Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Mkuu, mengine siyajui but hili la binadamu wa kwanza kuishi mbinguni wewe unalitoa wapi!? Adamu aliumbwa hapa hapa duniani, sio mbinguni, ni pale mashariki ya kati na hiyo bustani ilikua pale pale mashariki ya kati and most probably ni nchini Iraq ya leo, soma vizuri Biblia, utakuta hiyo bustani ya Eden inaoneksana Mto Frati ni miongoni mwa mito ilioizunguka hiyo bustani, mto huo upo hadi leo, angalia kidogo atlas/ramani ya mashariki ya kati pale, mto huo upo Iraq ya leo. Sema baada ya makosa ya Adamu na Hawa ndipo walifukuzwa kwenye hiyo bustani na kuishi nje ya bustani cause waliambiwa, "kwa jasho mtakula (Adam, may be wanaume wote) na mtazaa watoto wenu kwa uchungu (Hawa and may be wanawake wote)
Asante mkuu kwa maelezo yako....ktk dini ya kiislaam inaeleza Adam na Hawa walikuwa Mbinguni kumbe sasa nimekuja kugundua dini hizi mbili zinatofautiana hapa....sasa mkuu hebu nijulishe hili kwa maana hiyo baada ya Adam na Hawa kutolewa Eden Mungu aliondoa mazingira mazuri ya Eden kwamba aliifuta historia ya Eden na kubaki ktk mazingira ya kawaida
 
Asante mkuu kwa maelezo yako....ktk dini ya kiislaam inaeleza Adam na Hawa walikuwa Mbinguni kumbe sasa nimekuja kugundua dini hizi mbili zinatofautiana hapa....sasa mkuu hebu nijulishe hili kwa maana hiyo baada ya Adam na Hawa kutolewa Eden Mungu aliondoa mazingira mazuri ya Eden kwamba aliifuta historia ya Eden na kubaki ktk mazingira ya kawaida
Sina uzoefu mkubwa na kitabu cha Kiislamu, lakini kuhusu Biblia, ninaisoma sana kwasababu imeandikwa kwa lugha inayo julikana na wote. Baada ya wao kufukuzwa bustanini, BIblia inasema Mungu aliiwekea ulinzi ili wao wasirudi tena hapa. Remember Adamu aliumbwa baada ya kuwepo hiyo bustani kwanza na his primary purposes ya kuwepo duniani (hapo bustanini) ilikua kuitunza hiyo bustani, kwa maneno mengine alitakiwa kuifanya iendelee kupendeza. So baada ya yeye kufukuzwa hapo na Mungu kuweka ulinzi wa malaika ili kumzuia Adamu kurudi hapo then nafikiri (kwa mawazo yangu ) bustani ilikosa mtunzaji and hence itakua ilianza kua na mwonekano ambao sio mzuri, huenda kwasasa binadamu wameisha fanya yao hapo na hasa baada ya Adamu kua amekufa miaka ya baadae.
 
Sina uzoefu mkubwa na kitabu cha Kiislamu, lakini kuhusu Biblia, ninaisoma sana kwasababu imeandikwa kwa lugha inayo julikana na wote. Baada ya wao kufukuzwa bustanini, BIblia inasema Mungu aliiwekea ulinzi ili wao wasirudi tena hapa. Remember Adamu aliumbwa baada ya kuwepo hiyo bustani kwanza na his primary purposes ya kuwepo duniani (hapo bustanini) ilikua kuitunza hiyo bustani, kwa maneno mengine alitakiwa kuifanya iendelee kupendeza. So baada ya yeye kufukuzwa hapo na Mungu kuweka ulinzi wa malaika ili kumzuia Adamu kurudi hapo then nafikiri (kwa mawazo yangu ) bustani ilikosa mtunzaji and hence itakua ilianza kua na mwonekano ambao sio mzuri, huenda kwasasa binadamu wameisha fanya yao hapo na hasa baada ya Adamu kua amekufa miaka ya baadae.
Kwa hiyo Mungu aliweka ulinzi wa muda tu na sio endelevu alitakiwa kuifanya iwe kumbukumbu ili sisi tusiwe na mashaka juu ya uwepo wake....
 
Habarini wana Intelligence ....
...hili jambo linanichanganya sana juu ya uwepo wetu Duniani....
Nikiangalia vitabu vya Dini zote vinatuambia kwamba, lengo la kuumbwa kwetu Mungu alitaka kiumbe kitakachoweza kuitawala Dunia na vilivyomo ndani yake.
Sasa hapohapo vitabu vya Dini vinatuambia Binaadamu wa kwanza kuumbwa aliwekwa Heden kwa tafsiri rahisi ni sehemu iliyokuwa tulivu yenye Miti, matunda na Bustani za kupendeza zilizopo hukohuko Mbinguni then Adam akaumbiwa mwanamke ili amfariji na wazaane....
.....vitabu vya Dini vikaendelea kutupa historia yetu sisi wanaadamu kwamba baba yetu Adam na Mama yetu Hawa walikosea masharti waliyowekewa kuishi humo kwa kurubuniwa na Malaika mmoja mkosefu aliyekataa kumsujudia Adam basi Adam na Hawa wakatupwa Duniani.
.....sasa maswali yapo hapa...
Kama lengo la Mungu kumuumba mwanaadam kuja kuitawala Dunia kwanini alimweka kwanza Mbinguni na asinge mleta moja kwa moja Duniani mpaka pale alipokosea?...
Inaelezwa kwamba Malaika Ibilisi ndie alie warubuni Adam na Hawa Je ulikuwa ni mpango wa Mungu awajaribu na kupata sababu ya kutuleta Duniani?
Je kwanini Mungu aliona hii ndio njia bora na si kututeremsha kwa Amani na akatuchagulia njia ya kumkosea?
Je kuna mapungufu katika hili juu ya uwepo wa binaadam Duniani. Nawaombeni wana Jamvi tujadilini hili
NAWASILISHA

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
kuletwa kwako hapa duniani kusudio lake ni kumuabudu mungu!hilo la msingi!nyengine sijui kuzaana na mengineo ni extra ambayo mungu mwenyewe anajua!sasa kuhusu kwa nini ilikua mpaka watende dhambi nadhani wakati ulikua haujafika ya wao kuletwa hapa duniani ila ikatokea wakatenda dhambi basi hapo hapo ndo ikawa sababu ya wao kuletwa duniani kabla hata ya wakati amabayo mungu mwenyewe alitaka na kwa wakati sahihi aliopanga mwenyewe subhaana!kwahiyo dhambi yao imewakosesha neema zengine zaidi ambazo mola angewajaalia kabla ya kusudio lao la kuletwa hapa duniani!tusiwe tunahoji mambo mengine amabayo yapo nje ya upeo wetu ndugu zangu!
 
kuletwa kwako hapa duniani kusudio lake ni kumuabudu mungu!hilo la msingi!nyengine sijui kuzaana na mengineo ni extra ambayo mungu mwenyewe anajua!sasa kuhusu kwa nini ilikua mpaka watende dhambi nadhani wakati ulikua haujafika ya wao kuletwa hapa duniani ila ikatokea wakatenda dhambi basi hapo hapo ndo ikawa sababu ya wao kuletwa duniani kabla hata ya wakati amabayo mungu mwenyewe alitaka na kwa wakati sahihi aliopanga mwenyewe subhaana!kwahiyo dhambi yao imewakosesha neema zengine zaidi ambazo mola angewajaalia kabla ya kusudio lao la kuletwa hapa duniani!tusiwe tunahoji mambo mengine amabayo yapo nje ya upeo wetu ndugu zangu!
Noted... Inafikirisha hii
 
Hapo ndipo mungu wenu anavyojichanganya mwenywe daima kosa hilo tayari, kwanini alianza kuumba moto kabla ya kuumba mtu ?

Alikuwa anao uhakika gani kama hao watu atakao waumba watakuwa waovu?
Anajichanganya au wajichanganya weyee?

Unataka umpangie aanze kuumba unachotaka wewe?kwa hvyo angeanza kuumba mtu kisha aumbe moto na pepo ingekuwaje sasa?

Alafu Nikuambia hakuumba moto peke yake bali aliumba pepo na moto kwanza kabla ya binadamu.
SASA VIPI TUULIZE KWAMBA ALIKUWA NA UHAKIKA GANI KAMA ANAOWAUMBWA WATAFANYA MEMA NA KUINGIA PEPONI?

Kwani kuna ubaya gani mtu anakununa gari baada ya kuwa tayari ashapata packing?

Aliumba pepo na moto kisha badae akaumbwa binadamu.ili akifanya mema aende peponi na akifanya maovu aende motoni sasa wewe kwa matakwa yako ulitaka aumbe mtu kwanza,ndo ingekuwaje sasa angeumba mtu kwanza?

Ukielewa kwamba tupo hapa kwa ajili ya kutahiniwa huwezi uliza maswali kama haya ambayo hata dogo hawezi uliza.
 
1. Mungu yupo lakini hakuna proof ila kwa kuwa kila kitu kina chanzo basi chanzo ndio mungu
2. Vitabu vinafanya kujaribu kukielezea chanzo(Mungu) lakini kwa sehemu kubwa havijafanikiwa, na Quran na Biblia wanaofundisha hutumia mbinu za vitisho na maonyo hali inayoondoa hali ya waumini kujadili kwa kina bila mipaka wakiogopa kukufuru
3. Hizi ni assumptions zangu baada ya kupata taarifa kiasi za vitabu vyote viwili
(i) Adam na Eva bila kujali walikosea au hawakukosea waliyoyaishi ndio maisha yaliyokuwepo(plenty of resources na simple technology) mwisho wakafa na wanadamu wakiwa wameongezeka
(ii) Ongezeko la wanadamu na vita ya rasilimali na kukua kwa technolojia, hii ilipelekea wanadamu kuishi kimapambano zaidi na mapambano yanabadilika kulingana na nyakati mfano vita,biashara e.t.c (lakini yote ni katika harakati za kutafuta maisha bora)
(iii) Maisha baada ya kifo na adhabu. Binafsi SIDHANI kama Mungu atatoa adhabu ya moto kwa sababu hakuna manufaa wala hasara kwa Mungu katika hilo. Kuhusu maisha baada ya maisha na maisha baada ya kifo.Yanaweza kuwepo au yasiwepo.
 
Moto uliumbwa na pepo iliumbwa.
Lengo la hivyo vyote ni wewe tu ikiwa utafata maamrisho basi utaenda kunakostahiki na ikiwa utaacha basi utaenda kunakostahiki.

Ukiujua maingi wa kuumbwa kwamba tupo katika mitihani huwezi ukahoji mambo kama haya ambayo ni katika maswali yaliyokosa adabu.

Sasa sijajua unaposema yote alipanga unakusudia nini???
Mfano wa watia hofu, kauli kama maswali yaliyokosa adabu, kwa kujiuliza huku ndio mtu anazidi kumfahamu Mungu. Naomba kuuliza swali la kukosa adabu. Je Mungu hajui kitakachotokea kwa binadamu mmoja mmoja mpaka atoe mtihani ambao utampa majibu ya nani aende peponi na nani achomwe moto?Ninavyoamini akili ya Mungu haina mipaka
 
1. Mungu yupo lakini hakuna proof ila kwa kuwa kila kitu kina chanzo basi chanzo ndio mungu
2. Vitabu vinafanya kujaribu kukielezea chanzo(Mungu) lakini kwa sehemu kubwa havijafanikiwa, na Quran na Biblia wanaofundisha hutumia mbinu za vitisho na maonyo hali inayoondoa hali ya waumini kujadili kwa kina bila mipaka wakiogopa kukufuru
3. Hizi ni assumptions zangu baada ya kupata taarifa kiasi za vitabu vyote viwili
(i) Adam na Eva bila kujali walikosea au hawakukosea waliyoyaishi ndio maisha yaliyokuwepo(plenty of resources na simple technology) mwisho wakafa na wanadamu wakiwa wameongezeka
(ii) Ongezeko la wanadamu na vita ya rasilimali na kukua kwa technolojia, hii ilipelekea wanadamu kuishi kimapambano zaidi na mapambano yanabadilika kulingana na nyakati mfano vita,biashara e.t.c (lakini yote ni katika harakati za kutafuta maisha bora)
(iii) Maisha baada ya kifo na adhabu. Binafsi SIDHANI kama Mungu atatoa adhabu ya moto kwa sababu hakuna manufaa wala hasara kwa Mungu katika hilo. Kuhusu maisha baada ya maisha na maisha baada ya kifo.Yanaweza kuwepo au yasiwepo.
Saafi nimekuelewa
 
Anajichanganya au wajichanganya weyee?

Unataka umpangie aanze kuumba unachotaka wewe?kwa hvyo angeanza kuumba mtu kisha aumbe moto na pepo ingekuwaje sasa?

Alafu Nikuambia hakuumba moto peke yake bali aliumba pepo na moto kwanza kabla ya binadamu.
SASA VIPI TUULIZE KWAMBA ALIKUWA NA UHAKIKA GANI KAMA ANAOWAUMBWA WATAFANYA MEMA NA KUINGIA PEPONI?

Kwani kuna ubaya gani mtu anakununa gari baada ya kuwa tayari ashapata packing?

Aliumba pepo na moto kisha badae akaumbwa binadamu.ili akifanya mema aende peponi na akifanya maovu aende motoni sasa wewe kwa matakwa yako ulitaka aumbe mtu kwanza,ndo ingekuwaje sasa QUOTE="Abuhafsa, post: 28409436, member: 480074"]Anajichanganya au wajichanganya weyee?

Unataka umpangie aanze kuumba unachotaka wewe?kwa hvyo angeanza kuumba mtu kisha aumbe moto na pepo ingekuwaje sasa?

Alafu Nikuambia hakuumba moto peke yake bali aliumba pepo na moto kwanza kabla ya binadamu.
SASA VIPI TUULIZE KWAMBA ALIKUWA NA UHAKIKA GANI KAMA ANAOWAUMBWA WATAFANYA MEMA NA KUINGIA PEPONI?

Kwani kuna ubaya gani mtu anakununa gari baada ya kuwa tayari ashapata packing?

Aliumba pepo na moto kisha badae akaumbwa binadamu.ili akifanya mema aende peponi na akifanya maovu aende motoni sasa wewe kwa matakwa yako ulitaka aumbe mtu kwanza,ndo ingekuwaje sasa angeumba mtu kwanza?

Ukielewa kwamba tupo hapa kwa ajili ya kutahiniwa huwezi uliza maswali kama haya ambayo hata dogo hawezi uliza.

Kabla sijaendelea ningependa kujua unamuongelea mungu gani kwanza

Je unamuongelea mungu wa warabu Allah au mungu wa waebrania Yehovah ili tuende sawa
 
Boonge la swali..... Kwa maana hiyo haya yote yaliyotokea ni mpango wa Mungu km mada inavyouliza

Tatizo mungu anajichanganya kwanini aliumba moto kabla ya kuumba mtu?

Jibu watakuambia kuwa aliumba mtu akampa akili ya kuchagua mema na mabaya

Swali jingine kama alijua kutakuwa na watu waovu kwanini asingeumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekanini?

Sasa utamlaumu vipi mtu kwa kutenda maovu wakati mungu mwenyewe ndio alioumba ulimwengu wenye dhambi?

Vita vinavyoendelea ktk dunia,dhuluma ktk jamii,na makosa yote lawama zote anabeba mungu, Kibaya zaidi hana msaada wowote kuwasaidia wanyonge embu angalia watoto wadogo wanakufa kwa njaa na vita yemen huko kwanini asiwasaidie hata chakula hana msaada mpaka waje UNICEF nndio watoe msaada kwa watoto

Vitoto vimezaliwa leo vinakutana na vita duniani, vinakutana na njaa kali,vinakufa kwa matetemeko ya ardhi na kipunga wanakufa wamekosa nini sasa hapo mtoto aliyezaliwa leo unampima nini ? ndio mtihani gani huo hadi kwa vichanga? Anajifunza nini kichanga?

kwanini alishindwa kuumba ulimwengu usiokuwa na maovu?
 
Mfano wa watia hofu, kauli kama maswali yaliyokosa adabu, kwa kujiuliza huku ndio mtu anazidi kumfahamu Mungu. Naomba kuuliza swali la kukosa adabu. Je Mungu hajui kitakachotokea kwa binadamu mmoja mmoja mpaka atoe mtihani ambao utampa majibu ya nani aende peponi na nani achomwe moto?Ninavyoamini akili ya Mungu haina mipaka
Yaan hv vtu n pasua kichwa.
 
Kwangu hao sio Allah ninaemuabudu na kumuitakidi ukubwa na ufalme wake ikiwa hayo majina wanamkusudia ambae anatofauti na sifa zaAllah

Hata iwe imetofautiana kwa sifa moja au mbili basi hao kwangu sio ninaemuitakidi.
Yehovah au adonai au yahweh au marduku kwako wewe hawa ni nani? Je si mungu hawa?
 
Habarini wana Intelligence ....
...hili jambo linanichanganya sana juu ya uwepo wetu Duniani....
Nikiangalia vitabu vya Dini zote vinatuambia kwamba, lengo la kuumbwa kwetu Mungu alitaka kiumbe kitakachoweza kuitawala Dunia na vilivyomo ndani yake.
Sasa hapohapo vitabu vya Dini vinatuambia Binaadamu wa kwanza kuumbwa aliwekwa Heden kwa tafsiri rahisi ni sehemu iliyokuwa tulivu yenye Miti, matunda na Bustani za kupendeza zilizopo hukohuko Mbinguni then Adam akaumbiwa mwanamke ili amfariji na wazaane....
.....vitabu vya Dini vikaendelea kutupa historia yetu sisi wanaadamu kwamba baba yetu Adam na Mama yetu Hawa walikosea masharti waliyowekewa kuishi humo kwa kurubuniwa na Malaika mmoja mkosefu aliyekataa kumsujudia Adam basi Adam na Hawa wakatupwa Duniani.
.....sasa maswali yapo hapa...
Kama lengo la Mungu kumuumba mwanaadam kuja kuitawala Dunia kwanini alimweka kwanza Mbinguni na asinge mleta moja kwa moja Duniani mpaka pale alipokosea?...
Inaelezwa kwamba Malaika Ibilisi ndie alie warubuni Adam na Hawa Je ulikuwa ni mpango wa Mungu awajaribu na kupata sababu ya kutuleta Duniani?
Je kwanini Mungu aliona hii ndio njia bora na si kututeremsha kwa Amani na akatuchagulia njia ya kumkosea?
Je kuna mapungufu katika hili juu ya uwepo wa binaadam Duniani. Nawaombeni wana Jamvi tujadilini hili
NAWASILISHA

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Edeni ilikuwepo hapa hapa duniani
 
Back
Top Bottom