Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Nimegundua kuwa unachanganya sana kati ya human au existing races na Ancestors...

Uwepo wa utofauti wa race tayari ninkigezo kikubwa cha kukuweka kwenye grup jingine la ancestor mkuu..

Kuwepo kwa Rhesu factor kwa kila baadhi ya races haikufanyi uamini kuwa unatoka kwenye the same ancestor..no no no no big noooooo..

NI hivi,kwanza unatakiwa ujue kwanza kwanini viumbe wana Rhesus protein katika RBC surface glycoprotein zao na kisha ufahamu juu ya matumizi( faunction) ya hizo protein kwenye surface RBC badae ujue uhumimi wa kutokuwepo kwa Rhesus protein( Rhesus negative) katika surface membrane..
ujue utofauti wa mnyama mwenye protein ile( Rh +) na ambaye hana( Rh -) ..
Nini utofauti wao katika kuishi...??

Je mwenye RHESU +ve inamanisha kaoriginate toka ancestor nyingine au laaaah..??

Ukishalijua hilo unatakiwa kujua kuwa mambo ya Uwepo wa Rhesus kwenye mwilli wa kiumbe wowote hasa mamals ni kitu muhimu kwa kiwango gani...

unapaswa pia ujiulize kuwa kama GOLLILA sijui monkey wana Rhesus antigen haimanishi kuwa Rhesus antigen comfiguration ya monkey ipo sawa na yako wewe.. hapana...big no..tena big noo..Rhesu antigen ya monkey ni tofauti kabsaa na Rhesus antigeni ya binadamu .fahamu hilo ndo mana huwezi ongezewa damu ya mnyama unapokuwa umelazwa..umewahi sikia kama damu ya golila tunampa binadamu kwa point yako ya kuwa na the same Rhesus antigen( kwa ufahamu wako)..??

yani wew unafikilia kitu kidogo sana tena factor ya Rhesus protein ndo mana unasema tumetoka kwenye same ancestor..

kama ni hivyo basi hupishani na mtu aliyesema kuwa wew una masikio,mbwa nae ana masikio ,tembo ane ana masikio ,kwa hoyo wote ni familia moja ya ancestors..

hapana..

understand things at molecular level utajua mengi snaa...achana na shule ya form 4 uongo mwingi kule hakuna kitu kabsaaa...

Ukibishana na mtu aliyekata mambo haya atakuachia comment zako tu anatembea wew unajua amekuelewa ila kaamua kuachana na wew kwa sababu ya shule yako ambayo ipo katika surface level wakati yeye kajua membo in molecular level..

Be frexible utajua mengi mkuu..
Nakuelewaa kuliko unavofikiria na unachokiamini yawezekana kipo sahihi ...

Lakini pitia era katika ya miocene mpaka pliocene kwenye human evolution kuna baadhi ya mambo ukiyasoma (make hatuna namna ndo evidence) kuna uhusiano wa kile nachokiamini lakini hata hiyo elimu ya form 4 unayoudharau ndo inatupa mwanga wa order ya primates ambayo nahisi hao apes wapo na human lakini nakumbuka speciation ya homo kutoka kwa pan bado naamini kile nachokiamini..

Sikupingi kabisa ila jaribu kuzisoma complex hybrid speciation bila kusahau kuipitia genera of hominini lakini ata hiyo molecular unayoizungumziaa ukizama kwenye mambo ya single nucleotide polymorphisms unaweza ukaniunga kwa asilimia sana
 
Nakuelewaa kuliko unavofikiria na unachokiamini yawezekana kipo sahihi ...

Lakini pitia era katika ya miocene mpaka pliocene kwenye human evolution kuna baadhi ya mambo ukiyasoma (make hatuna namna ndo evidence) kuna uhusiano wa kile nachokiamini lakini hata hiyo elimu ya form 4 unayoudharau ndo inatupa mwanga wa order ya primates ambayo nahisi hao apes wapo na human lakini nakumbuka speciation ya homo kutoka kwa pan bado naamini kile nachokiamini..

Sikupingi kabisa ila jaribu kuzisoma complex hybrid speciation bila kusahau kuipitia genera of hominini lakini ata hiyo molecular unayoizungumziaa ukizama kwenye mambo ya single nucleotide polymorphisms unaweza ukaniunga kwa asilimia sana
sawa ...sijakataaa unachokiamini...sijamanisha kuwa elimu ya Form 4 tunapaswa tuizalau,hapana nimeongelea kwenye kipengele cha Rhesus factor ambayo elimu yake imeanza kutolewa ufafanuzi katika mtaala wa form 4 lakini kadri unavyozidi kwenda juu ndipo unoana kinachongelewa ni tofauti kabsaa...sijaikataaa ila nasema tunalishwa vitu indirectly....

Halafu nikwambie tu ukweli..
Unaweza ukaimold genome yoyote ile na ikakupa desired characteristics unayoitaka wew kwa kufuata mfumo huo huo..

Mpakaa sasa DNA za Dinosasi zipo na hizo ndizo zinatumika kutengenezea wanyamaa wenge magamba magumu kwa lengo flani..wanachokifanya nimkuchukua gene factor control kwenye DNA base arangement inayohusika na skin kisha wanaifanyia genetic editing kisha kuifanyia superhybrid kisha kupata gene recombinant flani kisha wanaunganisha kwa kutumia micopipette innoculation na desired plasmid kisha tunapata mabilioni ya genes mpya na tayari tunazisambaza kwenye game research institute zinazohusika na conservation ya wanyapori waliokatika hatari ya kutoweka..lengo ni kuconserve DNA ZAO au kizazi cha walau kwa kuwafanyia superhybrid cloning system..

kwa hiyo swala la kusema kuwa tuna the same ancestors hapana...

The universe is too frexible to allow changes ili mradi ufuate universal laws zinazogovern existance
 
sawa ...sijakataaa unachikiamini...sijamanisha kuwa elimu ya Form 4 tunapaswa tuizalau,hapana nimeongelea kwenye kipengele cha Rhesus factor ambayo elimu yake imeanza kutolwwa ufafanuzi katika mtaala wa form 4 lakini kadri unavyozidi kwenda juu ndipo unoana kinachongelewa ni tofauti kabsaa...sijaikataaa ila nasema tunalishwa vitu indirectly....

Haladu nikwambie tu ukweli..
Unaweza ukaimold genome yoyote ile na ikakupa desired characteristics unayoitaka wew kwa kufuata mfumo huo huo..

Mpkaa sasa DNA za Dinosas zipo na hizo ndizo zinatumika kutengenezea wanyamaa wenge magamba magumu kwa lengo flani..wanachokifanya nimkuchukua gene factor control kwenye DNA base arangement inayohusika na skin kisha wanaifanyia genetic editing kisha kuifanyia superhybrid kisha kupata magamba flani kisha wanaunganisha kwa kutumia micopipette innoculation na desired plasmid kisha tunapata mabilioni ya genes mpya na tayari tunazisambaza kwenye game research institute zinazohusika na conservation ya wanyapori waliokatika hatari ya kutoweka..lengo ninkuconseve DNA ZAO au kizazi cha walau kwa kuwafanyia superhybrid cloning system..

kwa hiyo swala la kusema kuwa tuna the same ancestors hapana...

The universe is too frexible to allow changes ili mradi ufuate universal laws zinazogovern existance
Uko vizuriii kabisaa...ila natamani uamini kuwa ancestor anaweza kuwa ni mmoja ambaye tunashare some common
main-qimg-8177438ae12ac9e4c82dcf63764abe05.gif
 
Uko vizuriii kabisaa...ila natamani uamini kuwa ancestor anaweza kuwa ni mmoja ambaye tunashare some common View attachment 868788
Na hili la kuamini kuwa ancestor ni mmoja ndo linakufanya uwe limited kujua kama tunaweza othee species new ones kabsaa from pree existing species...
Mimi nishakuelewa kwa sababu point yako mwishoni utauliza kuwa hiyo genetic diversity ilitokea wapi ,,manake ilitokea kwenye singe nucleotide.( kwa maelezo ambayo unayo wewe))..

Lakini how sure are you kuwa kulianza single nucleotide?? na je kama kulitokea super eruption ya bilions of nucleotide zenye sequence tofauti kila mmoja na kuleta general diversity..? huoni hiyo nayo ni point..??

manake unarudi kul kule kwenye nani aliumba ulimwengu...kama ni Mungu na je nani alimuumba Mungu..??

Ndo mana nakwambia project za sasa hivo zinataka kuprovu nguvu inayocontrol yote hayo...
 
Na hili la kuamini kuwa ancestor ni mmoja ndo linakufanya uwe limited kujua kama tunaweza othee species new ones kabsaa from pree existing species...
Mimi nishakuelewa kwa sababu point yako mwishoni utauliza kuwa hiyo genetic diversity ilitokea wapi ,,manake ilitokea kwenye singe nucleotide.( kwa maelezo ambayo unayo wewe))..

Lakini how sure are you kuwa kulianza single nucleotide?? na je kama kulitokea super eruption ya bilions of nucleotide zenye sequence tofauti kila mmoja na kuleta general diversity..? huoni hiyo nayo ni point..??

manake unarudi kul kule kwenye nani aliumba ulimwengu...kama ni Mungu na je nani alimuumba Mungu..??

Ndo mana nakwambia project za sasa hivo zinataka kuprovu nguvu inayocontrol yote hayo...
Nachokiamini evolution ni pana sana na ambayo haina majibu ya kujitosheleza na kila ukisoma na kubase kwenye evidence flan unaamin ni kweli ndo maana different theories has been postulated na mm nilitumia evidence ndogo ya rhesus factors ila wewe ukaichukulia main point

Ni kipi unakiamini kwenye evolution ukiweka pembeni molecular and biochemical evidence-based
 
الَّذِي خَلَقَ الْمَوْتَ وَالْحَيَاةَ لِيَبْلُوَكُمْ أَيُّكُمْ أَحْسَنُ عَمَلًا ۚ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْغَفُورُ

(AL - MULK - 2)
Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenye nguvu na Mwenye msamaha.

Ukishajua kwamba lengo la kuumbwa ni nini basi huwezi shangaa na kuuliza swali kama hilo.

Hujui kama lengo la kuumbwa kwetu ni kujalibiwa ni yupi kati yetu atatenda matendo mazuri ama unataka ulazimishe iwe tumembwa bure bure tu hamna cha zaidi?

Kwa mujibu wa quran hapa tupo katika mtihani na majaribio wala sio katika starehe na kujisahau.

NARUDIA KUSEMA KWA MUJIBU WA QURAN TUNAYOAMINI TUMEUMBWA ILI TUJARIBIWE.

je we unadhani kwa mujibu wa akili yako tumeumbwa ili iweje?

Akili yako ikikupa majibu tofauti na quran basi hayo ni maamuzi yako na hiyari yako...

Unauliza kwa nini Mungu kaumba moto?

Jawabu ni kuwa moto umeumbwa kwa watenda maovu na watakaokufuru.

au ulidhani wale wanaotudhulumu na kutufanyia maovu na kuuwa wenzao wataachwa tu mkuu?
Sasa hao ndo wameumbiwa moto.

MUNGU ALIUMBA PEPO NA MOTO KISHA NDO AKAUMBWA MTU.

MBONA WAISEMA MOTO TU NA PEPO HUSEMI

AU UNATAKA KUSEMA HAKUUMBA NA PEPO?

Hapo ndipo mungu wenu anavyojichanganya mwenywe daima kosa hilo tayari, kwanini alianza kuumba moto kabla ya kuumba mtu ?

Alikuwa anao uhakika gani kama hao watu atakao waumba watakuwa waovu?
 
Nachokiamini evolution ni pana sana na ambayo haina majibu ya kujitosheleza na kila ukisoma na kubase kwenye evidence flan unaamin ni kweli ndo maana different theories has been postulated na mm nilitumia evidence ndogo ya rhesus factors ila wewe ukaichukulia main point

Ni kipi unakiamini kwenye evolution ukiweka pembeni molecular and biochemical evidence-based
Tatizo evulution inafeli sana kuelezea procedure za kuchange scientifically ndo mana hatuoni changes hizo zikieendelea..

manake nini ...ili tuweze kaumini juu ya usemi huo labda tugeuze genetic cloning hybrid na kuita evulution..make ukiangalia sasa hivi kila aina ya mnyama au kitu unachokijua wewe kinaweza kurudihswa kwa mfumo wa cloning .

Ndo nasema naweza nikaconclude kuwa evolution does not exists only clonning under superhybrid technique..

mechanism ya evolution inakosa mashiko kabsaa...

evolution is a late word hence current word cloning..
 
Tatizo evulution inafeli sana kuelezea procedure za kuchange scientifically ndo mana hatuoni changes hizo zikieendelea..

manake nini ...ili tuweze kaumini juu ya usemi huo labda tugeuze genetic cloning hybrid na kuita evulution..make ukiangalia sasa hivi kila aina ya mnyama au kitu unachokijua wewe kinaweza kurudihswa kwa mfumo wa cloning .

Ndo nasema naweza nikaconclude kuwa evolution does not exists only clonning under superhybrid technique..

mechanism ya evolution inakosa mashiko kabsaa...

evolution is a late word hence current word cloning..
Mkuu maswali yangu umeyajibu yote
 
Ndo nasema naweza nikaconclude kuwa evolution does not exists only clonning under superhybrid technique......japo nilitamani mjadala uendelee but umeumalizaa
napata lunch kwanza....nikimaliza kama vip nakukaribisha..coz we learn a lot through sharing knowlege though we can not share intelligence!! 😀 😀
 
napata lunch kwanza....nikimaliza kama vip nakukaribisha..coz we learn a lot through sharing knowlege though we can not share intelligence!! 😀 😀
Mjadala ulikuwa mtamu kwa sababu kila mtu alikuwa anasimamia anachokiamini ...bt now hautanoga
 
Mjadala ulikuwa mtamu kwa sababu kila mtu alikuwa anasimamia anachokiamini ...bt now hautanoga
but ngoja nikulize kitu...what is the difference between evolution and modern cloning...??
 
  • Thanks
Reactions: Lee
but ngoja nikulize kitu...what is the difference between evolution and modern cloning...??
Kwangu mimi naona ni tofauti kabisa evolution kwangu naiamini tokeaa tulipoanziaa kwenye ancestors japo nayo mda mwingine inanichanganya ...hapa ntakuunga mkono kwamba life arose from pre existed one...hapo hapo kama sichachanganya na maneno ya kijiweni nikiichimba modern evolution naweza nikasema hapa ndo kuna chimbuko la cloning japo sio sawa ...

Uzuri wa modern cloning ni proved kabisa ipo mifano ambayo inajitoshelezaa huku kwingine ndo changamoto ....
 
Kwangu mimi naona ni tofauti kabisa evolution kwangu naiamini tokeaa tulipoanziaa kwenye ancestors japo nayo mda mwingine inanichanganya ...hapa ntakuunga mkono kwamba life arose from pre existed one...hapo hapo kama sichachanganya na maneno ya kijiweni nikiichimba modern evolution naweza nikasema hapa ndo kuna chimbuko la cloning japo sio sawa ...

Uzuri wa modern cloning ni proved kabisa ipo mifano ambayo inajitoshelezaa huku kwingine ndo changamoto ....
hatare sana..
isijekuwa tunadanganywa kuwa tylitokea sijui wapi kumbe mambo yapo wazi mpkaa leo yanafanywa...!!!

nawaza tu kimya kimya mkuu
 
  • Thanks
Reactions: Lee
hatare sana..
isijekuwa tunadanganywa kuwa tylitokea sijui wapi kumbe mambo yapo wazi mpkaa leo yanafanywa...!!!

nawaza tu kimya kimya mkuu
Yaaan hapo ndo huwa sipendi kuchanganya evolution na uumbajii kabisa
 
Mkuu, mengine siyajui but hili la binadamu wa kwanza kuishi mbinguni wewe unalitoa wapi!? Adamu aliumbwa hapa hapa duniani, sio mbinguni, ni pale mashariki ya kati na hiyo bustani ilikua pale pale mashariki ya kati and most probably ni nchini Iraq ya leo, soma vizuri Biblia, utakuta hiyo bustani ya Eden inaoneksana Mto Frati ni miongoni mwa mito ilioizunguka hiyo bustani, mto huo upo hadi leo, angalia kidogo atlas/ramani ya mashariki ya kati pale, mto huo upo Iraq ya leo. Sema baada ya makosa ya Adamu na Hawa ndipo walifukuzwa kwenye hiyo bustani na kuishi nje ya bustani cause waliambiwa, "kwa jasho mtakula (Adam, may be wanaume wote) na mtazaa watoto wenu kwa uchungu (Hawa and may be wanawake wote)
 
Back
Top Bottom