika hakuthibitishi Magufuli kaenda kwenye mkutano.

Wewe hapo unachotaka kufanya ni kusema Magufuli kaenda kwenye mkutano wa UN, ukiulizwa uthibitishe, unasema mkutano wa UN upo.

Sawa upo, lakini mkutano kuwepohakuthibitishi Magufuli kaenda, inawezekana kamtuma Dr. Mahiga!

Mbingu na ardhi kuwapo hakuthibitishi Mungu yupo, kwa sababu inawezekana vimeweza kuwepo kwa njia nyingine kabisa bila kumuhitaji Mungu. Thibitisha Mungu kaumba.



Hakuna niliposema hatumuoni Mungu. You are creating a fucking weak argument and you are answering it yourself.

Why are you asking yourself these weak ass aquestions, and answering them, while you are not asking my hard questions?



Hapa ni upumbavu mtupu, unajibu hoja ambayo mimi sijaihoji. Uanjitekenya mwenyewe halafu unacheka mwenyewe wanasema.

Rubbish. Huwezi kufuatilia hoja zangu, unajitungia zako mwenyewe unajiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe.



Kwa nini unauliza ujinga huu? Wewe ni punguani?



Wewe hata unachoandika mwenyewe unakielewa?



Nani kakanusha uwepo wa mama yako?



Unakanushaje?



Hujathibitisha Mungu yupo. Unawayawaya tu.
[/QUOTE][/QUOTE]
Hivi kiranga unaamin(unajua /unafahamu whatever) katika spiritual world (simaanishi Mungu and bla blah)

Vitu kama meditation and all kinda metaphysics

If yes how you know about them
Kwa hiyo acha mahubiri ya kusema tu Mungu yupo, thibitisha.



Hata kama unavyodai kaumba vipo, hilo halithibitishi kaviumba yeye.



Hapana, hujui mantiki.

Nikisema Magufuli kaenda New York kwenye mkutano wa UN, natakiwa kuthibitisha Magufuli kaendakwenye New York na kashirikikwenye mkutano wa UN.

Kuthibitisha tu mkutano wa UN umefanyika hakuthibitishi Magufuli kaenda kwenye mkutano.

Wewe hapo unachotaka kufanya ni kusema Magufuli kaenda kwenye mkutano wa UN, ukiulizwa uthibitishe, unasema mkutano wa UN upo.

Sawa upo, lakini mkutano kuwepohakuthibitishi Magufuli kaenda, inawezekana kamtuma Dr. Mahiga!

Mbingu na ardhi kuwapo hakuthibitishi Mungu yupo, kwa sababu inawezekana vimeweza kuwepo kwa njia nyingine kabisa bila kumuhitaji Mungu. Thibitisha Mungu kaumba.



Hakuna niliposema hatumuoni Mungu. You are creating a fucking weak argument and you are answering it yourself.

Why are you asking yourself these weak ass aquestions, and answering them, while you are not asking my hard questions?



Hapa ni upumbavu mtupu, unajibu hoja ambayo mimi sijaihoji. Uanjitekenya mwenyewe halafu unacheka mwenyewe wanasema.

Rubbish. Huwezi kufuatilia hoja zangu, unajitungia zako mwenyewe unajiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe.



Kwa nini unauliza ujinga huu? Wewe ni punguani?



Wewe hata unachoandika mwenyewe unakielewa?



Nani kakanusha uwepo wa mama yako?



Unakanushaje?



Hujathibitisha Mungu yupo. Unawayawaya tu.
[/QUOTE][/QUOTE]
 
Kwa hiyo acha mahubiri ya kusema tu Mungu yupo, thibitisha.



Hata kama unavyodai kaumba vipo, hilo halithibitishi kaviumba yeye.



Hapana, hujui mantiki.

Nikisema Magufuli kaenda New York kwenye mkutano wa UN, natakiwa kuthibitisha Magufuli kaendakwenye New York na kashirikikwenye mkutano wa UN.

Kuthibitisha tu mkutano wa UN umefanyika hakuthibitishi Magufuli kaenda kwenye mkutano.

Wewe hapo unachotaka kufanya ni kusema Magufuli kaenda kwenye mkutano wa UN, ukiulizwa uthibitishe, unasema mkutano wa UN upo.

Sawa upo, lakini mkutano kuwepohakuthibitishi Magufuli kaenda, inawezekana kamtuma Dr. Mahiga!

Mbingu na ardhi kuwapo hakuthibitishi Mungu yupo, kwa sababu inawezekana vimeweza kuwepo kwa njia nyingine kabisa bila kumuhitaji Mungu. Thibitisha Mungu kaumba.



Hakuna niliposema hatumuoni Mungu. You are creating a fucking weak argument and you are answering it yourself.

Why are you asking yourself these weak ass aquestions, and answering them, while you are not asking my hard questions?



Hapa ni upumbavu mtupu, unajibu hoja ambayo mimi sijaihoji. Uanjitekenya mwenyewe halafu unacheka mwenyewe wanasema.

Rubbish. Huwezi kufuatilia hoja zangu, unajitungia zako mwenyewe unajiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe.



Kwa nini unauliza ujinga huu? Wewe ni punguani?



Wewe hata unachoandika mwenyewe unakielewa?



Nani kakanusha uwepo wa mama yako?



Unakanushaje?



Hujathibitisha Mungu yupo. Unawayawaya tu.
[/QUOTE][/QUOTE]
Hivi kiranga unaamin katika spiritual world (simaanishi Mungu and bla blah)

Vitu kama meditation and all
 
Hivi kiranga unaamin(unajua /unafahamu whatever) katika spiritual world (simaanishi Mungu and bla blah)

Vitu kama meditation and all kinda metaphysics

If yes how you know about them
Define "spiritual".

Nakubali spiritual world, my spirit of choice is Scotch Whisky, highland single malt double doubles, or Johnny Walker Red - I was downing some yesterday- on the regular, Black occasionally.

Meditation nimefanya kuanzia Buddhist Temple Dar es salaam mpaka Dharamsala.

Mshana Jr Anajua habari za Pannasekara.
 
Umeyasema mengi ya kejeli na kuingiza kizungu katika baadhi ya sehemu kitu ambacho huwa nakuambia sijui kizungu.ila sio kesi sana mana wacha nihoji point ya muhimu.

Sasa nataka uniambie kwamba ikiwa hutaki kuonyeshwa(kuthibitishiwa) mungu kwa macho ama aliumba hivyo vitu kwa macho yako.

Niambie wewe utathibitisha vipi kwamba magufuli ndiye kaenda kwenye mkutano wa UN na sio mwingine?

Njia ambayo utaitoa kuthibitisha basi hiyo hiyo nadhani tutakuja kuihoji juu ya uumbaji wa mungu kisha tuone hapa unakataa nini unakubali nini.
Kwa hiyo acha mahubiri ya kusema tu Mungu yupo, thibitisha.



Hata kama unavyodai kaumba vipo, hilo halithibitishi kaviumba yeye.



Hapana, hujui mantiki.

Nikisema Magufuli kaenda New York kwenye mkutano wa UN, natakiwa kuthibitisha Magufuli kaendakwenye New York na kashirikikwenye mkutano wa UN.

Kuthibitisha tu mkutano wa UN umefanyika hakuthibitishi Magufuli kaenda kwenye mkutano.

Wewe hapo unachotaka kufanya ni kusema Magufuli kaenda kwenye mkutano wa UN, ukiulizwa uthibitishe, unasema mkutano wa UN upo.

Sawa upo, lakini mkutano kuwepohakuthibitishi Magufuli kaenda, inawezekana kamtuma Dr. Mahiga!

Mbingu na ardhi kuwapo hakuthibitishi Mungu yupo, kwa sababu inawezekana vimeweza kuwepo kwa njia nyingine kabisa bila kumuhitaji Mungu. Thibitisha Mungu kaumba.



Hakuna niliposema hatumuoni Mungu. You are creating a fucking weak argument and you are answering it yourself.

Why are you asking yourself these weak ass aquestions, and answering them, while you are not asking my hard questions?



Hapa ni upumbavu mtupu, unajibu hoja ambayo mimi sijaihoji. Uanjitekenya mwenyewe halafu unacheka mwenyewe wanasema.

Rubbish. Huwezi kufuatilia hoja zangu, unajitungia zako mwenyewe unajiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe.



Kwa nini unauliza ujinga huu? Wewe ni punguani?



Wewe hata unachoandika mwenyewe unakielewa?



Nani kakanusha uwepo wa mama yako?



Unakanushaje?



Hujathibitisha Mungu yupo. Unawayawaya tu.
[/QUOTE][/QUOTE]
 
Back
Top Bottom